Chanzo ambacho hakisemwi cha ongezeko la ushoga ni ushirikina, wazazi wachungeni sana vijana wenu wa kiume

Chanzo ambacho hakisemwi cha ongezeko la ushoga ni ushirikina, wazazi wachungeni sana vijana wenu wa kiume

Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la vijana mashoga au mabwabwa au mchicha mwiba tena ajabu zaidi vijana hawa wanaonyesha kuwa na maisha makubwa wanaishi kwenye apartment za masaki, osterbay na kigamboni mnajua siri ya hao vijana.?

Kuna wafanyabiashara na viongozi mbalimbali wanawatumia hawa vijana kinyume na maumbile km sehemu ya wao kutimiza masharti ya waganga wa kienyeji ili kufanikisha mambo yao.

Bahati mbaya hawa vijana wao wanaon km wameyapatia kumbe wanatumiwa tu na malipoyk ndio wanapangishiwa hizo apartments na nyumba zima.. ili muda wwte wakubwa hao wakitaka kufanya uchafu wao huo iwe rahisi.

Jaman hichi nilichoandika ni kweli kabisa nimeshuhudia na kuprove kwa macho yangu kutoka kwa watu wangu wa karibu nilikutana nao sehemu tofauti kikazi ambao ni waathirika wa unyama huu wao wanaona sawa maana wanaishi expensive life hadi magari wamenunuliwa hawaelewi.

Uchuguzi wangu nimegundua Mmoja anatajiri mkubwa wa madini na mwingine mtu wake ni katibu mkuu wizara moja hivi..
Mbona kuna kiashiria cha wivu wa kimapenzi hivi kati yenu, unawezaje kushuhudia kwa macho yako kupitia mtu mwingine! Ungesema uliishi na mwathirika ningekuelewa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usicheke kaka zako wanaishi kwenye Fantasy 😅😅 watageuzwa mpaka waishe tusikwepeshe mambo tukiachana na ooh malezi ooh sijui nini! Wanaume wa skuizi wanapenda mseleleko jitu mpaka miaka 32 hajaoa anaogopa majukumu et ngoja wakusaidie wakulungwa
 
Wengi wao huwa na tamaa ya maisha pia wapo walio anza:-

1) Boarding school.
2) Tamaa ya maisha.
3) Watoto wenzao kuwafanya utotoni.
4) Tourists wapo wanao fanywa na wanao fanya.
5) Vijana wa chuo wanao angalia porn na kuishia kufanya wenyewe ghettoni.
6) Walimu(wenye dhamana ya kuwasomesha na kuishia kuwaharibu).
7) Ulevi.
Ongezea na ya sahvi haya mamiziki na tamaduni zao

Ova
 
True ushoga ni kafara pia hata freemason wanafanya hii thus hakuna member yeyeto mwenye marinda hata kama ni mkuu wa kanisa.
Inaitwa humiliation ritual ipo tangu kale zama za dini ya nimrod enzi za Babel hata sasa wanafanya ili kupata nguvu ndo maana ya alama ya jicho kwenye piramidi zao
 
Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la vijana mashoga au mabwabwa au mchicha mwiba tena ajabu zaidi vijana hawa wanaonyesha kuwa na maisha makubwa wanaishi kwenye apartment za masaki, osterbay na kigamboni mnajua siri ya hao vijana.?

Kuna wafanyabiashara na viongozi mbalimbali wanawatumia hawa vijana kinyume na maumbile km sehemu ya wao kutimiza masharti ya waganga wa kienyeji ili kufanikisha mambo yao.

Bahati mbaya hawa vijana wao wanaon km wameyapatia kumbe wanatumiwa tu na malipoyk ndio wanapangishiwa hizo apartments na nyumba zima.. ili muda wwte wakubwa hao wakitaka kufanya uchafu wao huo iwe rahisi.

Jaman hichi nilichoandika ni kweli kabisa nimeshuhudia na kuprove kwa macho yangu kutoka kwa watu wangu wa karibu nilikutana nao sehemu tofauti kikazi ambao ni waathirika wa unyama huu wao wanaona sawa maana wanaishi expensive life hadi magari wamenunuliwa hawaelewi.

Uchuguzi wangu nimegundua Mmoja anatajiri mkubwa wa madini na mwingine mtu wake ni katibu mkuu wizara moja hivi..
Wabunge na mawaziri, Mungu anawaona👉
 
Kuna hosp. fulani nilikwenda (Hosp. ya Rufaa mkoa fulani), kulikuwa na vijana wa intern, kuna kijana miongoni mwao hata hauhitaji kusimuliwa kuwa sio riziki..😢
 
Unamarafiki tena wakaribu ma bwabwaaa...angali kuna msemo ndege wa fananao.....
 
Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la vijana mashoga au mabwabwa au mchicha mwiba tena ajabu zaidi vijana hawa wanaonyesha kuwa na maisha makubwa wanaishi kwenye apartment za masaki, osterbay na kigamboni mnajua siri ya hao vijana.?

Kuna wafanyabiashara na viongozi mbalimbali wanawatumia hawa vijana kinyume na maumbile km sehemu ya wao kutimiza masharti ya waganga wa kienyeji ili kufanikisha mambo yao.

Bahati mbaya hawa vijana wao wanaon km wameyapatia kumbe wanatumiwa tu na malipoyk ndio wanapangishiwa hizo apartments na nyumba zima.. ili muda wwte wakubwa hao wakitaka kufanya uchafu wao huo iwe rahisi.

Jaman hichi nilichoandika ni kweli kabisa nimeshuhudia na kuprove kwa macho yangu kutoka kwa watu wangu wa karibu nilikutana nao sehemu tofauti kikazi ambao ni waathirika wa unyama huu wao wanaona sawa maana wanaishi expensive life hadi magari wamenunuliwa hawaelewi.

Uchuguzi wangu nimegundua Mmoja anatajiri mkubwa wa madini na mwingine mtu wake ni katibu mkuu wizara moja hivi..
Ni kweli Kwa usemalo Kuna tajiri mwingine mkubwa alikuwa na jamaa ukimkuta sehemu ya biashara yake lazima uwe na walakini pia ilipelekea kutalakiana na mke wake Kwa sababu hiyo ingawa jambo jingine linalofanya hili jambo likue ni mambo ya kuona kuwa mtu atapata economic advantage akiwa uko , media zinaongelea Hilo mda mwingi, movie nyingi za western bila kuweka scene hizo wadhamini ni wachache , baadhi ya makanisa wanadhaminiwa na hizo society hivyo ni too much sh..t going on right now.
 
Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la vijana mashoga au mabwabwa au mchicha mwiba tena ajabu zaidi vijana hawa wanaonyesha kuwa na maisha makubwa wanaishi kwenye apartment za masaki, osterbay na kigamboni mnajua siri ya hao vijana.?

Kuna wafanyabiashara na viongozi mbalimbali wanawatumia hawa vijana kinyume na maumbile km sehemu ya wao kutimiza masharti ya waganga wa kienyeji ili kufanikisha mambo yao.

Bahati mbaya hawa vijana wao wanaon km wameyapatia kumbe wanatumiwa tu na malipoyk ndio wanapangishiwa hizo apartments na nyumba zima.. ili muda wwte wakubwa hao wakitaka kufanya uchafu wao huo iwe rahisi.

Jaman hichi nilichoandika ni kweli kabisa nimeshuhudia na kuprove kwa macho yangu kutoka kwa watu wangu wa karibu nilikutana nao sehemu tofauti kikazi ambao ni waathirika wa unyama huu wao wanaona sawa maana wanaishi expensive life hadi magari wamenunuliwa hawaelewi.

Uchuguzi wangu nimegundua Mmoja anatajiri mkubwa wa madini na mwingine mtu wake ni katibu mkuu wizara moja hivi..
Weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!...da!!!!!,,,,,,,,,,,kwa ivo ukimla m2 KIBOGA mkwanja unakuja kivipi??? mbona sielewi???,,,,yaani mpunga unatokea kwenye makalio ya SHOGA kama PRINTER HP500 au?
 
Weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!...da!!!!!,,,,,,,,,,,kwa ivo ukimla m2 KIBOGA mkwanja unakuja kivipi??? mbona sielewi???,,,,yaani mpunga unatokea kwenye makalio ya SHOGA kama PRINTER HP500 au?
Wajinga wote mtoa mada pamoja na wachangiaji, hivo vitu hata kama vinafanywa ni fantasy za watu sio kwamba ni ushirikina
 
madogo mishipa ya hofu ilishakufa,...wanawaza pesa tu!
 
Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la vijana mashoga au mabwabwa au mchicha mwiba tena ajabu zaidi vijana hawa wanaonyesha kuwa na maisha makubwa wanaishi kwenye apartment za masaki, osterbay na kigamboni mnajua siri ya hao vijana.?

Kuna wafanyabiashara na viongozi mbalimbali wanawatumia hawa vijana kinyume na maumbile km sehemu ya wao kutimiza masharti ya waganga wa kienyeji ili kufanikisha mambo yao.

Bahati mbaya hawa vijana wao wanaon km wameyapatia kumbe wanatumiwa tu na malipoyk ndio wanapangishiwa hizo apartments na nyumba zima.. ili muda wwte wakubwa hao wakitaka kufanya uchafu wao huo iwe rahisi.

Jaman hichi nilichoandika ni kweli kabisa nimeshuhudia na kuprove kwa macho yangu kutoka kwa watu wangu wa karibu nilikutana nao sehemu tofauti kikazi ambao ni waathirika wa unyama huu wao wanaona sawa maana wanaishi expensive life hadi magari wamenunuliwa hawaelewi.

Uchuguzi wangu nimegundua Mmoja anatajiri mkubwa wa madini na mwingine mtu wake ni katibu mkuu wizara moja hivi..
Uzi wa wazee wa expensive life
 
Back
Top Bottom