joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Ni ya kitoto kwa mtazamo wako,ila alichokizungumza yeye mwenyewe ndicho kilicho mtokea huyo Kennedy na Mina hawana uwezo wa kumtoa Bdozen CMG,kawazidi kila kituHuko kaenda kwa mamuzi yake mwenyewe na sio hiyo sababu uliyoitaja ya kitoto.
Tusikilize sisi waskilizaji na ma'fans wa Clouds, Uliskiliza kipindi wanachambua zile moment za Fiesta 2019 kwenye Bongofleva ya Kennedy The remedy alikua na kina Reuben Ndege 'Nchakalih'?au unaongea2 nawewe?!Hatangazi ila ana cheo pale CMG kwenye kamati ya FiestaAisee
Kidbway/ Sandu George kitambo sana pale radio free.
Amekuepo clouds tangu lini?
hahahaahahha daaahh hebu nichekeKwa sababu alikua hajui kama sisi tu mkuu.
Sky walker/Fredrick BundalaSijui wengine huwa mnaangalia vipi uwezo wa watangazaji.
Iko hivi kwa show za mchana Tanzania yote hakuna kama Twangala.
Hao kina crispin ni wapiga kelele tu hawajui kitu.
Mtu aliyekuwa anamuweza Dozen kwa show za mchana alikuwa Kidbway na mwamba mmoja nimemsahau wa RFA miaka hiyo now days namuona yupo na online radio.
You so negative bwana mdogoTusik
Tusikilize sisi waskilizaji na ma'fans wa Clouds,,Uliskiliza kipindi wanachambua zile moment za Fiesta 2019 kwenye Bongofleva ya Kennedy The remedy alikua na kina Reuben Ndege 'Nchakalih'?au unaongea2 nawewe?!Hatangazi ila ana cheo pale CMG kwenye kamati ya Fiesta
Kwa sababu B12 alikuwa hajahama!!Mkuu kwanini haya hukuyasema kabla?
Huyu ndiye yule anayehusishwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume wenzake?Inasemekana Dozen kilichomuondoa Clouds ni mapenzi.
Aliyekua mpenzi wake ni HR, sasa hawa wadada wakishaachana na mtu figisu za wazi haziishi ndiyo mwamba akaona ajiweke pembeni.
NB: Inasemekana.
sifahamu kwa kweliHuyu ndiye yule anayehusishwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume wenzake?
Mbowe hilo swala alishaliweka sawa kuwa B12 atahamia Kwa Majizo nadhani sahivi ni implementation tu .
Mbowe hilo swala alishaliweka sawa kuwa B12 atahamia Kwa Majizo nadhani sahivi ni implementation tu .
Inasemekana Dozen kilichomuondoa Clouds ni mapenzi.
Aliyekua mpenzi wake ni HR, sasa hawa wadada wakishaachana na mtu figisu za wazi haziishi ndiyo mwamba akaona ajiweke pembeni.
NB: Inasemekana.
EXTRA EXTRA LARGE!