Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
KumbeNduguye Domo Kaya.
Feel the track, feel the track.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KumbeNduguye Domo Kaya.
Feel the track, feel the track.
Oky kumbeNduguye Domo Kaya.
Feel the track, feel the track.
Wanaume wengi wanaishi na wanawake wenye shida ya akili.Ni watu wachache wanaoweza kuishi na mtu mwenye tatizo la akili,
Wewe ndio hueleweki.Kama hamnaga habri kamili mkae nazi tu sijui uwa mnapost vitu gani yaani habari haieleweki..
Kama ulizaliwa 2008 huwezi kumfaham huyu mwamba hawa jamaa kundi lao lilikua moto ni mwanamziki wa zamani .Ndio nani huyo mtu?
Kweli kabisa ujakoseaKama ulizaliwa 2008 huwezi kumfaham huyu mwamba hawa jamaa kundi lao lilikua moto ni mwanamziki wa zamani .
Hao waliompiga wakidhani ni mwizi Mkuu, kama ni binadamu wa kawakda ipo namna hawatakaa sawa wakisikia hizi habari na nyimbo kwa radioHawa mawakala wa shetani waweseke vipi?
Jackline anagombea mali za Reginald Mengi mpaka mahakama ya rufaa kote huko anapigwa kibuti na bado yumo tu.
Kwahiyo walinzi wa kanisa wameua?Kwavile ndo ilikuwa mara yake ya kwanza kunywa pombe
Afya ya akili je?
Ndo alikuwa anamvutisha na bangi
Ndiye alimtuma akafanye fujo kanisani
Ndiye aliwaagiza walinzi wampige.....
Hovyo kweli, wanatafuta pa kuangushia jumba bovu, tatizo la akili ni very complicated, mwenye tatizo kuwageuka hata kuwadhuru humo ndani ni dakika tu wanabadilikaga, kuishi nae tu anatakiwa apewe tuzo huyo mwanamke,Itatafutwa sababu tu ilimradi lawama zimwangukie mwanamke!! Ukute hata chanzo cha huo ugomvi (kama kweli ulikuwepo) ni huyo huyo mwanaume.
Tuna kizazi cha hovyo kweli cha haw awanaojiita wanaume.
Jisomee someeKuna wengine hatujui hayo je, unaweza kufafanua zaidi ?
Mpeleke mirembe mkeo kabla hujapewa kesi ya mauajiWanaume wengi wanaishi na wanawake wenye shida ya akili.
Huwezi kutundika bichwa lako kwenye draya salon bado huo ubongo ukabaki salama.
Heke heke heke.........Maisha magumu ndiyo yaliyochocheaNduguye Domo Kaya.
Feel the track, feel the track.
Kwa taarifa za kimtaa ndivyo inavyosemekanaKwahiyo walinzi wa kanisa wameua?
itabaki stori tu,Habari ndio hiyo, kama Mandojo asingekerwa na mke wake na kuamuwa kwenda kunywa pombe basi leo hii angekuwa hai.
Hii si kazi ya Mungu, ni kazi ya shetani iliyoratibiwa na mwanamke.
Tuishi nao kwa akili.
Wakati anaimba haukuwa umezaliwa dogo wa 2000'sNdio nani huyo mtu?
Historia hulithishwa haya lisishaWakati anaimba haukuwa umezaliwa dogo wa 2000's
Nijisomee wapi.. weka link 🔗 kama ipo nikasomeJisomee somee
Braza taarifa zote zipo humu kwa vile hii habari imeteka hisia zako tafuta ujisomee mi sina muda wa kukutafutia hizo linkNijisomee wapi.. weka link 🔗 kama ipo nikasome
😆😆Wanaume wengi wanaishi na wanawake wenye shida ya akili.
Huwezi kutundika bichwa lako kwenye draya salon bado huo ubongo ukabaki salama.
Why do you generalize a whole group of men?Itatafutwa sababu tu ilimradi lawama zimwangukie mwanamke!! Ukute hata chanzo cha huo ugomvi (kama kweli ulikuwepo) ni huyo huyo mwanaume.
Tuna kizazi cha hovyo kweli cha haw awanaojiita wanaume.