Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hueleweki unauliza niniHapa hutaki mke wa Mandojo asingiziwe (Japo huna uhakika wa tukio)
Halafu hapa una kiri kua hakuna ndoa isiyo na migogoro,
Sasa mkuu mbona hueleweki hapa umesimamia nini?
Tuliza akili usome kwa umakini,utagundua kosa lako kwenye hiyo comment yako niliyoiquote.Hueleweki unauliza nini
Tuliza akili weweTuliza akili usome kwa umakini,utagundua kosa lako kwenye hiyo comment yako niliyoiquote.
Ulitakuwa wewe ndio ujiambie hivyo,Tuliza akili wewe
Swali lako halielewekiUlitakuwa wewe ndio ujiambie hivyo,
Unaandika kua mke wa Mandojo asisingiziwe kwa vitu visivyomuhusu,
Halafu hapo hapo unasema kua hakuna ndoa isiyokua na migogoro!!
Hujashtuka tu bado kua unapinga jambo moja kisha unarudia kulikubali jambo ulilolipinga wewe mwenyewe mwanzoni?
Najua umeshajiona jinsi ulivyokua mpumbavu,ndio maana umebaki kurukaruka tu kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla.Swali lako halieleweki
SahihiKunywa pombe yalikuwa ni maamuzi yake,tusingizie wanawake kila kitu
There are multiple ways to cope with stress