Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kule kuleKwahiyo tumerudi kule kule "akina mama"!!!!
๐๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule kuleKwahiyo tumerudi kule kule "akina mama"!!!!
๐๐๐๐๐
Wakati "akina mama" wanakosea, nyie akina baba mnakuwa wapi?Kule kule
NAKAZIAKATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
Kuna zay b na sister P, kuna langa(RIP) na wengineo wa enzi hizoWakati Mwana FA anaimba na AY ulikuwa la ngapi? Kuna YP na YDash, kuna Pingu na Deso, kuna Juma Nature na Inspector Haroun, halafu kuna Mandojo na Domo kaya.
Tunazingatia maokotoWakati "akina mama" wanakosea, nyie akina baba mnakuwa wapi?
Ww babaako mwanamke?Itatafutwa sababu tu ilimradi lawama zimwangukie mwanamke!! Ukute hata chanzo cha huo ugomvi (kama kweli ulikuwepo) ni huyo huyo mwanaume.
Tuna kizazi cha hovyo kweli cha hawa wanaojiita wanaume.
Umecomment haraka sana bila kutafakariKwavile ndo ilikuwa mara yake ya kwanza kunywa pombe
Afya ya akili je?
Ndo alikuwa anamvutisha na bangi
Ndiye alimtuma akafanye fujo kanisani
Ndiye aliwaagiza walinzi wampige.....
Leta tafakuri yako wewe uliyetafakari tangu j'3!Umecomment haraka sana bila kutafakari
Upuuzi wake mtu timamu ukasirike ndo ukalewe??Habari ndio hiyo, kama Mandojo asingekerwa na mke wake na kuamua kwenda kunywa pombe basi leo hii angekuwa hai.
Hii si kazi ya Mungu, ni kazi ya shetani iliyoratibiwa na mwanamke.
Tuishi nao kwa akili.
Huna hata aibu.Habari ndio hiyo, kama Mandojo asingekerwa na mke wake na kuamua kwenda kunywa pombe basi leo hii angekuwa hai.
Hii si kazi ya Mungu, ni kazi ya shetani iliyoratibiwa na mwanamke.
Tuishi nao kwa akili.
SadHabari ndio hiyo, kama Mandojo asingekerwa na mke wake na kuamua kwenda kunywa pombe basi leo hii angekuwa hai.
Hii si kazi ya Mungu, ni kazi ya shetani iliyoratibiwa na mwanamke.
Tuishi nao kwa akili.
Jiheshimu wewe,acha kutuita wanaume wote kua ni kizazi cha hovyo,kwahiyo na Baba yako nae ni kizazi cha hovyo?Tuna kizazi cha hovyo kweli cha hawa wanaojiita wanaume.
Acha kumsingizia mke wake mambo yasiyo muhusu ,
Halafu hapa una kiri kua hakuna ndoa isiyo na migogoro,kwani ndoa gani isiyo na migogoro? Binadamu hawawezi kuishi bila kupishana
Sahihi kabisa kuna siku baada ya kelele za mwanamke nolienda sehemu.. Nikalewa sana.Habari ndio hiyo, kama Mandojo asingekerwa na mke wake na kuamua kwenda kunywa pombe basi leo hii angekuwa hai.
Hii si kazi ya Mungu, ni kazi ya shetani iliyoratibiwa na mwanamke.
Tuishi nao kwa akili.