Pole sana...Jaribu kuongea naye kwa upole, ukimweleza jinsi unavyoumia kwa sababu yake. Asipokuelewa tafuta ndugu zake wenye akili ingawainaweza kuleta matatizo zaidi. Zaidi ya hapo mnatakiwa mkamwone mwanasaikolojia bingwa. Kununiana miezi mitano mnajadili muda mambo ya maendeleo?