Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
- Thread starter
-
- #21
Asante nimetoka kuna sindano nimepigiwa kutupoteza huo uvimbe na dawa naendelea nazo sasa asante kwa ushauri LENIE🙏Log out JF wahi hospital, acha mzaha na afya
Kondom ulivaa Kwa usahii? Vigi game ya mwisho ulipiga lini?KUvimba tu hakuna matokeo mengine isipokua kadri kunavyozidi kuvimba ndipo maumivu yanapanda alafu ngozi ya kichwa cha penis iko na magamba ya ugumu kwa sehem
Hivi kukiwa na discharge ya white inayovutika kama mlenda ni dalili ya nini maana nishakunywa azuma mpaka nimechoka nikinywa inapotea baada ya kumaliza tu inaanzaKuna any discharge Kwa Said kichwa wazi?
Tumia dozi vizuri na uache kupiga kavu kwa pisi za kuokoteza mtaaniAsante nimetoka kuna sindano nimepigiwa kutupoteza huo uvimbe na dawa naendelea nazo sasa asante kwa ushauri LENIE🙏
Game la mwisho Nina siku ya tatu sasa tangu nimepiga game jana siku ya pili ndio Hali Ikawa ngumu kabisaaa alafu dalili zake utasema uko na malaria au UTI vile maana mwili unakua hovyoKondom ulivaa Kwa usahii? Vigi game ya mwisho ulipiga lini?
Mbususu tamu jamani[emoji23][emoji23]Ila tunapenda ngono ila majuto huwa makubwa mbeleni kwa sisi wanaume
Mhhhh umekula kavu ukala pabaya ww.Ndugu Wana JF,
Kama Uzi unavyojieleza mwamba nimekutana na jambo, nimemshona mtoto wa mtu uko sasa siku iliyofuata natazama uume umeanza kujaa.
Matabibu mliopo umu msaada katika hili, tupanuane mawazo nijue nini kinanikabili. Kuna hali fulani ya maumivu tu, naomba mnifungue ubongo 🙏
🤣🤣🤣🤣🤣Mbususu mmbo yake ili yawe hovyo ukutane na hizi mmbo utafurai huitamani tnMbususu tamu jamani
Ni vyema ukaenda kwenye kituo au zahanati yoyote ya serikari, kwenye angle hii ni wabobevu sanaHivi kukiwa na discharge ya white inayovutika kama mlenda ni dalili ya nini maana nishakunywa azuma mpaka nimechoka nikinywa inapotea baada ya kumaliza tu inaanza
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Nimechoma sndano mshipa mkubwa ktk mkono chiefMhhhh umekula kavu ukala pabaya ww.
Jiandae kwa sindano za matako zote utakua unakalia miguu.
Kwakwer chief saiv kwa asilimia kubwa wengi wao hawatumii Kinga hivyo majuto ni mengi kuliko kufuraia ilo tendo lenyeweNgono zembe ni hatari sana.
Nilikua nataka nijue muda uliochukua kabla ya game hiyo ya juziGame la mwisho Nina siku ya tatu sasa tangu nimepiga game jana siku ya pili ndio Hali Ikawa ngumu kabisaaa alafu dalili zake utasema uko na malaria au UTI vile maana mwili unakua hovyo
Hahaha ntakufa siku zikifika maana hatuna tunapokwepea lkn sio kizembe namna hii🤣We kufa tu
Ulikutwa na nin?Nimechoma sndano mshipa mkubwa ktk mkono chief
Ili suala linatupoteza vijana wengi sana, mapenzi ni overrated through media industryKwakwer chief saiv kwa asilimia kubwa wengi wao hawatumii Kinga hivyo majuto ni mengi kuliko kufuraia ilo tendo lenyewe
💪Hahaha ntakufa siku zikifika maana hatuna tunapokwepea lkn sio kizembe namna hii🤣
Nilianza saa sita 9t mpk saa tisa na nusu night hiyo baada ya hapo upepo ukawa ukipiga kuna Hali Fulani nikawa nasikia ya maumivu kwa mbali hivi nikitazama naona poa tu siku iliyofuata nikaamka mwili ukiwa mchovu ukawa ukiuma kila Mahala kwenda maabara kupima jamaa kaniambia Niko na malaria moja nikameza metakefin za Kenya nikajua zoezi litakua poa ndipo uume ulipanza kuvimbaNilikua nataka nijue muda uliochukua kabla ya game hiyo ya juzi