David Ben Gurion
JF-Expert Member
- Nov 1, 2018
- 868
- 1,384
Bob Bora kufa umesimama.. Nadhani Familia yako ingekuwa imara Zaid.. na ingekuheshimuKuna post ambayo tulijadili sana jambo hili lakini hebu fikiria "Uchapwe viboko au ukafunguliwe kesi isiyokuwa na dhamana na hata kama ina dhamana bado ule danadana na kuozea jela?"
Hata mie ningekubali nichapwe tu kwa ajili ya familia yangu na wanaonitegemea.
Nasikitika Mwanakijiji kuhamisha gori hata kwa jambo hili! mkuu wa mkoa aliwapiga wanafunzi tena kwa nguvu zote! tz ilisimama ikisubilia kauli ya mteule wake! unakumbuka kilichotokea!
JPM mwenyewe kwa mdomo wake akapongeza na kuongeza kauli waendelee kupigwa! baada ya hapo kila mmoja anainua mkono kupiga! et leo unamtupia lawama katibu kiongozi kweli?
Naibu waziri ni mteule wa Rais mamlaka ya kumwadhibu ni anayesifia viboko! usimpende mtu bila kuyachukia mabaya yake! huu mtindo mbovu ni wa JPM hebu mbebeshe yeye
Katibu Mkuu CCM zaidi ya Waziri Mkuu hivyo Katibu Mkuu Kiongozi ni kama PS wa Katibu Mkuu CCMKwanini Katibu Mkuu wa CCM azungumzie na kuonya watendaji wa serikali? Katibu Mkuu Kiongozi kazi yake ni kutangaza watenguliwa na wateuliwa tu? Yeye siyo sehemu ya mamlaka ya nidhamu ya watumishi wa umma?
Wakoloni (Wajerumani hasa) walitumia Sana huu utaratibu wa kuchapa watu wazima pale Bomani (kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya). Na watu wazima wanakubali vipi kuchapa na mtu mzima mwingine? Kwa sababu hawataki au wanaogopa kupoteza kazi?
Well saidUhuru wa Tanzania utapatikana baada ya CCM kuondoka madarakani.
Hata huyo alieanzisha huu uzi ni kwa sababu Bashiru amekemea,ushamuona amekemea huu utawaka?Tatizo kubwa wote wanaotakiwa kulikemea hilo hawajui msimamo wa MZEE BABA!!unaweza kulikemea kesho akaibuka na kuwapongeza hao wanaowachapa!!utajisikiaje?!!ila ngoja iabuke na kulikemea utawaona sasa viongozi wote ndio wanajifanya kulikemea!!!utumwa wa fikra ni mbaya sana!!
Yule ni kamisaaa wa rais na ndio mpangaji wa uteuzi kazi yake sio kujionyeshaKwanini Katibu Mkuu wa CCM azungumzie na kuonya watendaji wa serikali? Katibu Mkuu Kiongozi kazi yake ni kutangaza watenguliwa na wateuliwa tu? Yeye siyo sehemu ya mamlaka ya nidhamu ya watumishi wa umma?
Wakoloni (Wajerumani hasa) walitumia Sana huu utaratibu wa kuchapa watu wazima pale Bomani (kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya). Na watu wazima wanakubali vipi kuchapa na mtu mzima mwingine? Kwa sababu hawataki au wanaogopa kupoteza kazi?
Narudia tena,kama huu uchaguzi ungekuwa na dosari na watanzania hawajaridhika kila mtu angeandamana.
Waganda hawakuridhika na Amin ndio maana walichukua siraha na kumg'oa. Usichanganye mada boss/ kamanda.
Katibu Mkuu CCM zaidi ya Waziri Mkuu hivyo Katibu Mkuu Kiongozi ni kama PS wa Katibu Mkuu CCM
Kama hata mwanasheria mkuu wa serikali ana shindwa kutolea ufafanuzi wa kisheria kuhusu huu ujinga una tegemea Katibu Mkuu kiongozi atapata wapi la kuongea wakati mshauri wao kisheria yuko kimya?Kwanini Katibu Mkuu wa CCM azungumzie na kuonya watendaji wa serikali? Katibu Mkuu Kiongozi kazi yake ni kutangaza watenguliwa na wateuliwa tu? Yeye siyo sehemu ya mamlaka ya nidhamu ya watumishi wa umma?
Wakoloni (Wajerumani hasa) walitumia Sana huu utaratibu wa kuchapa watu wazima pale Bomani (kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya). Na watu wazima wanakubali vipi kuchapa na mtu mzima mwingine? Kwa sababu hawataki au wanaogopa kupoteza kazi?
Sycophant embraces sycophant and genius appreciates genius. Hawa viongozi wenye vurugu kama RC Albert Chalamila au Bashite, Byakwana wa Mtwara, Ole Lengai wa Hai wana akisi hulka na tabia za aliowateua.Mkuu wa wilaya na Naibu waziri waliohusika kutandika bakora watu hadharani ni viongozi walioteuliwa na rais Magufuli mwenyewe tena kwa mbwembwe.
Kama aliyewateua (Rais Magufuli) angekuwa hajafurahishwa na hilo jambo, nina uhakika kwa 100% hao wateuliwa wasingedumu kwenye hizo nyanzifa hata kwa siku moja, wangekuwa wameshatumbuliwa within few hours.
Katika hali hii, Katibu mkuu afanye nini?
Usifokee watu JF! Uwe na adabu.Hivi wewe unamjua katibu mkuu kiongozi ( Chief Secretary) ni nani?
Nenda kwenye katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, kwenye ibara ya 60 , utajua katibu mkuu kiongozi ni nani
Sio uongo, we have the most inactive Chief Secretary.Kwanini Katibu Mkuu wa CCM azungumzie na kuonya watendaji wa serikali? Katibu Mkuu Kiongozi kazi yake ni kutangaza watenguliwa na wateuliwa tu? Yeye siyo sehemu ya mamlaka ya nidhamu ya watumishi wa umma?
Wakoloni (Wajerumani hasa) walitumia Sana huu utaratibu wa kuchapa watu wazima pale Bomani (kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya). Na watu wazima wanakubali vipi kuchapa na mtu mzima mwingine? Kwa sababu hawataki au wanaogopa kupoteza kazi?
Hapo utaambiwa Rais Magu ana nia njema ila wateule wake wanamwangusha π€£π€£π€£Hapo unajaribu nini?Kumuepusha Magufuli na lawama?
Sasa katibu kiongozi ndo alaumiwe?
Mkuu huwa tunatazama mada iliyo mbele yetu na si nani kaitoa.MzeeMwanakijiji itachukua miaka mingi Sana kurejesha heshima yako hapa Jf !ππππ
Mimi huwa nadhani kuwa Katibu Mkuu Kiongozi anahusika zaidi na viongozi wa ngazi za juu zaidi kuanzia Makatibu wakuu kwenda juu, ukiondoa Waziri Mkuu na walio juu yakeKwanini Katibu Mkuu wa CCM azungumzie na kuonya watendaji wa serikali? Katibu Mkuu Kiongozi kazi yake ni kutangaza watenguliwa na wateuliwa tu? Yeye siyo sehemu ya mamlaka ya nidhamu ya watumishi wa umma?
Wakoloni (Wajerumani hasa) walitumia Sana huu utaratibu wa kuchapa watu wazima pale Bomani (kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya). Na watu wazima wanakubali vipi kuchapa na mtu mzima mwingine? Kwa sababu hawataki au wanaogopa kupoteza kazi?
Ndio Mkuu wa watumishi wote wa umma...walioajiriwaMimi huwa nadhani kuwa Katibu Mkuu Kiongozi anahusika zaidi na viongozi wa ngazi za juu zaidi kuanzia Makatibu wakuu kwenda juu, ukiondoa Waziri Mkuu na walio juu yake
Katika mambo ambayo nilikuwa nachukizwa rohoni nilipokuwa mwanafunzi ilikuwa ni hili la kuchapana badala ya kuelekezana na kupeana elimu. Nashangazwa na mtu mzima kukubali kitendo hiki.Kwanini Katibu Mkuu wa CCM azungumzie na kuonya watendaji wa serikali? Katibu Mkuu Kiongozi kazi yake ni kutangaza watenguliwa na wateuliwa tu? Yeye siyo sehemu ya mamlaka ya nidhamu ya watumishi wa umma?
Wakoloni (Wajerumani hasa) walitumia Sana huu utaratibu wa kuchapa watu wazima pale Bomani (kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya). Na watu wazima wanakubali vipi kuchapa na mtu mzima mwingine? Kwa sababu hawataki au wanaogopa kupoteza kazi?