Chapa Chapa: Katibu Mkuu Kiongozi yuko wapi?

Bob Bora kufa umesimama.. Nadhani Familia yako ingekuwa imara Zaid.. na ingekuheshimu
 

Hakuna mtu mnafiki kama mkjj hapa JF , ni yeye aliepiga debe Sana kutetea watu ambao ndio Sasa wanaleta upumbafu huu
 
Katibu Mkuu CCM zaidi ya Waziri Mkuu hivyo Katibu Mkuu Kiongozi ni kama PS wa Katibu Mkuu CCM
 
Hata huyo alieanzisha huu uzi ni kwa sababu Bashiru amekemea,ushamuona amekemea huu utawaka?
 
Yule ni kamisaaa wa rais na ndio mpangaji wa uteuzi kazi yake sio kujionyesha
 
Narudia tena,kama huu uchaguzi ungekuwa na dosari na watanzania hawajaridhika kila mtu angeandamana.

Waganda hawakuridhika na Amin ndio maana walichukua siraha na kumg'oa. Usichanganye mada boss/ kamanda.

Watanzania hawana ujasiri wa kuandamana mahali ambapo polisi/ vyombo vya dola vimeagizwa viwaue. Ni watanzania wachache sana wenye uthubutu huo. Tuliona maandamano ya uchaguzi mdogo hapa Dar kwenye jimbo la Mtulia binti mdogo Aqwilina alipouawawa, viongozi wa cdm wote wakapewa kesi, na watu kibao kuachwa na vilema huku wakibambikiwa kesi. Usichanganye uoga na kutokuridhika. Kama ni kutokuridhika kuko wazi, ujasiri wa kuandamana kwa kutokuridhika ni suala jingine.

Iddi Amin alitolewa na jeshi la Tanzania, wananchi wa Uganda waliwaunga mkono jeshi la Tanzania kama sehemu ya kuchoka kunyanyaswa na kuuwawa. Hata hapa ikitokea nchi ikatuvamia, utakuja kuchukua mrejesho wa jinsi watu hawaridhiki na utawala wa shuruti wa ccm. Rejea kombe la Afrika timu yetu ilivyoenda Egypt, jinsi watu walikuwa wanashangilia tunavyofungwa.
 
Katibu Mkuu CCM zaidi ya Waziri Mkuu hivyo Katibu Mkuu Kiongozi ni kama PS wa Katibu Mkuu CCM

Hivi wewe unamjua katibu mkuu kiongozi ( Chief Secretary) ni nani?

Nenda kwenye katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, kwenye ibara ya 60 , utajua katibu mkuu kiongozi ni nani
 
Kama hata mwanasheria mkuu wa serikali ana shindwa kutolea ufafanuzi wa kisheria kuhusu huu ujinga una tegemea Katibu Mkuu kiongozi atapata wapi la kuongea wakati mshauri wao kisheria yuko kimya?
 
Sycophant embraces sycophant and genius appreciates genius. Hawa viongozi wenye vurugu kama RC Albert Chalamila au Bashite, Byakwana wa Mtwara, Ole Lengai wa Hai wana akisi hulka na tabia za aliowateua.

Siyo lazima awatume kuleta vurugu mahali lakini wakifanya purukushani kama vile Byakwana alipokuwa Hai ya kuvuruga shamba la Freeman Mbowe, basi Magu anafurahi na anampandisha cheo kuwa RC Mtwara. Sycophant recognize each other by conduct.
 
Hivi wewe unamjua katibu mkuu kiongozi ( Chief Secretary) ni nani?

Nenda kwenye katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, kwenye ibara ya 60 , utajua katibu mkuu kiongozi ni nani
Usifokee watu JF! Uwe na adabu.
 
Na bado impala mwili zitakapo rudi mahela pake
 
Sio uongo, we have the most inactive Chief Secretary.
Impact yke kwenye Govt ni wakati wa kuapisha tu!
 
Hapo unajaribu nini?Kumuepusha Magufuli na lawama?
Sasa katibu kiongozi ndo alaumiwe?
Hapo utaambiwa Rais Magu ana nia njema ila wateule wake wanamwangusha 🀣🀣🀣
 
MzeeMwanakijiji itachukua miaka mingi Sana kurejesha heshima yako hapa Jf !πŸ˜†πŸ˜†πŸ™„πŸ˜†
Mkuu huwa tunatazama mada iliyo mbele yetu na si nani kaitoa.
Kama mada ina mantiki, ruksa kutoa maoni yako, kama ni u.pupu wewe saga uwezavyo.
 
Mimi huwa nadhani kuwa Katibu Mkuu Kiongozi anahusika zaidi na viongozi wa ngazi za juu zaidi kuanzia Makatibu wakuu kwenda juu, ukiondoa Waziri Mkuu na walio juu yake
 
Mimi huwa nadhani kuwa Katibu Mkuu Kiongozi anahusika zaidi na viongozi wa ngazi za juu zaidi kuanzia Makatibu wakuu kwenda juu, ukiondoa Waziri Mkuu na walio juu yake
Ndio Mkuu wa watumishi wote wa umma...walioajiriwa
 
Katika mambo ambayo nilikuwa nachukizwa rohoni nilipokuwa mwanafunzi ilikuwa ni hili la kuchapana badala ya kuelekezana na kupeana elimu. Nashangazwa na mtu mzima kukubali kitendo hiki.

Niwapeni ushauri wengine wataudharau, lakini wananchi haswa wale wenye uwezo waelekee mahakamani kudai fidia za kifedha pale wanapofanyiwa sivyo. Kwa mfano mtu akiekwa rumande bila ya sababu ya msingi, akiachiwa asikubali yaishe arudi tena mahakamani na mahesabu ya kifedha alizopoteza wakati akilala rumande.

Nasema haya ni kwasababu nafahamu fedha za serekali zilivyokuwa ngumu kutoka. Wananchi wanapoanza na mtindo wa aina hii, ni wazi tutafika mahali serekali kuanza kubadili au kuondoa sheria zinazotoa mianya ya kipuuzi ya namna hii. Kwanza naona ni ushamba kweli kila siku ni ziara zisokuwa na kichwa wala miguu! Yaani kufanya ziara ndio kuonyesha utendaji ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…