Charles Hilary afafanua sehemu ya ardhi ya Bagamoyo kumilikiwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

Charlse Hillary kawa lini mwanasheria?

Suala kama hili inatakiwa amuite Mwanasheria Mkuu wa Tanzania na Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar ndo wanaweza kuliongelea.

Na wao neno lao bado litakuwa sio la mwisho katika sheria, bali ni Mahakama ya Rufaa ndo inaweza kutoa neno la mwisho kuhusu sheria.
 
Acheze kwa step na Kauli zake, lile tamko la Mwanzo alibugi.
Au alifanya kwa makusudi akijua kitakachotokea.
 

Alizaliwa miaka 56 iliyopita halafu akanusurika kifo kwa risasi mwaka 1964!😂 get your facts straight
 
Nyerere alikabidhi kwa makubaliano yapi ( onesheni nyaraka za makabidhiano) hatuwezi kujua labda alimpa kwa muda tu ila siyo kisheria.
 
Angalizo tu; wachangiaji baadhi wajue hilo eneo limetolewa tangu enzi za Mwalimu. Wasije kufikiria ni awamu ya sita. Maana kuna wavivu wa kusoma history ya nchi ila wepesi kujadili history ya nchi wasiyoijua.[emoji120][emoji120][emoji120]
Kuna uthibitisho wa haya unayosema??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…