Charles Kimei: One of the most exposed and reputable banking top executives in East & Central Africa. Hakupaswa kujiingiza katika siasa hizi za vyama

Charles Kimei: One of the most exposed and reputable banking top executives in East & Central Africa. Hakupaswa kujiingiza katika siasa hizi za vyama

Ninachelesa kusema kuwa mwandishi wa uzi huu hajui namna watu wenye big minds namna walivyo. Hawa watu wakikaa idle, akili yao ina matatizo makubwa sana ambayo yanaweza kusababisha hata yakapelekea wakaenda jela.

Huyu mtu akiamua kukaa idle, atafanya vile ambavyo ukivisikia utadhani kuwa amesingiziwa, kumbe hapana. Hawa watu akili yao hairuhusu kukaa idle, lazima iwe busy muda wote. Mwacheni awatumikie wananchi, mpeni hongera nyingi badala ya criticisms
 
Mbona naye aliajiriwa?maneno kama hayo yanatakiwa yatoke kwa watu kama akina shabiby,msukuma,Abooud ,sylvester koka na wabunge wengine ambao mi wamefanikiwa katika biashara zao wenyewe. Hilo la kusema fundi simu nalo ni nadharia kama nadharia zingine.
Kwani kuajiriwa ni dhambi? Wewe unataka kuleta ubishi wa kujiajiri Vs kuajiriwa ndio lengo lako na kama unataka kufanya hivyo anzisha mada yako.
 
Wewe huna uzalendo wala utu.

Ungekuwa na uzalendo ungechukia kila anayeharibi taifa hili na

Ungekuwa na utu ungechukia kila anayefanya mauaji ya Raia wasio na hatia.
Nijihusishe na watu wanaofanya mauaji kwani mimi ni Polisi?
 
Kimei aende akafundishe vyuoni hands on experience na abaki kuwa consultant on Banking and Finance, huko alikokwenda CCM ni kuchafu sana na kutamchafua sana, Ukiwa CCM lazima ujifunze kupindisha ukweli uwe uongo, uwe unaongea maneno ya kijinga, kwa experience ya Kimei huko CCM hakumfai, anaweza akasaidia sana Investment ya Banking, Progress, growth na business planning and Development ya Banking sector. Si vinginevyo, yeye anaangalia mshahara na posho lakini itamcost siku ambayo ccm watamtumia aongee ujinga na ndio itakuwa mwisho wake wa kuwa mtu wa kutegemea.
 
Mbona naye aliajiriwa?maneno kama hayo yanatakiwa yatoke kwa watu kama akina shabiby,msukuma,Abooud ,sylvester koka na wabunge wengine ambao mi wamefanikiwa katika biashara zao wenyewe.Hilo la kusema fundi simu nalo ni nadharia kama nadharia zingine.

amimi namshauri Raisi angeteua baadhi ya hawa matajiri kwenye wizara zile zinazihusika na uwekezaji,biashara na viwanda .Hata wakiwa wana negotiate mikataba wanakuwa wanaelewa kitu wanasema.siyo kutumia elimu ya darasanu waliosoma miaka 20 iliyopita.Trust me ukiwaweka profesor wa uchumi pamoja na Aboud yule wa Morogoro ,Aboud yuko mbali zaidi ki uelewa wa biashara.

Tukitaka mapinduzi ya kweli tuwaweke watu wenye uzoefu wa kukuza uchumi wa biashara zao katika nafasi za maamuzi.watakuwa na mchango mkubwa nakwambia. Hata kwenye madini naona kama yule waziri Doto ni kama anatosha tosha hivi huenda alishafanyabiashara ya madini.
Upo nje kabisa ya mada mzee baba. Kajipange upya kisha ndio uje humu kuandika.
 
Mleta uzi amempamba sana Kimei kuwa ni mbobezi wa mambo ya kibenki Tanzania na Afrika Mashariki nzima; cha kushangaza ni kwamba huyo Kimei hajajitambua na ndio maana akakubali kwenda kudhalilishwa wakati wa kuusaka ubunge na kwenda kwa Sangoma!!!! Unajua kiasi gani cha mikopo chefuchefu Kimei aliiacha alipostaafu CRDB? Unajua kuwa hiyo mikopo chefu chefu aliitoa kwa hao wanaoitwa mafisadi wakina Manji? Je hakufaidika na hiyo mikopo chefu chefu kwa wakina Manji?

Huyo Kimei wenu hakuingia ccm kwa bahati mbaya bali aliingia huko kama njia ya kujikinga na uchafu alioufanya akiwa huko CRDB!!! CCM ni kichaka cha wahalifu.
Ni wivu tuu unakusumbua wewe. Mnyonge mnyongeni but the guy changed CRDB big time, he will be remembered for that. Wewe itakumbukwa na nini? Kijiba cha roho siyo?
 
Kitu ambacho hawajui ni Kwamba TANZANIA NA AFRICA SIASA NI KILA KITU,
WANGAPI WAMEHASI TAALUMA ZAO NA KUYAKANA MAANDIKO YAO KISA SIASA? CC MWAKYEMBE, BASHIRU HATA KABUDI
 
1. Charles Kimei kama Mtanzania yeyote ana haki ya kikatiba ya kujiunga na chama chochote cha siasa, au kutojiunga,ana haki ya kuchagua kiongozi anayemtaka, au kuomba kuchaguliwa.

2. Charles Kimei kwangu mimi hakuwa na integrity yoyote ya maana. Alisema anamuogopa Magufuli sana na atafanya chochote Magufuli atakachosema.

Kauli hii kutoka kwa mtu mume inawekea shaka utu wake na uanaume wake. Kutoka kwa CEO wa Benki, inatilia shaka integrity ya benki hiyo.

Maana ni kama alisema kwamba Magufuli angetaka kuiba hela za CRDB aende kuzitumia kwenye uchaguzi, Kimei angekubali tu.

Hivyo sioni Kimei atapoteza integrity gani, wakati alikuwa hana integrity tangu mwanzo.
Kimei hana Integrity yeyote nakumbuka Bonus alizokuwa anajizawadia kila baada ya robo mwaka yaan 37,800,000
 
Waziri wa Fedha ajaye, kwa vyovyote vile ataitendea haki taaluma yake.
 
In the end no body provides for him...no body pays for his bills...no body feeds his family and no body will care when he's gone forever...maisha duniani hatuishi kuwa please walimwengu....we live for our own selves. Let him grant and fulfill his heart and soul's desire.

Legacy or reputation say, doesn't pay anyone's bills.
 
Back
Top Bottom