Charles Kimei: One of the most exposed and reputable banking top executives in East & Central Africa. Hakupaswa kujiingiza katika siasa hizi za vyama

Ninachelesa kusema kuwa mwandishi wa uzi huu hajui namna watu wenye big minds namna walivyo. Hawa watu wakikaa idle, akili yao ina matatizo makubwa sana ambayo yanaweza kusababisha hata yakapelekea wakaenda jela.

Huyu mtu akiamua kukaa idle, atafanya vile ambavyo ukivisikia utadhani kuwa amesingiziwa, kumbe hapana. Hawa watu akili yao hairuhusu kukaa idle, lazima iwe busy muda wote. Mwacheni awatumikie wananchi, mpeni hongera nyingi badala ya criticisms
 
Kwani kuajiriwa ni dhambi? Wewe unataka kuleta ubishi wa kujiajiri Vs kuajiriwa ndio lengo lako na kama unataka kufanya hivyo anzisha mada yako.
 
Wewe huna uzalendo wala utu.

Ungekuwa na uzalendo ungechukia kila anayeharibi taifa hili na

Ungekuwa na utu ungechukia kila anayefanya mauaji ya Raia wasio na hatia.
Nijihusishe na watu wanaofanya mauaji kwani mimi ni Polisi?
 
Kimei aende akafundishe vyuoni hands on experience na abaki kuwa consultant on Banking and Finance, huko alikokwenda CCM ni kuchafu sana na kutamchafua sana, Ukiwa CCM lazima ujifunze kupindisha ukweli uwe uongo, uwe unaongea maneno ya kijinga, kwa experience ya Kimei huko CCM hakumfai, anaweza akasaidia sana Investment ya Banking, Progress, growth na business planning and Development ya Banking sector. Si vinginevyo, yeye anaangalia mshahara na posho lakini itamcost siku ambayo ccm watamtumia aongee ujinga na ndio itakuwa mwisho wake wa kuwa mtu wa kutegemea.
 
Upo nje kabisa ya mada mzee baba. Kajipange upya kisha ndio uje humu kuandika.
 
Ni wivu tuu unakusumbua wewe. Mnyonge mnyongeni but the guy changed CRDB big time, he will be remembered for that. Wewe itakumbukwa na nini? Kijiba cha roho siyo?
 
Kitu ambacho hawajui ni Kwamba TANZANIA NA AFRICA SIASA NI KILA KITU,
WANGAPI WAMEHASI TAALUMA ZAO NA KUYAKANA MAANDIKO YAO KISA SIASA? CC MWAKYEMBE, BASHIRU HATA KABUDI
 
Kimei hana Integrity yeyote nakumbuka Bonus alizokuwa anajizawadia kila baada ya robo mwaka yaan 37,800,000
 
Waziri wa Fedha ajaye, kwa vyovyote vile ataitendea haki taaluma yake.
 
In the end no body provides for him...no body pays for his bills...no body feeds his family and no body will care when he's gone forever...maisha duniani hatuishi kuwa please walimwengu....we live for our own selves. Let him grant and fulfill his heart and soul's desire.

Legacy or reputation say, doesn't pay anyone's bills.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…