Charles Kitwanga: Sikutaka kujikomba, nililogwa nikapona kimiujiza, nilikuwa na vita na Serikali

Charles Kitwanga: Sikutaka kujikomba, nililogwa nikapona kimiujiza, nilikuwa na vita na Serikali

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Mwanasiasa ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga amezungumza mambo mengi katika mahojiano maalum na Dar24 na kufunguka mambo mengi ikiwemo sakata lake la kuvuliwa Uwaziri kwa kile kilichoelezwa aliingia Bungeni akiwa amelewa.



KITWAGA: NILILOGWA, NITATENGENEZEWA ZENGWE NIKAPONA KIMIUJIZA
Mwanasiasa Charles Kitwanga amesema huwa anacheka akikumbuka stori ya kuvuliwa nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya Ndani mwaka 2016 kwa madai alilewa kwa kuwa siku ya tukio alikuwa anaumwa na alikunywa dawa.

Amesema hayo ni mambo hutokea katika Siasa ambapo pia unaweza kutengenezewa zengwe, skendo, kulongwa au kutafutwa ili umalizwe, ambapo yeye yote yalimkuta.

Kuhusu kurogwa anasema “Nilipata kiharusi, nikalazwa Muhimbili nikaenda kupona India, nadhani nilipona kimiujiza kwa kuwa namuamini Mungu.”

Kuhusu kuvuliwa Uwaziri amesema “Huwa inaniumiza nikikumbuka, kwani nilijua, ninajua na wenyewe wanajua walichofanya.”

KITWANGA: NILIWEKEWA ULINZI NA KUFUATILIWA KILA HATUA
Charles Kitwanga amedai wakati akiwania Ubunge 2020 alikuwa akifuatiliwa na anaoamini ni walinzi, karibu na nyumbani kwake ambapo walimfuatilia kila anakokwenda.

Amesema “Kulikuwa na magari matatu kwa siku 10, ndani ya magari hayo kulikuwa na vijana wa PCCB, Usalama wa Taifa na Askari, ni kama ilikuwa mashindano ya Kitwanga na Serikali.”

Kuhusu ukaribu wake na hayari John Magufuli anasema “Alikuwa rafiki yangu lakini tangu alipokuwa Rais hatukuwahi kukutana wawili zaidi ya kukutana katika shughuli za kikazi, sikuwahi kufika nyumbani wala ofisini kwake, huwa sijikombi na sitafanya hivyo.”
 
KITWANGA MUNGU NI MWEMA ATAKULINDA. ADUI AMESHAKUFA AMEOZA PALE CHATO!

ALIKUITA MLEVI ILA YEYE ALIKUWA BONGE LA MZINZI HADI KUHONGA NYUMBA ZA SERIKALI + KUMZALISHA SHEMELA!

asiye na dhambi awe wa kwanza kumpiga Kitwanga mawe!
 
Kuhusu ukaribu wake na hayari John Magufuli anasema “Alikuwa rafiki yangu lakini tangu alipokuwa Rais hatukuwahi kukutana wawili zaidi ya kukutana katika shughuli za kikazi, sikuwahi kufika nyumbani wala ofisini kwake, huwa sijikombi na sitafanya hivyo.”
This is typical Sukuma man!. Hatujikombi!.
Big up sana kwa Charles Kitwanga.
P
 
Huyu alikua na mtoto wa kike mzuri kinoma,ila alikua na nyodo hatari sana.

Alisomaga Coet engineering back in the days,I think pia ni Computer Engineering kama baba yake kwa hizi stori zake hapa...maybe now she is a mother of several piglets

We were ahead of them like 3 years,ila by macho tu she was the hottest than all chicks in her intake,we had the intel and we were looking on her from the far.

In a normal setting,yule demu alikua na nyodo kupita maelezo,by projection,baba would be the same or even worse,ndio maana Magufuli ka-settle scores with him,he will never recover from that assault.

Viewing that chick,by a birds eye view,it seems they are extremely bright kwenye kupata A za madarasani,pia huyu mzee yaelekea ana akili kubwa ya darasani,the problem is nadhani nyodo na dharau,maana mtoto wake huyu I know her,seen her daily at the college for a year I think akaenda SA sababu ya akili nyingi.

Kusoma Essex na sijui BOT and blah blah,na viwanda na blah blah zingine,I see him totally buried,politically and economically....mawaziri mostly ni poor people wakitolewa madarakani.....

For the view of things,yule mtoto wake I doubt alieoa kama he is doing well aisee,that chick is a problem handling up,right up!
 
Back
Top Bottom