Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Sizitaki mbichi hiziFor the view of things,yule mtoto wake I doubt alieoa kama he is doing well aisee,that chick is a problem handling up,right up!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sizitaki mbichi hiziFor the view of things,yule mtoto wake I doubt alieoa kama he is doing well aisee,that chick is a problem handling up,right up!
Acha upumbavuNimekuuliza wewe ndio una kipimo cha ego yake?
Matokeo ya wivu ulio nao ndio hayo hayo yalimfanya Jiwe akajihisi inferior na kuwa na harsh reaction kama tuu unavyofanya wewe..
Eti huwezi kuwa na wivu na biological attributes nani kakudanganya?
Hizo hizo biological attributes ndio zina define matokeo na ustawi wa mtu..
Acha ujinga.
MkuuSizitaki mbichi hizi
We Mayala una tabia ya kujikomba waziwaziThis is typical Sukuma man!. Hatujikombi!.
Big up sana kwa Charles Kitwanga.
P
Nadhani wewe ndio matako mwemyewe sasa!Ili ufanye Kazi na Jiwe unatakiwa kuhamishia akili matakoni ndio maana unaona prof mzima anasema alitolewa jalalani mara mwingine aseme baada ya Mungu anayefuata nai Rais Kwa muktadha ule ni Jiwe nk nk..
Jiwe kiukweli hapana tulipigwa na kuonja radha ya stori za madikteta kama Idd Amini n.k..
We fala kweli kwani kuna uswahiba kwenye Kazi ? Kazi ni sawa na Biashara hakuna uswahiba ukifanya mzaha..Nadhani wewe ndio matako mwemyewe sasa!
Nampongeza jpm kwa kumfukuza uwaziri swahiba wake!
Siyo hizi taktaka zinazolindana sasa hivi
Fala wewe umeshindwa kujibu swali langu unaropoka tuu hapa..Acha upumbavu
Kitwanga ana dharau
Alimdharau Jiwe in a persona level
Jiwe kamuonesha ubabe....he is finished...useless
Mtoto namjua,nilisoma nae..nilimuacha nyuma miaka mitatu....ana dharau and this is a FACT!
Hana chochote cha kumuonea wivu ndugu
His biologicals sina uwezo nazo,mimi ninazo zangu ambazo yeye hana uwezo nazo vile vile......ni kazi ya kuzaliwa ambazo hatuna uwezo nazo
Kila mtu ana ego zake,yeye anazo zake,wewe,mimi na yule tuna ego.....so whats your point here?
Read my lips,Kitwanga hana chochote cha mimi kumuonea wivu...hana hela,hajui siasa,mlevi,nothing for me there....
Na wivu ni feeling,mwenye kua na hiyo feeling ndio anaweza kuprove ana wivu....wewe maiti ambae sio mimi muhusika imejuaje nina hisi wivu maana wewe sio mwili wangu
Umegeuka mganga wa kuagua kujua feelings of other human beings bila wao ku-prove to you what really they are feeling?
Kazi ya uganga waachie waganga
Ni kama mimi niseme una chuki na mimi,how can I really prove that?I cant prove that nonsense..ila unaweza dhania
The dividing line between kusifia genuinely na kujikomba is very thin!. Kusifia genuinely ni ku encorage, kupongeza na kutia moyo, lakini siku akikosea, tunakosoa, lakini kujikomba kazi ni moja tuu, kusifu kwa nyimbo za sifa, shangwe na mapambio, ni mwendo wa fagilia tuu ili kupata chochote kitu, hakuna kukosoa chochote!.We Mayala una tabia ya kujikomba waziwazi
Kwani uchawi haupo duniani?Kuna wasomi wanaamini kulogwa!
Magufuli alitamani Jimbo lake, hivyo tu. Tamaa ya Jimbo, na nadhan alilioata na akalimpa mpwa wake kipenzi.Nakubaliana na wewe kwenye hii analysis yako
Kuna kitu huyu jamaa kamfanyia Magufuli vibaya ndio maana jamaa ali-react that much...
Yeye anajiekti kana kwamba ni mtakatifu hakumfanyia jamaa lolote vile
In reality this dude ana tuprendia tu hapa,he knows what bad he said to him!
Afterall all these are CCM monkeys,let them kill each other..who cares!
What if mtoto karithi akili kwa baba na amerithi nyodo kwa mama yake??Mkuu mi namjua huyo mtoto wake....najaribu kuvuta picha kutoka kwa mtoto kwenda kwa baba
Remember mtoto ana 50% ya DNA ya baba,alichonacho mtoto baba anaweza kua nacho mara mbili zaidi
Mtoto alikua na nyodo mzee acha kabisa....na nikicheck huyu jamaa anavyoongea kwenye hii interview,anavyongea kwa mafumbo katika kumdharau Magufuli,directly atakua na nyodo,tena yeye anaweza kua hata worse than mtoto wake.
Another comparison ni akili...huyo binti alikua na akili kama sikosei alikua top student walipokua first year,nadhani UDSM engineering hapakumfaa tena,ghafla next year haonekani,uvumi ukapita alienda mbele South Africa....
Sasa kama mtoto alikua na akili nyingi hivyo,my estimation ni kwamba baba atakua mara mbili ya huyo binti....
Na my estimation ni nearly correct sababu kwenye hii interview jamaa mwenyewe anasema alisoma computing UDSM ambapo ni course ya top students plus kaenda Essex UK,which means huyu jamaa alikua na akili kwenye top 1% percentile!With this interview my theories are just clear and proven!
Sijasema namtwika mtoto vitendo vya baba yake,maana ni watu wawili tofauti...
Najaribu kufanya comparison mzazi na mtoto wake
This is typical Sukuma man!. Hatujikombi!.
Big up sana kwa Charles Kitwanga.
P
As per hii interview,Kitwanga ana dharau....my guess is that alimdharau sana JPM,ndio maana waka fallout!What if mtoto karithi akili kwa baba na amerithi nyodo kwa mama yake??
How can you prove this?Magufuli alitamani Jimbo lake, hivyo tu. Tamaa ya Jimbo, na nadhan alilioata na akalimpa mpwa wake kipenzi.
https://www.jamiiforums.com/By implication Magufuli alikuwa akimfuatilia