Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Inachosha sana aise...kama Taifa bado tuna safari ndefuKuna wasomi wanaamini kulogwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inachosha sana aise...kama Taifa bado tuna safari ndefuKuna wasomi wanaamini kulogwa!
Katika watu wasiojikomba na wewe umo? Paschal acha unafiki[emoji23].This is typical Sukuma man!. Hatujikombi!.
Big up sana kwa Charles Kitwanga.
P
Mkuu Mac Alpho, kiukweli, mimi nipo sana!. Nilipoamua nagombea EALA,Katika watu wasiojikomba na wewe umo? Paschal acha unafiki[emoji23].
Kwa hiyo ukiwa msomi ndio ukatae uhalisia?Kuna wasomi wanaamini kulogwa!
And you totally believe kwamba Kitwanga aliingia Bungeni akiwa amelewa! That was a cooked up scene, kulikuwa na jambo kati yao probably kama ulivyosema tangu zamani and Magu settled a score kumuonyesha kwamba 'I am the President' mambo ya urafiki na kujiona ni bora kuliko mimi it's all over.Well said,
But my observation between the two ni kwamba namwona Kitwanga kama yule mtu ambae aliona ni yeye ndie aliestahiki more favours regardless ya uhusiano wao wa huko nyuma kwa kuwa alikuwa kama ulivyosema kwamba alikuwa amwangalia jamaa down ( kwamba yeye Kitwanga ana uwezo zaidi yake) na kutumia muda mwingi "behind the scenes to undermine him".
Ile kwenda Bungeni akiwa drunk ni moja ya efforts za kumprovoke mzee ili achukue hatua ambayo mwishowe itatengeneza uadui wa kudumu.
Hiyo situation ni wazi kuwa it will create defensive mechanism au measure or altogether from chief na akawa atumia njia hizo na state organs kumzima jamaa.
Alijiloga mwenyewe." huwa sijikombi na sitafanya hivyo.”
Tupo maana elimu zetu tumeteseka nazo kimiujiza ujiza.Kuna wasomi wanaamini kulogwa!
Kwa msukuma si ajabu.Nimemsikiliza jamaa na ni wazi anaamini sana mambo ya ushirikina. Hata ya India anaamini ilisababishwa na mkono wa mtu. Ni aibu sana.
Amandla...
Kwahiyo hakulewa?And you totally believe kwamba Kitwanga aliingia Bungeni akiwa amelewa! That was a cooked up scene, kulikuwa na jambo kati yao probably kama ulivyosema tangu zamani and Magu settled a score kumuonyesha kwamba 'I am the President' mambo ya urafiki na kujiona ni bora kuliko mimi it's all over.
Ukikua utayaona.Kuna wasomi wanaamini kulogwa!
Zee kubwa lakini liongo.Ana maana alirogwa ili aingie kazini akiwa bwaxi nau aliwekewa huo uchawi kwenye pombe? Kila mtu alimuona siku ile Bungeni kuwa alikuwa chicha,aache uongo wake wa kibwegebwege
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Inapumua funza 0714 ya huyu jamaaIkipita siku bila kumponda huyo mwamba,0713 yako huwa inakuwasha?
Wivu huuHuyu alikua na mtoto wa kike mzuri kinoma,ila alikua na nyodo hatari sana.
Alisomaga Coet engineering back in the days,I think pia ni Computer Engineering kama baba yake kwa hizi stori zake hapa...maybe now she is a mother of several piglets
We were ahead of them like 3 years,ila by macho tu she was the hottest than all chicks in her intake,we had the intel and we were looking on her from the far.
In a normal setting,yule demu alikua na nyodo kupita maelezo,by projection,baba would be the same or even worse,ndio maana Magufuli ka-settle scores with him,he will never recover from that assault.
Viewing that chick,by a birds eye view,it seems they are extremely bright kwenye kupata A za madarasani,pia huyu mzee yaelekea ana akili kubwa ya darasani,the problem is nadhani nyodo na dharau,maana mtoto wake huyu I know her,seen her daily at the college for a year I think akaenda SA sababu ya akili nyingi.
Kusoma Essex na sijui BOT and blah blah,na viwanda na blah blah zingine,I see him totally buried,politically and economically....mawaziri mostly ni poor people wakitolewa madarakani.....
For the view of things,yule mtoto wake I doubt alieoa kama he is doing well aisee,that chick is a problem handling up,right up!
Wivu kivipi mzee?Wivu huu
Akili ulizokiri..Wivu kivipi mzee?
Kitwanga ana nini cha kunifanya niwe na wivu?
Niache kumuonea wivu Mo Dewji kwenye biashara nije kumuonea wivu masikini Kitwanga anaelilia nafasi za kuteuliwa?
Kwenye politics niache kumuonea wivu Mbowe au Tundu Lissu au Makamba kwa highest IQs zao katika medani hiyo nije kumuonea wivu mtu poor kabisa asiejua hata kujieleza kama Kitwanga?
Una matatizo wewe
Mzee una tatizoAkili ulizokiri..
Maskini huwa anasema mwenye mali ana kiburi..
Mburula huwa mnasema mwenye akili ana majivuno so ndio wivu wenyewe huu..
Kwani wewe ndio kipimo cha ego ya mtu?
Nimekuuliza wewe ndio una kipimo cha ego yake?Mzee una tatizo
Ana akili ya darasani ndio....hiyo ni biological lottery,ameamka asubuhi anazo
Tuseme kila biological advantage tulizonazo zifanye nione wivu?
Hoja yako hai make any sense!
Yeye ana akili,mimi nina urefu wa futi 6"9....yeye ana hiki mimi nina kile..biologically huwezi onea wivu biological attributes maana we do not have any control over them....
Yeye ana ubongo mkubwa,mimi mrefu...yeye ana **** fupi mimi ninayo ndefu..yeye ana mguu wa kiatu namba 9 mimi nina mguu wa namba 17...yeye mzee wa miaka 62 mimi kijana nusu ya umri wake...etc etc....
Hizo ni biological attributes we cant wivu nazo because we do not have control on them regardless!
Hujielewi ndugu