Ikipita siku bila kumponda huyo mwamba,0713 yako huwa inakuwasha?Yule shetani anatakiwa afe tena kule alipo
Ila jiwe licha ya mazuri yake,yule jamaa haiwezekani kumpaka rangi, kama hadi kitwanga Rafiki yake amesema hivi basi baadhi ya mambo hasingiziwiSasa kwa nini Magufuli alikuwa akimfuatilia? Inaonekana alikuwa hataki tena Kitwanga awe mbunge
Mkuu mi namjua huyo mtoto wake....najaribu kuvuta picha kutoka kwa mtoto kwenda kwa babaTuna deal na mzazi, mwacheni mtoto!
Kumbe hata nyie maccm tozo linawaumiza kichwa.....!!Baada ya Tozo kuwakalia kooni
Waneamua watafute mambo ya kutunga ili kutuhamisha akili zetu.
Kwanini iwe aibu kwani wewe huamini kama kuna uchawi duniani?!Nimemsikiliza jamaa na ni wazi anaamini sana mambo ya ushirikina. Hata ya India anaamini ilisababishwa na mkono wa mtu. Ni aibu sana.
Amandla...
Siamini.Kwanini iwe aibu kwani wewe huamini kama kuna uchawi duniani?!
Ili ufanye Kazi na Jiwe unatakiwa kuhamishia akili matakoni ndio maana unaona prof mzima anasema alitolewa jalalani mara mwingine aseme baada ya Mungu anayefuata nai Rais Kwa muktadha ule ni Jiwe nk nk..Mwanasiasa ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga amezungumza mambo mengi katika mahojiano maalum na Dar24 na kufunguka mambo mengi ikiwemo sakata lake la kuvuliwa Uwaziri kwa kile kilichoelezwa aliingia Bungeni akiwa amelewa.
KITWAGA: NILILOGWA, NITATENGENEZEWA ZENGWE NIKAPONA KIMIUJIZA
Mwanasiasa Charles Kitwanga amesema huwa anacheka akikumbuka stori ya kuvuliwa nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya Ndani mwaka 2016 kwa madai alilewa kwa kuwa siku ya tukio alikuwa anaumwa na alikunywa dawa.
Amesema hayo ni mambo hutokea katika Siasa ambapo pia unaweza kutengenezewa zengwe, skendo, kulongwa au kutafutwa ili umalizwe, ambapo yeye yote yalimkuta.
Kuhusu kurogwa anasema “Nilipata kiharusi, nikalazwa Muhimbili nikaenda kupona India, nadhani nilipona kimiujiza kwa kuwa namuamini Mungu.”
Kuhusu kuvuliwa Uwaziri amesema “Huwa inaniumiza nikikumbuka, kwani nilijua, ninajua na wenyewe wanajua walichofanya.”
KITWANGA: NILIWEKEWA ULINZI NA KUFUATILIWA KILA HATUA
Charles Kitwanga amedai wakati akiwania Ubunge 2020 alikuwa akifuatiliwa na anaoamini ni walinzi, karibu na nyumbani kwake ambapo walimfuatilia kila anakokwenda.
Amesema “Kulikuwa na magari matatu kwa siku 10, ndani ya magari hayo kulikuwa na vijana wa PCCB, Usalama wa Taifa na Askari, ni kama ilikuwa mashindano ya Kitwanga na Serikali.”
Kuhusu ukaribu wake na hayari John Magufuli anasema “Alikuwa rafiki yangu lakini tangu alipokuwa Rais hatukuwahi kukutana wawili zaidi ya kukutana katika shughuli za kikazi, sikuwahi kufika nyumbani wala ofisini kwake, huwa sijikombi na sitafanya hivyo.”
Imagine!Kuna wasomi wanaamini kulogwa!
Stupid company sustaining itself from government and politicians mercy....Sawa mkuu. Nakumbuka miaka ya nyuma ile kampuni yako ya INFOSYS ilitoa ajira kwa vijana wengi sana, pia ulipiga tenda kubwa kubwa kwenye taasisi nyeti za serikali ikiwemo BOT.
Nimemsikiliza jamaa na ni wazi anaamini sana mambo ya ushirikina. Hata ya India anaamini ilisababishwa na mkono wa mtu. Ni aibu sana.
Amandla...
Kwa hiyo wewe hujikombi! Mbona aliposema una njaa ulikaa kimya? Au ulikuwa kweli una njaa?This is typical Sukuma man!. Hatujikombi!.
Big up sana kwa Charles Kitwanga.
P
Acha ukabila brotherThis is typical Sukuma man!. Hatujikombi!.
Big up sana kwa Charles Kitwanga.
P
nilidhani ungempa jiwe credit kwa kumng'oa cheo swahiba wake.... kitu cha nadra sana AfrikaIla jiwe licha ya mazuri yake,yule jamaa haiwezekani kumpaka rangi, kama hadi kitwanga Rafiki yake amesema hivi basi baadhi ya mambo hasingiziwi
Basi wewe si Msukuma... Wewe ulianza kujikomba kwa Magufuli akaku ignore sasa umekazana sana kwa Samia. Nadhani naona bado hajaamua.... Wewe ni Mzaramo, Mmatumbi,Mndengereko au Mtu wa Msoga.This is typical Sukuma man!. Hatujikombi!.
Big up sana kwa Charles Kitwanga.
P
nilidhani ungempa jiwe credit kwa kumng'oa cheo swahiba wake.... kitu cha nadra sana Afrika
of course Kitwanga has an axe to grind kwa kunyolewa uwaziri, lazima amzodoe JPM, lakini dhamira yake inamsuta, anashindwa hata kumtaja JPM...
na anakiri kwamba ni kweli he was under the influence.... hakuwa na akili timamu jioni ile bungeni....
Kwamba ni pombe ya ulanzi, au madawa ya hospitali, au madawa ya kulevya, sisi hatungeweza kubaini. For all we cared, Waziri alisimama bungeni akiwa mentally impaired, President was livid, sacked his arse out of cabinet, didn't give a hoot about their lifelong friendship, a first in the history of Africa... Thumbs up to Pombe Magufuli
huyu naye anatuchosha tu na swaga zake kwa nn hakusema wakati JPM yuko hai kama si unafiki.wakati mwingine tumwogope Mungu.Mwanasiasa ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga amezungumza mambo mengi katika mahojiano maalum na Dar24 na kufunguka mambo mengi ikiwemo sakata lake la kuvuliwa Uwaziri kwa kile kilichoelezwa aliingia Bungeni akiwa amelewa.
KITWAGA: NILILOGWA, NITATENGENEZEWA ZENGWE NIKAPONA KIMIUJIZA
Mwanasiasa Charles Kitwanga amesema huwa anacheka akikumbuka stori ya kuvuliwa nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya Ndani mwaka 2016 kwa madai alilewa kwa kuwa siku ya tukio alikuwa anaumwa na alikunywa dawa.
Amesema hayo ni mambo hutokea katika Siasa ambapo pia unaweza kutengenezewa zengwe, skendo, kulongwa au kutafutwa ili umalizwe, ambapo yeye yote yalimkuta.
Kuhusu kurogwa anasema “Nilipata kiharusi, nikalazwa Muhimbili nikaenda kupona India, nadhani nilipona kimiujiza kwa kuwa namuamini Mungu.”
Kuhusu kuvuliwa Uwaziri amesema “Huwa inaniumiza nikikumbuka, kwani nilijua, ninajua na wenyewe wanajua walichofanya.”
KITWANGA: NILIWEKEWA ULINZI NA KUFUATILIWA KILA HATUA
Charles Kitwanga amedai wakati akiwania Ubunge 2020 alikuwa akifuatiliwa na anaoamini ni walinzi, karibu na nyumbani kwake ambapo walimfuatilia kila anakokwenda.
Amesema “Kulikuwa na magari matatu kwa siku 10, ndani ya magari hayo kulikuwa na vijana wa PCCB, Usalama wa Taifa na Askari, ni kama ilikuwa mashindano ya Kitwanga na Serikali.”
Kuhusu ukaribu wake na hayari John Magufuli anasema “Alikuwa rafiki yangu lakini tangu alipokuwa Rais hatukuwahi kukutana wawili zaidi ya kukutana katika shughuli za kikazi, sikuwahi kufika nyumbani wala ofisini kwake, huwa sijikombi na sitafanya hivyo.”
Dah, kweli nasikia Mnyeti alikua bilionea kipindi cha Magufuli kutoka kuwa mwalimu hadi DC kisha RC kisha mbunge bilioneaHujui Mnyet. Ni mtoto wa dada ake marehemu?Ni mmoja Kati ya waliokua hawagusiki na waliokula Maisha kipindi Cha Mjomba wake akiwa madarakani.