Charles Kitwanga: Sioni umuhimu wa Nchi kufanya Sensa kila baada ya miaka 10

Charles Kitwanga: Sioni umuhimu wa Nchi kufanya Sensa kila baada ya miaka 10

Mwanasiasa, Charles Kitwanga amesema haoni umuhimu wa Serikali kufanya Sensa nyingine baada ya miaka 10 kwa kuwa kuna njia nyingine za kupata idadi ya watu tofauti na hiyo iliyotumika.

Amesema kwa kuwa idadi ya watu imeshajulikana, Serikali itengeneze utaratibu wa kidigitali wa kuongeza watu wanaozaliwa ili waingizwe kwenye mifumo ya NIDA.

Anasema “Umeshasikia Ulaya au Marekani wanafanya sensa kila baada ya miaka 10? Wanafanya lakini huwa ni ya kitengo maalum na siyo Sensa ya nchi.

Chanzo: Dar24


Huyu mzee amelewa tena. Mimi nipo US na tumefanya sensa hapa 2020 ya nchi nzima na ndiyo inatumika kuongeza na kupunguza wabunge wa majimbo. Hivyo sio kweli sensa bado ni mihimu


The United States census of 2020 was the twenty-fourth decennial United States census. Census Day, the reference day used for the census, was April 1, 2020. Wikipedia
Dates: Apr 1, 2020 – Oct 16, 2020
Location: United States
Total population: 331,449,281 (7.4%)
Most populous state: California (39,538,223)
Slogan: Shape your future census.gov
 
Alihojiwa akiwa kashamwagilia moyo ama bado?
Sensa ilikuwa na maswali jumla 100 but yatapungua kadri ujibuvyo...
Sio idadi yawatu tuu ndiyo inahitajika! Sio kilakitu tujifananishe na marekani ambao tunatofautiana mmmno kimaisha.
Bora ulitumbuliwaga uwaziri chyaaa...
 
Mwanasiasa, Charles Kitwanga amesema haoni umuhimu wa Serikali kufanya Sensa nyingine baada ya miaka 10 kwa kuwa kuna njia nyingine za kupata idadi ya watu tofauti na hiyo iliyotumika.

Amesema kwa kuwa idadi ya watu imeshajulikana, Serikali itengeneze utaratibu wa kidigitali wa kuongeza watu wanaozaliwa ili waingizwe kwenye mifumo ya NIDA.

Anasema “Umeshasikia Ulaya au Marekani wanafanya sensa kila baada ya miaka 10? Wanafanya lakini huwa ni ya kitengo maalum na siyo Sensa ya nchi.

Chanzo: Dar24
Hajui kuna Ofisi inaitwa US Census Bureau ya akina Mack Levin huyu Ref Census.gov

Walikuwa na sensa 2020 Ref 2020 Census
 
Jmn na huyo aliwahi kuwa Waziri nchi hii?? Sensa haichukui only taarifa za idadi ya watu.
Hata kama inachukua na idadi ya mazao, lkn sensa yetu sio sawa, ni upotevu wa pesa huma pasipo na sababu, hata mwenyekiti wa mtaa au mtendaji anaweza kufanya kazi hiyo kwa gharama ndogo sana.
 
Mwanasiasa, Charles Kitwanga amesema haoni umuhimu wa Serikali kufanya Sensa nyingine baada ya miaka 10 kwa kuwa kuna njia nyingine za kupata idadi ya watu tofauti na hiyo iliyotumika.

Amesema kwa kuwa idadi ya watu imeshajulikana, Serikali itengeneze utaratibu wa kidigitali wa kuongeza watu wanaozaliwa ili waingizwe kwenye mifumo ya NIDA.

Anasema “Umeshasikia Ulaya au Marekani wanafanya sensa kila baada ya miaka 10? Wanafanya lakini huwa ni ya kitengo maalum na siyo Sensa ya nchi.

Chanzo: Dar24
Hii ng'ombe inaongea kitu gani?
Screenshot_20220916_204623.jpg
 
Kwa hiyo unadhani huko ulaya wanasibiri sensa ya baada ya miaka 10 ndio wapange maendeleo ya mataifa yao? Hujua maana na faida za kuwa na mifumo (database systems) inayokusanya data mara kwa mara au wakati wote.
Mkuu Rudi shule.... Mambo mengi hamjui ndiyo maana maccm yanafanya Kila uhuni na Bado mnashangilia.
 
Huyu naye alikuwa waziri? Kuna mawaziri wajinga sana
Hapo naona kumetokea mgongano wa akili ndogo na kubwa,mwenye exposure na asiye na exposure,kwa nyongeza,mtaalam wa IT anayejua umuhimu wa data base system na asiyekua na exposure na hajui chochote kuhusu data base system.Elimu ni muhimu sana.
 
Alafu mtautangazia ulimwengu kwamba mna idadi ya watu wangapi, kwa sensa mliofanya lini?! Lazima kuwe na periodic sensus.. kitwanga pombe zimemharibu kichwa
 
Alafu mtautangazia ulimwengu kwamba mna idadi ya watu wangapi, kwa sensa mliofanya lini?! Lazima kuwe na periodic sensus.. kitwanga pombe zimemharibu kichwa
Hivi mkiwa na utaratibu mzuri wa kurekodi wageni na watoto wanaozaliwa kuna haja ya sensa ya kila baada ya miaka 10 ?
 
Back
Top Bottom