Charles Kitwanga: Sioni umuhimu wa Nchi kufanya Sensa kila baada ya miaka 10

Charles Kitwanga: Sioni umuhimu wa Nchi kufanya Sensa kila baada ya miaka 10

Mwanasiasa, Charles Kitwanga amesema haoni umuhimu wa Serikali kufanya Sensa nyingine baada ya miaka 10 kwa kuwa kuna njia nyingine za kupata idadi ya watu tofauti na hiyo iliyotumika.

Amesema kwa kuwa idadi ya watu imeshajulikana, Serikali itengeneze utaratibu wa kidigitali wa kuongeza watu wanaozaliwa ili waingizwe kwenye mifumo ya NIDA.

Anasema “Umeshasikia Ulaya au Marekani wanafanya sensa kila baada ya miaka 10? Wanafanya lakini huwa ni ya kitengo maalum na siyo Sensa ya nchi.

Chanzo: Dar24
Ndo maana waafrika tunazidi kuwa Masikini kwa mambo kama haya Sensa
 
Jmn na huyo aliwahi kuwa Waziri nchi hii?? Sensa haichukui only taarifa za idadi ya watu.
Taarifa zote za sensa zinaweza kuwa tracked kidigitally. Unless uwezo wako wa kufikiri ni mdogo ndo maana huoni kama ni possible kupata taarifa zote bila kuhitajika kufanya sensa
 
Hata wangetumia wajumbe wa nyumba kumi wangepata data nzuri kwa gharama nafuu maana anawajua wakazi wa kila nyumba kwenye maeneo yao
Kuna watu Wana fungu lao Kama iyo lami ya dar to Moro so mtu anajiandaa kuwanyonya masikini yaani kwa wajinga Ni kupiga hela tu
 
NIDA ilitakiwa hata mtoto anapozaliwa basi apate kitambulisho amabacho RITA wanakuwa na kopy ya hicho hicho kitambulisho. Sasa hivi hata wageni wanaoishi hapa nchini wanapatiwa nida card.

Ilitakiwa hata bank wakihitaji taarifa za mteja za awali kama majina,umri, adress, kazi anayofanya, credit reference history vyote nida iwapa taarifa. Polisi wawe na access na nida, serikali ya mtaa,mahakamani, pension funds, mashuleni. Yaani nida ilitakiwa iwe kama social security ID no. Na hili linawezekana kwa uweke,aji uliofanywa nida lakini wanaogopa kuna watu wa kati watakosa ugali ikiwa nida itabeba kila kitu na hii ndio ingekuwa inaleta idadi kamili ya watu na makundi yao kama mgeni, mtoto, mlemavu, mgonjwa, anapaswa kulipa kodi anamiliki nini na ana shughuli gani.
 
Mbona huku Uingereza hakuna sensa?????
Uko Uingereza ipi mkuu ? Maana unaweza kuwa umetapeliwa.
Screenshot_20220918-092842_Google.jpg
 
Taarifa zote zinazochukuliwa wakati wa sensa zinaweza kuchukuliwa wakati wote. Mfano idadi na aina ya nyumba...kila ujenzi usajiliwe kwa Mtendaji.
Yaani nikasajili nyumba yangu kwa mtendaji ?

Kwani wewe kuweza ?
 
😳 seriously! Tumeliwa
Huyu naye eti slikuwa anatutawala
Hivi ccm akili mliweka wapi?
Mnawaza matamanio yenu tuuuu kwa pesa za mvuja jasho
Masihi shuka dah
 
Back
Top Bottom