Kwani Mkuu Serikali haijui imewafikia Wananchi wake kwa kiasi katika upande wa miundo mbinu na huduma za Kijamii kama vile Shule na Hospitali? Kwa mfano Serikali ina uwezo wa kujua idadi ya shule zinazomilikiwa na Serikali na watu binafsi nchi pamoja na vituo vyote vya huduma za afya kwa yenyewe kupitia idara zake ndiyo wanaidhinisha hayo mambo.
Nafikiri Kitwanga ana hoja ya Msingi katika kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ambapo fedha hizo zingetumika katika kuboresha maeneo mengine yenye uhitaji.
Binafsi naamini Serikali ina uwezo wa kupata takwimu sahihi za watu wake kwa kuzitumia vyema taasisi zake zilizotawanyika maeneo mbalimbali nchini.
Sent from my TECNO KC6 using
JamiiForums mobile app