MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Kuna shida gani? Sensa ya mwaka huu ilikuwa transformative; kiasi cha data kilichokusanywa ni kikubwa na cha maana sana; ingawa hakiwezi kuwa perfect lakini hata ikiwa 70-80 correct, kitakuwa na maana sana.Je utaratibu ndio kama huu wenu wa kuuliza kama mna smartphone na kupiga tiki milango ?
Ni mtazamo mzuri ila lazima tuelewane kua bado hatujafika huko. Ila tutafika kama tutakua na viongozi wenye maono.Mwanasiasa, Charles Kitwanga amesema haoni umuhimu wa Serikali kufanya Sensa nyingine baada ya miaka 10 kwa kuwa kuna njia nyingine za kupata idadi ya watu tofauti na hiyo iliyotumika.
Amesema kwa kuwa idadi ya watu imeshajulikana, Serikali itengeneze utaratibu wa kidigitali wa kuongeza watu wanaozaliwa ili waingizwe kwenye mifumo ya NIDA.
Anasema “Umeshasikia Ulaya au Marekani wanafanya sensa kila baada ya miaka 10? Wanafanya lakini huwa ni ya kitengo maalum na siyo Sensa ya nchi.
Chanzo: Dar24
Kitwanga aache uongo.nakaa uingereza na nimefanya sensa mara mbili .sema hawatumii nguvu kama hiyo ya kwetu. Volume ya document inatumwa kila address na household wanazijaza mostly online bila mbwembwe za training wala nini. Kwa kuwa level ya civilization nadhani tunazidiana serikali ina confidence na self assessment sawasawa na upigaji wa kura .so labda kitwanga alimaanisha nchi zingine ila hapa uk sensa ni miaka 10 sawa na bongoMwanasiasa, Charles Kitwanga amesema haoni umuhimu wa Serikali kufanya Sensa nyingine baada ya miaka 10 kwa kuwa kuna njia nyingine za kupata idadi ya watu tofauti na hiyo iliyotumika.
Amesema kwa kuwa idadi ya watu imeshajulikana, Serikali itengeneze utaratibu wa kidigitali wa kuongeza watu wanaozaliwa ili waingizwe kwenye mifumo ya NIDA.
Anasema “Umeshasikia Ulaya au Marekani wanafanya sensa kila baada ya miaka 10? Wanafanya lakini huwa ni ya kitengo maalum na siyo Sensa ya nchi.
Chanzo: Dar24
Sawa, jana Makongoro Nyerere amemwambia kamisaa wa Sensa Anne Makinda kuwa mkoa wa Manyara wamehesabiwa watu takribani laki 3. Sasa kwa muundo huo watz si tutatangazwa kuwa tupo milioni 30 hivi kutoka milioni 50 ya 2012. Sensa 2022 ni zoezi lililofeliHahahahah, taarifa zinazohitajika Kwa zoezi la sensa ni zaidi ya hizo anazojua. Kumuibia tu Siri taarifa za kidemografia ndiyo wengi wetu tunazijua zinachukuliwa lakini kumbe Kuna taarifa za hali ya uchumi, huduma za jamii na mambo kadhaa ya takwimu za kielimu na hali ya umiliki wa ardhi ambayo lazima serikali iyafahamu ili iweze kupanga mipango ya maendelao. Na kingine suala la sensa siyo takwa la kitaifa pekee Bali ni takwa la kimataifa. Hata hao Marekani na nchi zilizoendelea hufanya sensa tena ndani ya miaka mitano ama chini ya hapo. Madharani Marekani hufanya Sensa Kila baada ya miaka 10. Sensa ni muhimili mhimu wa maendelao na takwimu sahihi za sensa zinaweza kuongeza Pato la taifa Kwa asilimia sita .6%
SWALI gani hili unauliza?Wizara Gani husika,,
Sababu deal CIA na pesa wanatoa wao basi sawaMwanasiasa, Charles Kitwanga amesema haoni umuhimu wa Serikali kufanya Sensa nyingine baada ya miaka 10 kwa kuwa kuna njia nyingine za kupata idadi ya watu tofauti na hiyo iliyotumika.
Amesema kwa kuwa idadi ya watu imeshajulikana, Serikali itengeneze utaratibu wa kidigitali wa kuongeza watu wanaozaliwa ili waingizwe kwenye mifumo ya NIDA.
Anasema “Umeshasikia Ulaya au Marekani wanafanya sensa kila baada ya miaka 10? Wanafanya lakini huwa ni ya kitengo maalum na siyo Sensa ya nchi.
Chanzo: Dar24
UnaSawa, jana Makongoro Nyerere amemwambia kamisaa wa Sensa Anne Makinda kuwa mkoa wa Manyara wamehesabiwa watu takribani laki 3. Sasa kwa muundo huo watz si tutatangazwa kuwa tupo milioni 30 hivi kutoka milioni 50 ya 2012. Sensa 2022 ni zoezi lililofeli
Sasa unataka mkoa wa manyara wawe wangapi? Hata hivyo mkuu wa mkoa amejuaje takwimu za Wana manyara ilihali wenye dhamana ya kutangaza idadi ya watu waliohesabiwa wakati wa sensa ni NBS na ofisi ya mtakwimu mkuu ZANZIBAR. Na Rais ndiyo mhusika mkuu wa kutangaza idadi ya watu wote nchini.Sawa, jana Makongoro Nyerere amemwambia kamisaa wa Sensa Anne Makinda kuwa mkoa wa Manyara wamehesabiwa watu takribani laki 3. Sasa kwa muundo huo watz si tutatangazwa kuwa tupo milioni 30 hivi kutoka milioni 50 ya 2012. Sensa 2022 ni zoezi lililofeli
Mkuu wapi nimesema 'ninataka' idadi ya watu mkoa wa Manyara iwe kadhaa? Mimi nimeeleeza kuwa kwa mujibu wa sensa hii huenda watanzania tukawa wachache sana maana takwimu zinazotajwa zina namba ndogo sana ukifananisha na takwimu zilizopatikana kwa sensa ya 2012. Itakuwa kinyume na tunavyoaminishwa kuwa tumezaliana sanaUna
Sasa unataka mkoa wa manyara wawe wangapi? Hata hivyo mkuu wa mkoa amejuaje takwimu za Wana manyara ilihali wenye dhamana ya kutangaza idadi ya watu waliohesabiwa wakati wa sensa ni NBS na ofisi ya mtakwimu mkuu ZANZIBAR. Na Rais ndiyo mhusika mkuu wa kutangaza idadi ya watu wote nchini.
Inawezekana kweli ulichosema.Hata kama inachukuwa mpaka idadi ya nywele vichwani. Jamaa ana point. Dunia ya sasa ya kiditali, ukiwa na viongozi wa nchi wenye maono, wanaojua umuhimu wa database ya raia, sensa siyo muhimu. Viongozi wenye maono na wachapakazi lakini, siyo mburura kama kina Mwingulu.
Taarifa hizo zinaweza patikana kirahisi kama kila balozi au kata kutakuwa na uandikishaji wa watu pindi wanapohamia hiyo kata. Utasema unapokaa na tin number yakoJmn na huyo aliwahi kuwa Waziri nchi hii?? Sensa haichukui only taarifa za idadi ya watu.
Lengo kuu ndio hilo hizo zingine ni mbwembwe tuJmn na huyo aliwahi kuwa Waziri nchi hii?? Sensa haichukui only taarifa za idadi ya watu.
Kwani Mkuu Serikali haijui imewafikia Wananchi wake kwa kiasi katika upande wa miundo mbinu na huduma za Kijamii kama vile Shule na Hospitali? Kwa mfano Serikali ina uwezo wa kujua idadi ya shule zinazomilikiwa na Serikali na watu binafsi nchi pamoja na vituo vyote vya huduma za afya kwa yenyewe kupitia idara zake ndiyo wanaidhinisha hayo mambo.Hahahahah, taarifa zinazohitajika Kwa zoezi la sensa ni zaidi ya hizo anazojua. Kumuibia tu Siri taarifa za kidemografia ndiyo wengi wetu tunazijua zinachukuliwa lakini kumbe Kuna taarifa za hali ya uchumi, huduma za jamii na mambo kadhaa ya takwimu za kielimu na hali ya umiliki wa ardhi ambayo lazima serikali iyafahamu ili iweze kupanga mipango ya maendelao. Na kingine suala la sensa siyo takwa la kitaifa pekee Bali ni takwa la kimataifa. Hata hao Marekani na nchi zilizoendelea hufanya sensa tena ndani ya miaka mitano ama chini ya hapo. Madharani Marekani hufanya Sensa Kila baada ya miaka 10. Sensa ni muhimili mhimu wa maendelao na takwimu sahihi za sensa zinaweza kuongeza Pato la taifa Kwa asilimia sita .6%
Ni rahisi kujua idadi ya waliozaliwa lakini ni ngumu sana kwenye kujua idadi ya vifo kwa sababu ni idadi ndogo sana ya watu wanaoripoti vifo hivyo kwenye taasisi husika.Kunahitajika mfumo makini wa kusajili vizazi vyote na vifo vyote. Huenda tutakuwa na mfumo kama huo miaka 20 ijayo!
Jaribu kutafakari yupo sahihi kabisa labda kama ulikua mnufaika wa sensaJmn na huyo aliwahi kuwa Waziri nchi hii?? Sensa haichukui only taarifa za idadi ya watu.
Sensa unajibu majibu mengi kuliko unavyidhani.Kwani Mkuu Serikali haijui imewafikia Wananchi wake kwa kiasi katika upande wa miundo mbinu na huduma za Kijamii kama vile Shule na Hospitali? Kwa mfano Serikali ina uwezo wa kujua idadi ya shule zinazomilikiwa na Serikali na watu binafsi nchi pamoja na vituo vyote vya huduma za afya kwa yenyewe kupitia idara zake ndiyo wanaidhinisha hayo mambo.
Nafikiri Kitwanga ana hoja ya Msingi katika kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ambapo fedha hizo zingetumika katika kuboresha maeneo mengine yenye uhitaji.
Binafsi naamini Serikali ina uwezo wa kupata takwimu sahihi za watu wake kwa kuzitumia vyema taasisi zake zilizotawanyika maeneo mbalimbali nchini.
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app