Kashaija72
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,225
- 5,258
Taarifa zote zinazochukuliwa wakati wa sensa zinaweza kuchukuliwa wakati wote. Mfano idadi na aina ya nyumba...kila ujenzi usajiliwe kwa Mtendaji.Jmn na huyo aliwahi kuwa Waziri nchi hii?? Sensa haichukui only taarifa za idadi ya watu.
Ndo maana waafrika tunazidi kuwa Masikini kwa mambo kama haya SensaMwanasiasa, Charles Kitwanga amesema haoni umuhimu wa Serikali kufanya Sensa nyingine baada ya miaka 10 kwa kuwa kuna njia nyingine za kupata idadi ya watu tofauti na hiyo iliyotumika.
Amesema kwa kuwa idadi ya watu imeshajulikana, Serikali itengeneze utaratibu wa kidigitali wa kuongeza watu wanaozaliwa ili waingizwe kwenye mifumo ya NIDA.
Anasema “Umeshasikia Ulaya au Marekani wanafanya sensa kila baada ya miaka 10? Wanafanya lakini huwa ni ya kitengo maalum na siyo Sensa ya nchi.
Chanzo: Dar24
Mbona huku Uingereza hakuna sensa?????Jmn na huyo aliwahi kuwa Waziri nchi hii?? Sensa haichukui only taarifa za idadi ya watu
Taarifa zote za sensa zinaweza kuwa tracked kidigitally. Unless uwezo wako wa kufikiri ni mdogo ndo maana huoni kama ni possible kupata taarifa zote bila kuhitajika kufanya sensaJmn na huyo aliwahi kuwa Waziri nchi hii?? Sensa haichukui only taarifa za idadi ya watu.
Kuna watu Wana fungu lao Kama iyo lami ya dar to Moro so mtu anajiandaa kuwanyonya masikini yaani kwa wajinga Ni kupiga hela tuHata wangetumia wajumbe wa nyumba kumi wangepata data nzuri kwa gharama nafuu maana anawajua wakazi wa kila nyumba kwenye maeneo yao
Hawa ndio wezi wakubwaKuna watu Wana fungu lao Kama iyo lami ya dar to Moro so mtu anajiandaa kuwanyonya masikini yaani kwa wajinga Ni kupiga hela tu
Hata Kenya sijawahi kusikia[emoji41]Hoja
Wajumbe wengi darasa la pili B kutzmia vishkwambi sio rahisiHata wangetumia wajumbe wa nyumba kumi wangepata data nzuri kwa gharama nafuu maana anawajua wakazi wa kila nyumba kwenye maeneo yao
Useme kabisa huo utaratibu ufanyikaje,sio kukosoa bila kutoa njiaHivi mkiwa na utaratibu mzuri wa kurekodi wageni na watoto wanaozaliwa kuna haja ya sensa ya kila baada ya miaka 10 ?
Uko Uingereza ipi mkuu ? Maana unaweza kuwa umetapeliwa.Mbona huku Uingereza hakuna sensa?????
Yaani nikasajili nyumba yangu kwa mtendaji ?Taarifa zote zinazochukuliwa wakati wa sensa zinaweza kuchukuliwa wakati wote. Mfano idadi na aina ya nyumba...kila ujenzi usajiliwe kwa Mtendaji.
Unauhakika hawamiliki simu janjaWajumbe wengi darasa la pili B kutzmia vishkwambi sio rahisi