Charles Odero, afungua kesi Katika Mahakama Kuu kupinga tozo za Miamala ya Simu

Charles Odero, afungua kesi Katika Mahakama Kuu kupinga tozo za Miamala ya Simu

Wanaukumbi.

Mwanaharakati wa Masuala ya Haki za Binadamu, Charles Odero, amefungua kesi Katika Mahakama Kuu, Dar es Salaam dhidi ya Waziri wa Fedha na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupinga tozo za Miamala ya Simu iliyoanza Julai Mosi. Kesi hiyo itaanza Alhamisi,Agosti 12.

Hawa ndiyo wanaharakati wanaotakiwa wapo kwa ajilii ya maslahi ya taifa.

Alaa Salah, shangazi mwenye umri ya miaka 22 aliongoza wananchi Sudan kusimamia Haki;
Alaa Salah, alikuwa mstari wa mbele kupinga utawala wa kidikteta wa Omar Al-Bashir hadi ulipoanguka.
Tanzania tunanogeshana kwa Space huku wamekaa.kwenye sofa majumbani wanakunywa wisk tu karanga.

View attachment 1885631
Wewe umeanzisha harakati zipi za mambo ya msingi ?
 
Ritz kwa mara ya kwanza umeongea jambo la mbolea! Nakubaliana na wewe uharakati ni vitendo na sio uharakati wa mitandaoni,nampongeza sana charles kwa hatua aliyochukua ,ajaishia tu kulalamika tozo toz mitandaoni bali ameenda next step ya kisheria ,wapo baadhi ya wanaharakati wamepinga vitu kwa vitendo kuhusu mambo mabli mbali.

Tozo inaumiza sana hasa kwa sisi tunaotuma na kupokea miamala,kazi zetu zinafanyika maporini hivyo transactions nyingi tunatumia simu,tunakatwa sana tozo zinaumiza ,ukituma 50k basi andaa 4100 ya serikali ya nyongeza ukiachana na za awali za makato.
Hio Avatar jamaa anasura ngumu sana
 
Hahahaah CCM mnatengeneza tatizo then mnataka kupata fursa kwenye hilo tatizo! Wabunge wote 300+ wa CCM walipitisha huu upotolo, then mnataka watu watumie mitandao kukataa tozo! Basi tuvunje bunge tuwe na mijadala tu kwenye mitandao.
Bunge kibogoyo aliwahi kusema Pascal Mayala japo aliitwa na ndungai kwenye kamati ya maadili
 
Kwani huu ujinga umefanywa na nani?.Serikali yako iliyoshindwa ndio iliyotufikisha hapa.unajifanya kumsifia huyo mwanaharakati wakati unajua fika chanzo cha tatizo.
 
Tafuta njia mbadala Mkuu kama kutumia bank n.k. Usikubali hii Serikali haramu ikunyonye nguvu na jasho lako.
Ritz kwa mara ya kwanza umeongea jambo la mbolea! Nakubaliana na wewe uharakati ni vitendo na sio uharakati wa mitandaoni,nampongeza sana charles kwa hatua aliyochukua ,ajaishia tu kulalamika tozo toz mitandaoni bali ameenda next step ya kisheria ,wapo baadhi ya wanaharakati wamepinga vitu kwa vitendo kuhusu mambo mabli mbali.

Tozo inaumiza sana hasa kwa sisi tunaotuma na kupokea miamala,kazi zetu zinafanyika maporini hivyo transactions nyingi tunatumia simu,tunakatwa sana tozo zinaumiza ,ukituma 50k basi andaa 4100 ya serikali ya nyongeza ukiachana na za awali za makato.
 
Wanaukumbi.

Mwanaharakati wa Masuala ya Haki za Binadamu, Charles Odero, amefungua kesi Katika Mahakama Kuu, Dar es Salaam dhidi ya Waziri wa Fedha na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupinga tozo za Miamala ya Simu iliyoanza Julai Mosi. Kesi hiyo itaanza Alhamisi,Agosti 12.

Hawa ndiyo wanaharakati wanaotakiwa wapo kwa ajilii ya maslahi ya taifa.

Alaa Salah, shangazi mwenye umri ya miaka 22 aliongoza wananchi Sudan kusimamia Haki;
Alaa Salah, alikuwa mstari wa mbele kupinga utawala wa kidikteta wa Omar Al-Bashir hadi ulipoanguka.
Tanzania tunanogeshana kwa Space huku wamekaa.kwenye sofa majumbani wanakunywa wisk tu karanga.

View attachment 1885631
Huna unalojua.... Hyu Odero ni CHADEMA tokea akiwa bachelors pale SAUT. Kiri basi kuwa CHADEMA ina watu serious maana unayemsifia ni CHADEMA kindaki ndaki tokea CHASO!
 
Hv ile kesi ilofunguliwaga na jamaa mmoja hv (nmesahau jna lake) ilikuwa inahusiana na mitandao ya simu,,,ile kesi iliishia wapi?
Mwanasheria njaa bashiru yakubu?? Hyu aliacha mambo ya msingi akaanza kujaza thread za kumshambulia Lissu tu akapotelea baada ya kukosa teuzi na ubunge!!

Hata The late Anna Mghwira aliandaa sticky thread kuhusu masuala ya mikopo ya Elimu but alipopata RC akautelekeza uzi bila kuufanyia kazi alipopata madaraka.

Tatizo ni watu kutumia shida zetu kutafuta political capital wakishapata titles ndio zinaishia hapo.

Bashiru Ally aliandaa ilani ya CHADEMA inayosema Katiba mpya itaanzishwa mchakato ndani ya siku 100 za kwanza. Ila alipokua katibu mkuu wa CCM akawa anadai upinzani hauna sera mbadala?? Yaani anakana hta ilani aliyoandaa mwenyewe!! Na akadai katiba Mpya haina ulazima!!

TLDR: Usiwaamini wanasiasa wanaosaka teuzi
 
Mtu Yuko ubelgiji anakunywa supu , alaf anakupa maelekezo uliyepo kwenye daladala za gongo la mboto , umebanana na unanuka jasho ...!!! Anyway huyu mwanaharakati nionyesheni accnt yake Twitter nimfollow
Screenshot_2021-08-09-01-18-54.png

Hyu mwanaharakati ni staunch supporter wa huyo unayemkejeli!! Una jingine??
 
Huyo Odero anapinga MAENDELEO?!!!

Hoja ni KUPUNGUZWA KWA hiyo TOZO na si kufutwa kabisa.....

Hatuna wajomba kutoka nje waje kusimamia mambo yetu ya MAENDELEO TUYATAKAYO......
 
Back
Top Bottom