Charles Odero, afungua kesi Katika Mahakama Kuu kupinga tozo za Miamala ya Simu

Charles Odero, afungua kesi Katika Mahakama Kuu kupinga tozo za Miamala ya Simu

Huyo ODERO mbona hakujitokeza KUUPINGA MRADI WA SGR,UNUNUZI WA NDEGE NA BWAWA LA MWALIMU NYERERE?!!!

Hawa ndugu walikuwa kimyaaa kipindi cha awamu ya 5....

Ni waoga tu......

#KaziIendelee
#NchiKwanza
 
Wewe umeanzisha harakati zipi za mambo ya msingi ?
Mimi siyo mwanaharakati mimi muuza kahawa na kashata mtaani kwangu. Wewe najua mateka wa Mbowe seme unaogopa maandamano harakati zako unazifanyia JF na Tecno yako.
 
Mnafiki tu wewe.Endelea kuipongeza CCM na serikali yake kwa kutuletea hii kodi na mauzauza mengine.

Wangepinga CHADEMA,, usisengesema hayo unayosema.
Tumekuwa na taifa la wapumbavu hadi inatia huruma; wewe kila kitu Chadema tu unaona kama Mumgu wako watu hawajui mipaka ya siasa, watu hawajui mipaka ya vyama vya siasa na nchi.
Mavuvuzela wakilala, wakiamka 24/7 ni siasa za vyama tu.
Tanzania ni kubwa kuliko chama chochote cha siasa, ilinde Tanzania sio chama cha siasa,
 
Mimi siyo mwanaharakati mimi muuza kahawa na kashata mtaani kwangu. Wewe najua mateka wa Mbowe seme unaogopa maandamano harakati zako unazifanyia JF na Tecno yako.
Huyo Odero mwenyewe ni mwanachadema sasa unasemaje CHADEMA hakifanyi harakati za maana ?
 
Wanaukumbi.

Mwanaharakati wa Masuala ya Haki za Binadamu, Charles Odero, amefungua kesi Katika Mahakama Kuu, Dar es Salaam dhidi ya Waziri wa Fedha na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupinga tozo za Miamala ya Simu iliyoanza Julai Mosi. Kesi hiyo itaanza Alhamisi,Agosti 12.

Hawa ndiyo wanaharakati wanaotakiwa wapo kwa ajilii ya maslahi ya taifa.

Alaa Salah, shangazi mwenye umri ya miaka 22 aliongoza wananchi Sudan kusimamia Haki;
Alaa Salah, alikuwa mstari wa mbele kupinga utawala wa kidikteta wa Omar Al-Bashir hadi ulipoanguka.
Tanzania tunanogeshana kwa Space huku wamekaa.kwenye sofa majumbani wanakunywa wisk tu karanga.

View attachment 1885631
Yani MaCCM zaidi ya 300 mmepika ugoro wenu huko bungeni alafu leo hii nyie wenyewe tena mnataka wanaharakati wajekusaidia kupinga hayo maamumuzi ya tozo mahakamani.

Hakika kuitetea CCM inabidi uwe na akili ya maiti.

Takbiiir.
 
Hawa ndio watu tunaowahitaji kwenye kuongoza mapambano...hii safi na huu ndio utetezi kwa wananchi.
 
Yani MaCCM zaidi ya 300 mmepika ugoro wenu huko bungeni alafu leo hii nyie wenyewe tena mnataka wanaharakati wajekusaidia kupinga hayo maamumuzi ya tozo mahakamani.

Hakika kuitetea CCM inabidi uwe na akili ya maiti.

Takbiiir.
😂😂😂
 
What are issues in that case,nionavyo Mimi Hili suala likishafikishwa mahakamani,linaweza kuchelewesha mchakato wa serikali wa ku-review viwango ada ya kutuma na kutoa fedha kwa hoja kuwa wanasubiri uamuzi wa mahakama.
 
Mwanasheria njaa bashiru yakubu?? Hyu aliacha mambo ya msingi akaanza kujaza thread za kumshambulia Lissu tu akapotelea baada ya kukosa teuzi na ubunge!!

Hata The late Anna Mghwira aliandaa sticky thread kuhusu masuala ya mikopo ya Elimu but alipopata RC akautelekeza uzi bila kuufanyia kazi alipopata madaraka.

Tatizo ni watu kutumia shida zetu kutafuta political capital wakishapata titles ndio zinaishia hapo.

Bashiru Ally aliandaa ilani ya CHADEMA inayosema Katiba mpya itaanzishwa mchakato ndani ya siku 100 za kwanza. Ila alipokua katibu mkuu wa CCM akawa anadai upinzani hauna sera mbadala?? Yaani anakana hta ilani aliyoandaa mwenyewe!! Na akadai katiba Mpya haina ulazima!!

TLDR: Usiwaamini wanasiasa wanaosaka teuzi
Yeah ni huyo huyo yakoub. BTW wasomi njaa n tatzo sana kwa nchi hii
 
Kwani huu ujinga umefanywa na nani?.Serikali yako iliyoshindwa ndio iliyotufikisha hapa.unajifanya kumsifia huyo mwanaharakati wakati unajua fika chanzo cha tatizo.
Usinipangie wa kumsifia mbona wewe mateka wa Mbowe akili zako kakushikia yaani mnataka kila kitu kianzishwe na Chadema, halafu lini nilikuambia mimi ni CCM yaani mtu akitofautiana fikra na Chadema basi anakuwa CCM usiwe punguani kila kitu anafikiria kwa mizani ya vyama.
 
Kwa akili ya mawakili wa pale solicitor chamber, kwenye reply yao lazima P.O Zihusike hapa, ila kwa Irvin Mgeta lazima SG wajipange hawa.
 
Yani MaCCM zaidi ya 300 mmepika ugoro wenu huko bungeni alafu leo hii nyie wenyewe tena mnataka wanaharakati wajekusaidia kupinga hayo maamumuzi ya tozo mahakamani.

Hakika kuitetea CCM inabidi uwe na akili ya maiti.

Takbiiir.
Akili za maiti nadhani wanazo baba yako na Mama yako mpaka wamekupata wewe.

Bwana Yesu asifiwe
 
Hawa ndio watu tunaowahitaji kwenye kuongoza mapambano...hii safi na huu ndio utetezi kwa wananchi.
Kabisa uko sahihi

Wanaharakati wengi na vyama vya siasa unakuta likifika swala muhimu hawashughuliki nalo.Huyu wakili Hili la tozo ana support ya wananchi walio wengi.Hata ashindwe lakini at least itajulikana wazi kwa watanzania wote kuwa he stood out of the crowd kutetea wananchi voiceless baada ya zinazotakiwa kuwa voice zao lilikiwemo bunge,serikali na vyama vya siasa kutosimama na wananchi wanyonge kwenye hilo
 
Back
Top Bottom