Charles Odero, afungua kesi Katika Mahakama Kuu kupinga tozo za Miamala ya Simu

Charles Odero, afungua kesi Katika Mahakama Kuu kupinga tozo za Miamala ya Simu

Hongera sana Bwanza Odero wewe ni shujaa was ukweli unayetetea maslahi UA taifa na sio watu wachache walafi Mungu akitangulie
 
The nonsense

Watu kama hawa ndio wanaosombua katiba mpya.

Tozo ni sheria ya bunge, na waziri kapewa mamlaka ya kupanga kiwango.

Sasa sijui anafungua kesi kwa mamlaka gani.

The nonsense is beyond me
 
Wanaukumbi.

Mwanaharakati wa Masuala ya Haki za Binadamu, Charles Odero, amefungua kesi Katika Mahakama Kuu, Dar es Salaam dhidi ya Waziri wa Fedha na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupinga tozo za Miamala ya Simu iliyoanza Julai Mosi. Kesi hiyo itaanza Alhamisi,Agosti 12.

Hawa ndiyo wanaharakati wanaotakiwa wapo kwa ajilii ya maslahi ya taifa.

Alaa Salah, shangazi mwenye umri ya miaka 22 aliongoza wananchi Sudan kusimamia Haki;
Alaa Salah, alikuwa mstari wa mbele kupinga utawala wa kidikteta wa Omar Al-Bashir hadi ulipoanguka. Tanzania tunanogeshana kwa Space huku wamekaa kwenye sofa majumbani wanakunywa wisk tu karanga.


Afungue pia kesi kupinga michango ya harusi na send-off!
 
Afungue pia kesi kupinga michango ya harusi na send-off!
He might as well.

The whole thing is pathetic.

Shida sio yeye kufungua kesi, isipokuwa ni mahakama zetu ku entertain ujinga.

Like seriously serikali ina mamlaka ya kutafuta vyanzo vya mapato.

Bunge lina mamlaka ya kubariki vyanzo

Wizara ina mamlaka ya kutunga sheria ndogo.

Sasa huyu bwana anapinga hizo tozo kwa misingi ipi; the nonsense in our courts is beyond me.

Hawa ndio aina ya watu wanaodai katiba mpya; upuuzi mtupu.
 
Wanaukumbi.

Mwanaharakati wa Masuala ya Haki za Binadamu, Charles Odero, amefungua kesi Katika Mahakama Kuu, Dar es Salaam dhidi ya Waziri wa Fedha na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupinga tozo za Miamala ya Simu iliyoanza Julai Mosi. Kesi hiyo itaanza Alhamisi,Agosti 12.

Hawa ndiyo wanaharakati wanaotakiwa wapo kwa ajilii ya maslahi ya taifa.

Alaa Salah, shangazi mwenye umri ya miaka 22 aliongoza wananchi Sudan kusimamia Haki;
Alaa Salah, alikuwa mstari wa mbele kupinga utawala wa kidikteta wa Omar Al-Bashir hadi ulipoanguka. Tanzania tunanogeshana kwa Space huku wamekaa kwenye sofa majumbani wanakunywa wisk tu karanga.


mungu amsaidie
 
mungu amsaidie
Sasa mungu amsaidie vipi wakati tozo zipo kisheria.

Lazima tuchangie visima huko vijijini hakuna; yaani watoto waende na madumu shuleni?

Tozo moja, tulipe tu kwa ndugu zetu wa vijijini.
 
Wanaukumbi.

Mwanaharakati wa Masuala ya Haki za Binadamu, Charles Odero, amefungua kesi Katika Mahakama Kuu, Dar es Salaam dhidi ya Waziri wa Fedha na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupinga tozo za Miamala ya Simu iliyoanza Julai Mosi. Kesi hiyo itaanza Alhamisi,Agosti 12.

Hawa ndiyo wanaharakati wanaotakiwa wapo kwa ajilii ya maslahi ya taifa.

Alaa Salah, shangazi mwenye umri ya miaka 22 aliongoza wananchi Sudan kusimamia Haki;
Alaa Salah, alikuwa mstari wa mbele kupinga utawala wa kidikteta wa Omar Al-Bashir hadi ulipoanguka. Tanzania tunanogeshana kwa Space huku wamekaa kwenye sofa majumbani wanakunywa wisk tu karanga.


Kilichotakiwa kufanyika ni kufungua kesi kuiomba Mahakama Kuu ivifute vifungu vinavyosema tulipe hizo tozo za Simu. Waliofuata utaratibu mzuri ni LHRC kwa shauri lao hili.

TAARIFA KWA UMMA

KESI YA KUPINGA SHERIA NA KANUNI ZA TOZO KATIKA MIAMALA YA SIMU



Siku ya tarehe 27/07/2021 Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kilifungua shauri la namba 11 ya mwaka 2021 kuomba Mapitio ya Mahakama Kuu (Judicial Review) kuhusu National Payments System Act Cap. 437 pamoja na kanuni zake zilizoweka tozo katika miamala ya fedha kwa njia ya simu. Kesi imetajwa kwa mara ya kwanza tarehe 05/08/2021 mbele ya Mh. Jaji John Mgeta.

LHRC kimefungua kesi hiyo kufuatia kupitishwa kwa mapendekezo ya Bajeti ya Serikali 2021/22 pamoja na sheria ya fedha ilipelekea kuweka tozo katika miamala ya fedha inayofanywa kwa njia ya simu, jambo ambalo limeongeza mzigo kwa mwananchi wa kawaida pamoja na wafanyabiashara wadogo na wakubwa.

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kilifanya uchambuzi wa hotuba ya bajeti iliyowasilishwa mnano tarehe 10/06/2021 na Waziri wa Fedha na Mipango Mh. Mwigulu Nchemba kuhusu athari ya tozo katika miamala ya simu kwa wananchi ambapo mapendekezo hayo yalirudiwa tena baada ya kuletwa kwa madiliko ya sheria ya fedha.

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itasikiliza tena kesi hiyo kwa mara ya pili siku ya tarehe 16/08/2021.

Imetolewa leo Agosti 06, 2021 na

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC)

Bi. Anna Henga

Mkurugenzi Mtendaji
 
Wanaukumbi.

Mwanaharakati wa Masuala ya Haki za Binadamu, Charles Odero, amefungua kesi Katika Mahakama Kuu, Dar es Salaam dhidi ya Waziri wa Fedha na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupinga tozo za Miamala ya Simu iliyoanza Julai Mosi. Kesi hiyo itaanza Alhamisi,Agosti 12.

Hawa ndiyo wanaharakati wanaotakiwa wapo kwa ajilii ya maslahi ya taifa.

Alaa Salah, shangazi mwenye umri ya miaka 22 aliongoza wananchi Sudan kusimamia Haki;
Alaa Salah, alikuwa mstari wa mbele kupinga utawala wa kidikteta wa Omar Al-Bashir hadi ulipoanguka. Tanzania tunanogeshana kwa Space huku wamekaa kwenye sofa majumbani wanakunywa wisk tu karanga.


Haya ndo mambo Watanzania tunataka siyo kutwa nzima kwenye mitandao kuandika Mbowe siyo Gaidi, hiyo kwetu sisi haituhusu apambane na hali yake.
 
Huyu Jamaa siku za nyuma nilikuwa namuona sana kupitia Star Tv jmosi asubuhi akichangia mada na kina Doto Bulendu.

Sijui kama bado anaonekana Star TV maana ni muda sasa sijakaa mbele ya TV..ila siku hizi namuona ona kwenye viunga vya huku Arusha.

Kila la kheri kwa jema analolifanya maana hawa Mamilionea wa Mjengoni wanatukamua tu bila huruma.
 
Huyu samia alisema ameunda tume kufuatilia tozo !Hiyo tume imefikia wapi?

si keshasema hawataacha, Wananchi sisi ni mazwazwa, eti kuambiwa tu mama anafuatilia tumekaa kimya, kwanini asisimamishe kwanza halafu aendelee kufuatilia?
 
Wale wanaojiita Mawakili Wasomi wajitokeze kwa wingi kuibana Serikali kwenye hii kesi siyo kujitokeza kwa wingi kumtetea Gaidi tu
 
Ritz kwa mara ya kwanza umeongea jambo la mbolea! Nakubaliana na wewe uharakati ni vitendo na sio uharakati wa mitandaoni,nampongeza sana charles kwa hatua aliyochukua, ajaishia tu kulalamika tozo toz mitandaoni bali ameenda next step ya kisheria ,wapo baadhi ya wanaharakati wamepinga vitu kwa vitendo kuhusu mambo mabli mbali.

Tozo inaumiza sana hasa kwa sisi tunaotuma na kupokea miamala,kazi zetu zinafanyika maporini hivyo transactions nyingi tunatumia simu,tunakatwa sana tozo zinaumiza ,ukituma 50k basi andaa 4100 ya serikali ya nyongeza ukiachana na za awali za makato.

Hiyo tume tunaipeleka MAHAKAMANI wakajibu hoja 😄
vimeumana wenyewe kwa wenyewe someshaneni namba tu
 
Kilichotakiwa kufanyika ni kufungua kesi kuiomba Mahakama Kuu ivifute vifungu vinavyosema tulipe hizo tozo za Simu. Waliofuata utaratibu mzuri ni LHRC kwa shauri lao hili.

TAARIFA KWA UMMA

KESI YA KUPINGA SHERIA NA KANUNI ZA TOZO KATIKA MIAMALA YA SIMU



Siku ya tarehe 27/07/2021 Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kilifungua shauri la namba 11 ya mwaka 2021 kuomba Mapitio ya Mahakama Kuu (Judicial Review) kuhusu National Payments System Act Cap. 437 pamoja na kanuni zake zilizoweka tozo katika miamala ya fedha kwa njia ya simu. Kesi imetajwa kwa mara ya kwanza tarehe 05/08/2021 mbele ya Mh. Jaji John Mgeta.

LHRC kimefungua kesi hiyo kufuatia kupitishwa kwa mapendekezo ya Bajeti ya Serikali 2021/22 pamoja na sheria ya fedha ilipelekea kuweka tozo katika miamala ya fedha inayofanywa kwa njia ya simu, jambo ambalo limeongeza mzigo kwa mwananchi wa kawaida pamoja na wafanyabiashara wadogo na wakubwa.

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kilifanya uchambuzi wa hotuba ya bajeti iliyowasilishwa mnano tarehe 10/06/2021 na Waziri wa Fedha na Mipango Mh. Mwigulu Nchemba kuhusu athari ya tozo katika miamala ya simu kwa wananchi ambapo mapendekezo hayo yalirudiwa tena baada ya kuletwa kwa madiliko ya sheria ya fedha.

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itasikiliza tena kesi hiyo kwa mara ya pili siku ya tarehe 16/08/2021.

Imetolewa leo Agosti 06, 2021 na

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC)

Bi. Anna Henga

Mkurugenzi Mtendaji
Moja ya sababu ya kutosikiliza malalamiko ya katiba mpya.

Like seriously either we like it or not serikali ina mamlaka ya kutafuta vyanzo vya mapato yake, ipo ivyo duniani kote kwa katiba yoyote.

Hakuna katiba inayozuia serikali kupanga it’s income sources; debate inakuwa kwenye umakini wake. Lakini jamaa wakishaamua vyanzo vyao upende au usipende hiyo ni sheria.

Sasa unaposikia mahakama zetu zinapokea kesi za kupinga taratibu za sheria ni swala la wote kujifunza, hizi kesi zinasikilizwa kwa misingi gani.

Only in Tanzania
 
Hahahaah CCM mnatengeneza tatizo then mnataka kupata fursa kwenye hilo tatizo! Wabunge wote 300+ wa CCM walipitisha huu upotolo, then mnataka watu watumie mitandao kukataa tozo! Basi tuvunje bunge tuwe na mijadala tu kwenye mitandao.
Bunge hili liliundwa kishetani toka juu mpaka chini.
Zaidi 90% ni wagonga meza za kushangilia kitokacho juu. Hawana uwezo isipokuwa kujipendekeza na kulilia matumbo yao. Bunge hilo linaongozwa na mgonjwa ghali kuliko wote Afrika, ambae kaligeuza kuwa bunge la vigodoro kuliko popote Afrika.
Hivi watz hasa waliokuwa wanashangilia muda mwingi wa bunge ukitumika kwa mipasho na kejeli zaidi kuliko uchambuzi chanya kwa maslahi ya taifa, mlitegemea nini? Tunatakiwa kujitazama upya na kujitafakari kwa kina ili kuweza kujisahihisha.
 
Back
Top Bottom