Chasambi amuombe msamaha Manara kwa kumuita mzungu

Maybe Yanga Kwa vile m .Wana matajiri wengi wanamlipa in personal

But kwenye payroll hayumo

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kwani kasema analipwa na matajiri au na yanga kama angekuwa analipwa na GSM angesema pale GSM analipwa pesa nyingi?

Pia kama analipwa na matajiri wa yanga pesa nyingi kuliko yoyote basi hao madoni wameona manara ni mkubwa kuliko yanga Ivo wameona wampe pesa ndefu ili yanga itoboe
 
Sahihi kabisa.
 
Chasambi amenifurahisha sana yule mzungu sio wa kumkalia kimya tena angetafuta na maneno mengine yenye kukera amuongezee au kumtaja kabisa kwa majina yake
 
Kwani sio mzungu?
 
Hilo zee nalo lijiheshimu . Kitendo lilichokifanya kwa huyo dogo siyo kizuri kwani kilikuwa nichakumchonganisha na timu yake pamoja na Mashabik wake.

Zee huwa lina mihemko na mikurupuko isiyo na Maana.
 
Acha kumlisha maneno dogo,hakuna sehemu amemtaja Haji,sikiliza vizuri,amesema "simtaji" lakini nampa zawadi mzungu.Manara alipotaka kumtoa mchezoni dogo mbona haukumuonya kwa upuuzi wake huo?
 

Attachments

  • _Goli langu nalitoa zawadi kwa _Mzungu_ najua watu washanielewa_ na aliahidi kesho ataniletea ...mp4
    5.3 MB
Manara ni makubwa gani ameifanyia Simba , yeye alikuwa mwajiriwa aliyekuwa analipwa mishahara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…