ChatGPT imetimiza unabii uliotolewa takriban miaka 2500 iliyopita!!

Umeandika Point mkuu 👍😊
 
Pole. Subiri siku inakuja utajua ulikuwa hujui
Walokole Acheni kuunga unga na kudandia vijimatukio,ata kutokea Kwa corona mlisema ndo siku ya mwisho iliyotabiriwa 😅
 
Wenzio wako maabara wanaumiza kichwa kutafta solution mbalimbali maishani mwetu.

Afu wee unakesha makanisani kusubiri miujiza ili ukifa unyakuliwe😅
 
Kama ungesoma kwanza comments/replies zangu zote, usingeandika hayo. Niliishaeleza, chatGPT nimeitaja tu kwa sababu ndiyo habari ya mjini. Maarifa yameongezeka katika nyanja nyingi. Sio AI pekee
 
Huwez kwenda mbinguni kama jina lako halijaandikwa kwenye kile kitabu cha uzima.
 
Wenzio wako maabara wanaumiza kichwa kutafta solution mbalimbali maishani mwetu.

Afu wee unakesha makanisani kusubiri miujiza ili ukifa unyakuliwe😅
Hujasikiliza huo wimbo nilioutengeneza kwa msaada wa chatGPT? Hiyo ni solution tayari ya shida niliyokuwa naipata katika kutengeneza nyimbo.
 
Huwez kwenda mbinguni kama jina lako halijaandikwa kwenye kile kitabu cha uzima.
Jina langu liliishaandikwa zamani katika kitabu cha uzima, labda wewe ndo bado
 
Hata baada ya kugunduliwa kwa radio na simu watu waliona maarifa yameongezeka. Hapa baado kabisa tukifika 2050 kuzazi hicho kitakuwa kinatushangaa tuliishije, so relax Mkuu
 
Jina langu liliishaandikwa zamani katika kitabu cha uzima, labda wewe ndo bado
Kuhan mwenye tabia ya kujikinai. Mi nachechemea nikifanya bidii ili niifikie viwango Mungu avitakavyo cjihesabii kuwa nimeshafika na kaza mwendo.
 

Yoshua 8​

Mji wa Ai unatekwa
1Mwenyezi-Mungu akamwambia Yoshua, “Usiogope, wala usiwe na wasiwasi wowote; wachukue wanajeshi wako wote uelekee mji wa Ai, kwani mfalme wa Ai nimemtia mikononi mwako, pamoja na watu wake, mji wake na nchi yake. 2Mtautendea mji wa Ai pamoja na mfalme wake kama vile mlivyoutendea mji wa Yeriko pamoja na mfalme wake. Mali zake pamoja na mifugo yake mtakayoteka itakuwa ni mali yenu. Nendeni mwuvamie mji kutoka upande wa nyuma.”
3Basi, Yoshua akaondoka, pamoja na wanajeshi wake wote kwenda Ai. Akawachagua watu hodari 30,000 na kuwaambia watangulie wakati wa usiku.......


Mji wa Artificial intelligence, technology ilipozidi ikabidi uangamizwe, haya mambo yameanza kitambo..
Ai ya zamani ndio ilikuwa kiboko, hii Ai bado sana..
 
Kama ungesoma kwanza comments/replies zangu zote, usingeandika hayo. Niliishaeleza, chatGPT nimeitaja tu kwa sababu ndiyo habari ya mjini. Maarifa yameongezeka katika nyanja nyingi. Sio AI pekee
Ooh sorry nilicomment tu baada ya kusoma Uzi wenyewe ila pia nikwambie tu bado Dunia Haina maarifa yoyote mapya, na hakuna jambo lolote lililopo hapa kwa bahati mbaya yaani hakuna jambo la surprise yote ni yale yale tu.

Au kama lipo ila Mimi silijui nijuze tafadhali.
 
Hata baada ya kugunduliwa kwa radio na simu watu waliona maarifa yameongezeka. Hapa baado kabisa tukifika 2050 kuzazi hicho kitakuwa kinatushangaa tuliishije, so relax Mkuu
Sio lazima iwe hivyo. Tangu ulipoanza kula chumvi imepita miaka mingapi. Kuna chumvi mpya umeiona
 
Hili la chatGPT ni lilelile? Duh
 
Hahaa, soma Biblia kwa utulivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…