ChatGPT imetimiza unabii uliotolewa takriban miaka 2500 iliyopita!!

ChatGPT imetimiza unabii uliotolewa takriban miaka 2500 iliyopita!!

Hili la chatGPT ni lilelile? Duh
Kwahiyo umerudi tena huku huku ambako ulisema hilo uliliweka tu, anyway sio lile lile ila ni very basic thing kwa maana halina maajabu ya kushtua mamlaka yoyote kwakua haifanyi jambo lolote ambalo binadamu hawezi kufanya isipokua ipo hapo kurahisisha tu kazi.

Maarifa yatakayotupeleka huko ni yale yakufanya vitu vya kuvuka mipaka ya kiungu.

Kitu ambacho hadi sasa hamna maarifa ya hivyo.
 
Kuhan mwenye tabia ya kujikinai. Mi nachechemea nikifanya bidii ili niifikie viwango Mungu avitakavyo cjihesabii kuwa nimeshafika na kaza mwendo.
Pole, kumbe unachechemea. Mi napiga mbio niifikie mede ya thawabu
 
Kwahiyo umerudi tena huku huku ambako ulisema hilo uliliweka tu, anyway sio lile lile ila ni very basic thing kwa maana halina maajabu ya kushtua mamlaka yoyote kwakua haifanyi jambo lolote ambalo binadamu hawezi kufanya isipokua ipo hapo kurahisisha tu kazi.

Maarifa yatakayotupeleka huko ni yale yakufanya vitu vya kuvuka mipaka ya kiungu.

Kitu ambacho hadi sasa hamna maarifa ya hivyo.
Jambo usilolijua ni usiku wa giza. Trump mwenyewe alishangaa kazi aliyofanyiwa na chatGPT wewe unasema ni basic?
 
Jambo usilolijua ni usiku wa giza. Trump mwenyewe alishangaa kazi aliyofanyiwa na chatGPT wewe unasema ni basic?
Kwamba sijui hiyo chatgpt venye inawork au sijui nini cha kuihusu?... Trump ni nani sasa? Hajui chochote kuhusu technology so lazima ashangae hayo mambo.

Again hayo ni maarifa basic sana na hayawezi kutufanya twende huko unakosema wewe.

Nenda kasome tena biblia yako na mara hii kaisome kwa jicho la kuelewa huku ukiwa umeondoa neno kufuru akili mwako, utagundua matukio yote makuu kama vile gharika chanzo chake ni uwingi wa maarifa ya ajabu ambayo yalikua yanamchallenge Mungu akona ili awe salama basi akiondoe kile kizazi.

Tukio la pili ni lile la sodoma na gomola nalo pia chanzo chake ni wingi wa maarifa ambayo yalikua yanamchallenge moja kwa moja na ili ajiweke salama akaona Bora akiondoe kile kizazi.

Tukio lingine ni pale kwenye mnara wa babel, hili halikua tukio kubwa sana kwa maana lilitokea si kwasababu ya akili ya mtu mmoja mmoja ila ni kutokana na mjumuiko wa akili za watu wengi ila kimtu mmoja mmoja hawakuwa na maarifa ya kuogofya.

Kwahiyo hiyo AI unayoisemea Haina madhara yoyote kwenye mamlaka kwasababu haichallenge chochote kile, zaidi ya kwenda kuuliza maswali au kusaidiwa kufanyiwa kazi ambayo wewe ulikua unapata tabu kuifanya na kadhalika.

Inshort ni kwamba Mungu anataka wewe uendelee kubaki binadamu na yeye aendelee kubaki kuwa Mungu, once ukijaribu kufanya mambo ya kimungu ambayo yanatishia usalama wake lazima ukione cha moto😅😅😅.
 
Kwamba sijui hiyo chatgpt venye inawork au sijui nini cha kuihusu?... Trump ni nani sasa? Hajui chochote kuhusu technology so lazima ashangae hayo mambo.

Again hayo ni maarifa basic sana na hayawezi kutufanya twende huko unakosema wewe.

Nenda kasome tena biblia yako na mara hii kaisome kwa jicho la kuelewa huku ukiwa umeondoa neno kufuru akili mwako, utagundua matukio yote makuu kama vile gharika chanzo chake ni uwingi wa maarifa ya ajabu ambayo yalikua yanamchallenge Mungu akona ili awe salama basi akiondoe kile kizazi.

Tukio la pili ni lile la sodoma na gomola nalo pia chanzo chake ni wingi wa maarifa ambayo yalikua yanamchallenge moja kwa moja na ili ajiweke salama akaona Bora akiondoe kile kizazi.

Tukio lingine ni pale kwenye mnara wa babel, hili halikua tukio kubwa sana kwa maana lilitokea si kwasababu ya akili ya mtu mmoja mmoja ila ni kutokana na mjumuiko wa akili za watu wengi ila kimtu mmoja mmoja hawakuwa na maarifa ya kuogofya.

Kwahiyo hiyo AI unayoisemea Haina madhara yoyote kwenye mamlaka kwasababu haichallenge chochote kile, zaidi ya kwenda kuuliza maswali au kusaidiwa kufanyiwa kazi ambayo wewe ulikua unapata tabu kuifanya na kadhalika.

Inshort ni kwamba Mungu anataka wewe uendelee kubaki binadamu na yeye aendelee kubaki kuwa Mungu, once ukijaribu kufanya mambo ya kimungu ambayo yanatishia usalama wake lazima ukione cha moto😅😅😅.
Maarifa gani hiko kizazi walikuwa nayo mkuu? ninapenda kufahamu... ni elimu za unajimu? engineering au?
 
Maarifa gani hiko kizazi walikuwa nayo mkuu? ninapenda kufahamu... ni elimu za unajimu? engineering au?
Combination ya maarifa na ukifuatilia hayo matukio utagundua Kila tukio lilijikita kwenye engo yake, kwa mfano mambo mengi ya kimaabara yalifanyika pale kwenye sodoma na gomola ila kwenye gharika ni mapinduzi, kile kizazi ambacho lilitokea baada ya wana wa Mungu kuzaliana na binadamu walikua na lengo la kimapinduzi na target yao ya kwanza ilikua ni kumfanya binadamu asife, na pale kwenye babel watu wenye akili waliamua kuunganisha akili zao ili kwa pamoja waweze kufikia uwezo wa kimungu.
 
Combination ya maarifa na ukifuatilia hayo matukio utagundua Kila tukio lilijikita kwenye engo yake, kwa mfano mambo mengi ya kimaabara yalifanyika pale kwenye sodoma na gomola ila kwenye gharika ni mapinduzi, kile kizazi ambacho lilitokea baada ya wana wa Mungu kuzaliana na binadamu walikua na lengo la kimapinduzi na target yao ya kwanza ilikua ni kumfanya binadamu asife, na pale kwenye babel watu wenye akili waliamua kuunganisha akili zao ili kwa pamoja waweze kufikia uwezo wa kimungu.
Ina maana tuseme hao walikuwa na tech za hali ya juu sana kuliko hapa tulipo?
 
Ina maana tuseme hao walikuwa na tech za hali ya juu sana kuliko hapa tulipo?
Walikua na akili kuliko sisi... Ni kama wewe unavyoweza kuhoji au ulivyofanya assignment za chuo kwa akili yako mwenyewe tofauti na kizazi kilichopo na kitakachokua kitakua ni kizazi cha AI hakitaweza kuohoji au kuandika mambo ya msingi kwa maana Kila jambo hadi akaulize kwa AI kwahiyo ubongo unalemaa, kwahiyo zama kadri zinavyoongezeka ndivyo uwezo wa binadamu kwenye kufikiri unavyopungua kwa maana fikra zetu tunaziweka kwenye mifumo then sisi tunaendelea na mambo yetu ya kijinga tukitaka mambo ya msingi tunarudi kuyachukua huko kwenye hizo AI.
 
Walikua na akili kuliko sisi... Ni kama wewe unavyoweza kuhoji au ulivyofanya assignment za chuo kwa akili yako mwenyewe tofauti na kizazi kilichopo na kitakachokua kitakua ni kizazi cha AI hakitaweza kuohoji au kuandika mambo ya msingi kwa maana Kila jambo hadi akaulize kwa AI kwahiyo ubongo unalemaa, kwahiyo zama kadri zinavyoongezeka ndivyo uwezo wa binadamu kwenye kufikiri unavyopungua kwa maana fikra zetu tunaziweka kwenye mifumo then sisi tunaendelea na mambo yetu ya kijinga tukitaka mambo ya msingi tunarudi kuyachukua huko kwenye hizo AI.
Sawa mkuu nimekupata vyema.
 
Biblia haisemi hivyo ulivyoandika. Biblia yangu inasema:
Mathayo 24:14 (NEN)
"Injili hii ya ufalme itahubiriwa ulimwenguni kote kuwa ushuhuda kwa mataifa yote. Ndipo mwisho utakapokuja."
Kwa kasi hii ya kuongezeka kwa maarifa unafikiri itachukua miaka 100 Injili kuwafikia watu wote duniani. Sherehe tu za kuapishwa kwa Rais Trump ("Rais wa Dunia") zimefuatiliwa na mamilioni ya watu duniani. Katika sherehe hizo Rais Trump aliombewa na Wachungaji wazi wazi kwa Jina la Yesu. Huo tayari ni ushuhuda kwa watu wa Russia, Afghanistan, China na kote kwingine. Hao Wahadzabe unaowasema tayari wameishafikishiwa Injili na "wamisionari."
Kaa tayari mpendwa, "Kwa kuwa bado kitambo kidogo tu, yeye ajaye atakuja wala hatakawia.”(Waebrania 10:37 NEN)
Russia ni nchi yenye Wakristo wengi mkuu.
Wale ni Othodox Christians na wapo kwenye dini hiyo kwa karne nyingi.
 
Kwamba sijui hiyo chatgpt venye inawork au sijui nini cha kuihusu?... Trump ni nani sasa? Hajui chochote kuhusu technology so lazima ashangae hayo mambo.

Again hayo ni maarifa basic sana na hayawezi kutufanya twende huko unakosema wewe.

Nenda kasome tena biblia yako na mara hii kaisome kwa jicho la kuelewa huku ukiwa umeondoa neno kufuru akili mwako, utagundua matukio yote makuu kama vile gharika chanzo chake ni uwingi wa maarifa ya ajabu ambayo yalikua yanamchallenge Mungu akona ili awe salama basi akiondoe kile kizazi.

Tukio la pili ni lile la sodoma na gomola nalo pia chanzo chake ni wingi wa maarifa ambayo yalikua yanamchallenge moja kwa moja na ili ajiweke salama akaona Bora akiondoe kile kizazi.

Tukio lingine ni pale kwenye mnara wa babel, hili halikua tukio kubwa sana kwa maana lilitokea si kwasababu ya akili ya mtu mmoja mmoja ila ni kutokana na mjumuiko wa akili za watu wengi ila kimtu mmoja mmoja hawakuwa na maarifa ya kuogofya.

Kwahiyo hiyo AI unayoisemea Haina madhara yoyote kwenye mamlaka kwasababu haichallenge chochote kile, zaidi ya kwenda kuuliza maswali au kusaidiwa kufanyiwa kazi ambayo wewe ulikua unapata tabu kuifanya na kadhalika.

Inshort ni kwamba Mungu anataka wewe uendelee kubaki binadamu na yeye aendelee kubaki kuwa Mungu, once ukijaribu kufanya mambo ya kimungu ambayo yanatishia usalama wake lazima ukione cha moto😅😅😅.
Hiyo Biblia inayokuambia Wakati wa Nuhu na Sodoma watu waliangamizwa kwa sababu ya kumchallenge Mungu labda umeitunga mwenyewe. Yangu inaniambia waliangamizwa kwa sababu ya dhambi. Uovu ulizidi. Tangu lini kitu kilichoumbwa kikamchallenge aliyekiumba.
 
Miaka 2500 iliyopita, wakati unabii huu unatolewa, maarifa yalikuwa yanapungua au yanaongezeka?
Mkuu. Unafikiri sikumbuki maswali ninayojibu? NImeishakuambia hilo swali nimeishalijibu. Soma comments/replies zangu zote kuanzia mwanzo.
 
Hiyo Biblia inayokuambia Wakati wa Nuhu na Sodoma watu waliangamizwa kwa sababu ya kumchallenge Mungu labda umeitunga mwenyewe. Yangu inaniambia waliangamizwa kwa sababu ya dhambi. Uovu ulizidi. Tangu lini kitu kilichoumbwa kikamchallenge aliyekiumba.
Hapa sasa unataka kubishana na biblia... Kasome tena, this time usisome kama gazeti mkuu😅😅😅
 
Hapa sasa unataka kubishana na biblia... Kasome tena, this time usisome kama gazeti mkuu😅😅😅
Kwanini tuandikie mate wakati wino upo? Weka mstari(verse) inayotaja walimchallenge Mungu uthibitishe unachosema na mimi ntakuwekea verse inayotaja dhambi/uovu ndiyo sababu ya kuangamizwa kwao.

Unawasifia waliojenga mnara wa babeli? Akili zao zilikuwa ndogo. Eti wajenge mnara ufike mbinguni? Mbinguni walikuwa wanajua hata ni kilometa ngapi kutoka duniani. Kama walikuwa na uwezo wa kumchallenge Mungu walishindwaje kuzuia lugha yao isibaki moja? Think twice.
 
Back
Top Bottom