Mwanzo 18:20 BHNHapa sasa unataka kubishana na biblia... Kasome tena, this time usisome kama gazeti mkuu😅😅😅
Mwanzo 6:5,7SRUVHapa sasa unataka kubishana na biblia... Kasome tena, this time usisome kama gazeti mkuu😅😅😅
Miaka 2500 iliyopita, wakati unabii huu unatolewa, maarifa yalikuwa yanapungua au yanaongezeka?Mkuu. Unafikiri sikumbuki maswali ninayojibu? NImeishakuambia hilo swali nimeishalijibu. Soma comments/replies zangu zote kuanzia mwanzo.
Ufikie tena. Kumbe hujaandikwa kwenye kitabu cha uzima basi. Tuko pamoja. Nakukumbusha tu huwez kuvishwa taji mwanzo wa mashindano mpaka mwisho so wewe ujidhaniae umesimama kuwa makini ucje ukaanguka kwa kibur cha kujiona uko perfect kama mafarisayoPole, kumbe unachechemea. Mi napiga mbio niifikie mede ya thawabu
Yohana 1:12Ufikie tena. Kumbe hujaandikwa kwenye kitabu cha uzima basi. Tuko pamoja. Nakukumbusha tu huwez kuvishwa taji mwanzo wa mashindano mpaka mwisho so wewe ujidhaniae umesimama kuwa makini ucje ukaanguka kwa kibur cha kujiona uko perfect kama mafarisayo
Mkuu, huwezi kupima kupungua au kuongezeka kwa maarifa siku ya kutolewa kwa unabii. Unapima ongezeko la maarifa baada ya unabii kutolewa. Sasa pima maarifa yaliyokuwepo miaka 2500 iliyopita ulinganishe na maarifa yaliyopo sasa, utapata jibu, yamepungua au yameongezeka.Miaka 2500 iliyopita, wakati unabii huu unatolewa, maarifa yalikuwa yanapungua au yanaongezeka?
Nimetafuta kwenye replies zako sijaona jibu la hili swali..
Mkuu, amekupotosha! Wakati wa Nuhu na wakati wa Sodoma watu waliangamizwa kwa sababu uovu wao ulikuwa umezidi sio kwa sababu ya kum-challenge Mungu.Sawa mkuu nimekupata vyema.
Corona ni moja ya ishara za kuja kwa Yesu kama ilivyotabiriwa katika Mathayo 24:7. "There will be pestilences...” Corona ni pestilence(ugonjwa mbaya)Walokole Acheni kuunga unga na kudandia vijimatukio,ata kutokea Kwa corona mlisema ndo siku ya mwisho iliyotabiriwa 😅
Aisee,Mkuu, amekupotosha! Wakati wa Nuhu na wakati wa Sodoma watu waliangamizwa kwa sababu uovu wao ulikuwa umezidi sio kwa sababu ya kum-challenge Mungu.
Mwanzo 18:20 BHN
Basi, Mwenyezi-Mungu akasema, “Kuna malalamiko mengi dhidi ya watu wa Sodoma na Gomora, na dhambi yao ni kubwa mno.
Yuda 1:7 BHN
Kumbukeni pia Sodoma na Gomora, na miji ya kandokando yake; wenyeji wake walifanya kama wale malaika; walifanya uzinzi na mambo yaliyo kinyume cha maumbile, wakapewa hukumu ya moto wa milele, iwe onyo kwa watu wote.
Amina mtumish.Utaokota vingi sana
Kipindi cha Kuanzia Miaka 2500 kabla ya kutolewa unabii hadi siku ya kutolewa unabii, maarifa yaliongezeka au yalipungua?Mkuu, huwezi kupima kupungua au kuongezeka kwa maarifa siku ya kutolewa kwa unabii. Unapima ongezeko la maarifa baada ya unabii kutolewa. Sasa pima maarifa yaliyokuwepo miaka 2500 iliyopita ulinganishe na maarifa yaliyopo sasa, utapata jibu, yamepungua au yameongezeka.
Wakati Redio inavumbuliwa ilionekana ni sayansi ya kipekee na ya mwisho kabisa,Miaka takriban 2500 iliyopita, Mungu alimwambia Nabii Danieli awaambie watu kuwa wakati wa mwisho maarifa yataongezeka. Tunasoma hivyo katika kitabu cha Danieli 12:4: "Lakini wewe, Ee Danieli, yafunge maneno haya, ukakitie mhuri kitabu, hata wakati wa mwisho; wengi wataenda mbio huku na huko, na maarifa yataongezeka."
Leo, tunaona wazi kutimia kwa unabii huo kupitia maendeleo makubwa ya teknolojia, hasa katika Akili Mnemba. Zamani, maarifa yalihifadhiwa katika vitabu na kupatikana polepole, lakini sasa, kwa sekunde chache tu, mtu anaweza kupata maarifa na taarifa nyingi kwa njia ya mitandao, AI, na mifumo ya kisasa ya kompyuta. Akili Mnemba si tu kwamba inachakata taarifa haraka, bali pia inajifunza, inafikiri, na hata kusaidia kufanya maamuzi magumu. Ni dhahiri, maarifa yameongezeka kama ilivyotabiriwa.
Kuongezeka kwa maarifa ni moja ya dalili za siku za mwisho. Katika Mathayo 24:3-14, Yesu alieleza ishara na dalili nyingine zitakazotokea kabla ya kuja kwake na kabla ya mwisho wa dunia. Dalili na ishara hizo karibu zote zimeishatimia. Huu ni uthibitisho wa wazi kuwa Biblia ni kitabu cha kuaminika. Kwa wanaoamini kitabu hiki, kuongezeka huku kwa maarifa ni maonyo kwamba nyakati tulizo nazo si za kawaida. Huu ni wakati wa kuwa macho, ni wakati wa kujiandaa kiroho, na kusimama imara kwa Mungu, kwa kuwa siku ya kurudi kwa Yesu imekaribia!
Ibilisi anajua wakati uliobaki ni mchache(Ufunuo 12:12), kwa sababu hiyo anafanya kila jitihada kuwashawishi watu wasiamini kuwa Mungu yupo. Anatumia mbinu nyingi kuwashawishi watu wazame katika matendo ya dhambi kama ushoga, uzinzi, ulevi, wizi, uongo nk, ili siku hiyo ikifika waachwe, maana Yesu akirudi atawachukua na kuwapeleka mbinguni wale tu waliotubu dhambi zao na kumwamini Yesu. Watakaoachwa watabaki katika dhiki kuu ambayo haijawahi kuwepo tangu kuumbwa kwa ulimwengu(Mathayo 24:21); na hatimaye siku ya mwisho wote wasioamini watatupwa pamoja na Ibilisi katika moto wa milele(Mathayo 25:41).
Wimbo huu na picha hizi zimetengenezwa kwa msaada wa chatGPT/AI
View attachment 3235549 View attachment 3235550View attachment 3235551View attachment 3235552View attachment 3235553
Nadhani akili yako imeanza kupiga short.. 😊, nitaiweka sawa tu.., jibu swali…Account yako imekuwa-hacked?
Mstari mzima unasema "watu wataenda mbio huku na huko na maarifa yataongezeka." Leo hii watu wanaenda mbio sana kwa magari na kwa ndege, huwezi kamwe kulinganisha mbio za leo na za wakati ule. Hivyo ni dhahiri wakati unaozungumwa ni huu, sio kabla ya miaka 2500.Nadhani akili yako imeanza kupiga short.. 😊, nitaiweka sawa tu.., jibu swali…
Kipindi cha Kuanzia Miaka 2500 kabla ya kutolewa unabii hadi siku ya kutolewa unabii, maarifa yaliongezeka au yalipungua?