Chato: Bendera za CHADEMA zashushwa na wanaodaiwa kuwa makada wa CCM. Mwanamama Husna Amri Said acharuka!

Chato: Bendera za CHADEMA zashushwa na wanaodaiwa kuwa makada wa CCM. Mwanamama Husna Amri Said acharuka!

Chadomo wamekuwa kichekesho kila sehemu wanataka kuweka bendera utadhani bendera ndio zinapiga kura,mpaka zimekuwa kero/uchafu na zitolewe tu
 
Chadomo wamekuwa kichekesho kila sehemu wanataka kuweka bendera utadhani bendera ndio zinapiga kura,mpaka zimekuwa kero/uchafu na zitolewe tu
Mapoyoyo ya Lumumba huwa nayafananisha na uchi wa mwanamke unaonuka.
 
Mambo ya fedheha na aibu kubwa kwa taifa letu.
 
Una maisha ya shida Sana kiumbe wewe,
Huwezi kuwa na roho mbaya Kama yako ukawa na Raha.
Dunia nzima Kuna vyama vya siasa,ila Ni nyinyi tu mdio mnavichukia.
Washabiki wa ccm kwa uhalisia wengi ni masikini wenye wivu na wenye nacho ambao ni watafutaji na wanajitambua na ni wasiokubaliana na upuuzi was ccm.
Kwa hiyo huyu na masikini kwa uvivu na majungu tuu
 
Back
Top Bottom