Chizi Jambazi
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 1,769
- 1,379
Sioni kiberiti na motoView attachment 1482608
Hii ndio taarifa mpya kwa sasa , ambapo kabla hata kipyenga hakijapulizwa haya yanatendeka , Je ni nani aliyeagiza upuuzi huu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sioni kiberiti na motoView attachment 1482608
Hii ndio taarifa mpya kwa sasa , ambapo kabla hata kipyenga hakijapulizwa haya yanatendeka , Je ni nani aliyeagiza upuuzi huu ?
Hata mkipamba mji wote kwa bendera za CCM na NCCR, mioyoni mwa wa Tz bendera za CHADEMA zitaendelea kupepea.Washushe hizo bendera ni mbaya sana
Kapicha pleaseHakuna chakuhusiana na uchaguzi maana kuna kipindi bendera za ccm pia zilikuwa zinatiwa moto.
Zinatia nuksi.Washushe hizo bendera ni mbaya sana
Only idiot can celebrates such behaviourWashushe hizo bendera ni mbaya sana
Gaidi ni kopo la mamako na mazwazwa ya Lumumba yaliyokosa ushawishi.Choma moto vyendera vya magaidi
Choma moto vyendera vya magaidi
Nyie vibogoyo punguzeni ujinga.Washushe hizo bendera ni mbaya sana
View attachment 1482608
Hii ndio taarifa mpya kwa sasa , ambapo kabla hata kipyenga hakijapulizwa haya yanatendeka , Je ni nani aliyeagiza upuuzi huu ?
Ana maanisha ofisi ya chadema ni Banda la nguruwe,Ila hata ofisi yao mtaa wa ufipa utafikiri chako ni chako Gest house [emoji23][emoji1787][emoji2960]Mkuu, hiyo ni ofisi ya CHADEMA
Mapoyoyo ya Lumumba huwa nayafananisha na uchi wa mwanamke unaonuka.Chadomo wamekuwa kichekesho kila sehemu wanataka kuweka bendera utadhani bendera ndio zinapiga kura,mpaka zimekuwa kero/uchafu na zitolewe tu
Kama ule wa bi mkubwa wako [emoji23][emoji1787][emoji2960]Mapoyoyo ya Lumumba huwa nayafananisha na uchi wa mwanamke unaonuka.
Na bendera zenyewe zimepauka utafikiri uso wa DJ,Banda LA nguruwe linalowajambisha wapumbavu wa Lumumba.
Ingia Google utazionaKapicha please
Washabiki wa ccm kwa uhalisia wengi ni masikini wenye wivu na wenye nacho ambao ni watafutaji na wanajitambua na ni wasiokubaliana na upuuzi was ccm.Una maisha ya shida Sana kiumbe wewe,
Huwezi kuwa na roho mbaya Kama yako ukawa na Raha.
Dunia nzima Kuna vyama vya siasa,ila Ni nyinyi tu mdio mnavichukia.