maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,800
- 2,339
muda ni mwalimu mzuri sanaChoma moto vyendera vya magaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
muda ni mwalimu mzuri sanaChoma moto vyendera vya magaidi
Ulivyo mrefu, Mbowe Mugabe ameteguka mguu wakati anakukula jicho
Kwani si mnasema chadema imekufa? Mbona mnahangaika na marehemu? Au huamini kama marehemu kafariki?Choma moto vyendera vya magaidi
Mkuu chama sikimekufa? Mnaogopa mzimu au nini?Washushe hizo bendera ni mbaya sana
Chadomo ndio masikini wa vipato mpaka akili ndio maana wanalaumu laumu na kulialia Kama watoto mwenye kazi/ajira/kipato atatoa wapi muda wà kulialiaWashabiki wa ccm kwa uhalisia wengi ni masikini wenye wivu na wenye nacho ambao ni watafutaji na wanajitambua na ni wasiokubaliana na upuuzi was ccm.
Kwa hiyo huyu na masikini kwa uvivu na majungu tuu
Nguo za gaidi huchomwaKwani si mnasema chadema imekufa? Mbona mnahangaika na marehemu? Au huamini kama marehemu kafariki?
Itakuwa wamechoma wenyewe wanachadema baada ya kuhamia ccm. Hicho kibanda cha baa ndipo ilipo ofisi ya chadema ya wilaya ya Chato!View attachment 1482608
Hii ndio taarifa mpya kwa sasa , ambapo kabla hata kipyenga hakijapulizwa haya yanatendeka , Je ni nani aliyeagiza upuuzi huu ?
Na wewe uwe unatumiaga akili hata kidogo basi, toka umekua mfuasi wa Dj umepata faida gani kwa mlevi huyo?
Itakuwa wamechoma wenyewe wanachadema baada ya kuhamia ccm. Hicho kibanda cha baa ndipo ilipo ofisi ya chadema ya wilaya ya Chato!
badilisha jina unatudhalilisha wenye akiliItakuwa wamechoma wenyewe wanachadema baada ya kuhamia ccm. Hicho kibanda cha baa ndipo ilipo ofisi ya chadema ya wilaya ya Chato!
Mh Mbow anatakiwa awe kolokoloni
Kama hamna sasa wanahangaika na nini na kitu kisichokuwepo au nafsi inawasuta.Chato hamna chadema ni kujiongeza tu.
Kisipokuwepo hata bendera zinapoteza maana sasa.Kama hamna sasa wanahangaika na nini na kitu kisichokuwepo au nafsi inawasuta.
Zinashushwa ili zifuliwe?.Mbona hamna inayochomwa moto? Labda mseme zinashushwa. Pichani hamna inayochomwa moto. Mmeanza kusema uongo ili iweje?
.Kuna mtu ndani ya CHADEMA alimuagiza Mbowe alewe chakali kiasi cha kuhisi yuko kwenye chopa akaamua kuruka na parachute akaporomoka kwenye ngazi na kuumiza mguu? Mjinga akiamua kufanya ujinga wake hahitaji kuagizwa na mtu.
Kwani TANU ilichukua nchi ikiwa na ofisi za namna gani?.Hilo banda ndio ofisi ya chama kinachotaka kuchukua nchi? Kule uani ofisi huku kwingine naona ni bar chomeni kabisa hizo bendera za saccos
Ukiona zinawangaisha jua zinawagusa kiaina.Kisipokuwepo hata bendera zinapoteza maana sasa.