Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Bora umuambie ukweli asichukulie mambo juujuu hii ni issue ya mtu binafsi haijalishi ni dini gani.Tulia dada mbona hivyo?
Shemeji hajaacha kodi ya meza?
Issue ya ubakaji/ulawiti ni issue ya mtu binafsi sio kanisa na waamini wake wote?
Hebu nikuulize hapo ulipo hakuna mkatoliki kama yupo mbona wewe hujalawitiwa?
Ubakaji ni issue ya mtu binafsi sio dini,kabila wala rangi wala taifa wala jamii.
Acha kuhusisha swala la dini kwenye ubakaji , hamna dini au dhehebu linafundisha hvyo.We si upo upo tu Zipo scandal za chinichini
Kwa hiyo katekista naye haruhusiwi kuoa kama ilivyo kwa mapadri, au umeamua kudemka.Waruhusiwe kuoa tuuu☹️☹️☹️.
Inategemea dini husika ina definition gani ya ubakajiAcha kuhusisha swala la dini kwenye ubakaji , hamna dini au dhehebu linafundisha hvyo.
Mnasemaga tu hivyo ila mkiombwa mnakuwa wachoyoSi angekuja kwangu jamani ningempea ushirikiano [emoji817]
...Miaka 62 Kwa Miaka 8 !! Hivi inasimama je na Inaingiaje? 'Kijaluba' Cha Miaka 8 SI Kidogo Sana, Ndugu Zanguni??Huko Chato mkoa wa Geita katekista wa kanisa katoliki amekamatwa akibaka mtoto wa 8.
=====
Jeshi la polisi mkoani Geita, linamshikilia Athanas Rugambwa (62) mkazi wa Muganza wilayani Chato mkoani Geita kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka nane mwanafunzi wa darasa la tatu shule ya msingi Katema.
Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo Alhamis Septemba 15, 2022 Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Henry Mwaibambe amesema mtuhumiwa ni katekista na alikua akimfundisha mtoto huyo masomo ya dini.
Mwaibambe amesema mtuhumiwa huyo alimvizia mtoto akiwa kwenye mafundisho ya dini kanisani na kumuita ofisini kwake kisha kumbaka.
Mwananchi
Inasikitisha mno..
Kwanini nikunyime? Ina. Maana sipendi asali! 😳Mnasemaga tu hivyo ila mkiombwa mnakuwa wachoyo
Nilichokiandika kilikuwa UKWELI mchungu. Mods wamefuta sababu nao ni miongoni mwa watu wasioweza kuvumilia UKWELI mchungu.Son of Gamba kwa huo upupu wako uliofutwa hapo juu inaonekana wewe kichwani akili huna.