Chato: Kijiji kilichokaribia kuwa makao makuu ya mkoa-2


Ukweli ulio wazi yapo mambo mema ambayo Magufuli aliwatendea waTz lakini ukiyaweka kwenye mzani mambo mabaya ya kishetani yalizidi kupita kiasi halafu kwa ujinga wa Hali ya juu alikuwa hachagui Chama Wala siasa, hachagui kabila Wala dini, hakujali unyeti wa yule anayemfanyia ubaya...yaani pamoja na mabaya yake yote eti Kuna wakati alikuwa anakula mahindi barabarani bila kunawa mikono , msukuma yule Bora Mungu alivyomwambia "Pita huku" ama sivyo vijana wangetumia manati ya kizungu maana ilikuwa Hanna namna
 
Unakumbuka story yake ya kujenga kanisa kijijini kwake na kuamuru Sadaka apewe Mama yake?? Watoto wa juzi hawajui haya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na yule ndugu aliyemmaliza je? Ndugu wakachachama?
 
Rais yeyeote duniani huchaguliwa kwa lengo la kufanya mazuri kwa wananchi wake, kwa mantiki hii Rais kufanya mazuri ni wajibu wake usio hitaji kusifiwasifiwa maana ni sawa na kumsifia baba kumnunulia mwanae mdogo kaptula na wala baba huyo hawezi kujitangazatangaza mitaani kwamba kanunua kaptula.

Wanao andika mabaya ya Magufuli siyo vyeti feki maana majina yao yapo kwenye kitabu walichokiandika na hatukuwaona ktk orodha ya vyeti feki bali wewe sasa inaonekana kama ndiye mwenye cheti feki maana hata kusoma umeshindwa.

Mazuri ya Rais haiwezi kuwa stori maana Ndiyo wajibu wake ila akifanya mabaya tena yake yanayohatarisha uhai wa watu na taifa ndipo kumbukumbu ya maandishi hulazika kuwekwa ili kuepuka makosa hayo kujirudia tena kwa vizazi vijavyo.

Magufuli alifanya mazuri mengi lakini pia alifanya "mabaya Sana"machache yaliyofunika hata uzuri wa mengi. Na hili iltakuwa somo zuri kwa kila kiongozi.

Mfano mbaya Sana ni mauaji ya wakosoaji wake hata akaweza kumuua aliyehoji elimu yake feki ya udaktari (PhD) Ben Saanane. Kumbe inaonekana hata yeye Magufuli mwenyewe alikuwa na cheti feki duu! Ama kweli waswahili tunasema "Mchawi humjua Mchawi mwenzie".
 
😅😅😅
 
Hivi hayo matrilioni yanayopigwa na mafisadi hamyaoni mkayaandikia kitabu mmebaki kumsema sema marehemu Magufuli kwa chato palikuwa ni Burundi mnajua mnafanya unafiki na chuki nyie vyeti feki, wakwepa kodi, mafisadi,wahujumu uchumi
Hapa hatumsemi marehemu ila tunawasema wafuasi wake kupitia yeye ili mjifunze kuwa na adabu na utii.maana tukiwaacha mtaendelea kuwadanganya hao mliowaita wanyonge huku mkijua mnawahadaa kwakuwa hawakuwa na elimu ya kutambua uovu wenu

Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
 
Hapana. Nachukia kwamba Magufuli alitumia mabilioni ya watanzania kujenga miradi mikubwa ambayo sasa inakufa kwa sababu haikustahi kujengwa Chato.
Weka takwimu za miradi ya maendeleo kwa kila mkoa tuone ni mkoa gani unaongoza
 
Nipo Chato yaliyoandikwa hapa nikweli tupu kuna watu walikuwa na viwanja vyao wakazingua wanataka mamilioni sahivi wanalia bora wangeuza wakati huo kwa sasa wanakubembeleza hata laki 5 uchukuwe kiwanja. Maisha haya balaa sana
Hata Dodoma hali ilikuwa zaidi ya hapo
 
Mkuu nimependa Paragraph ya Tatu
 
Wewe ulitaka akajenge kwenu!
Zao la shule za kata.
Fedha alizochezea huko Chato ni kodi za waTanganyika ambazo zilistahili kutumia vizuri na utaratibu tuliojiwekea.

Laiti fedha zilizichezewa zingekuwa zake au familia yake hakuna ambaye angelalamika.

Najaribu kufikiria kama angeanza kuongoza taifa letu,Tanganyika ingekuwa na ukabila mbaya kuliko taifa la Kenya.Mungu mbariki Mwl Nyerere aliijenga misingi mizuri ya umoja na upendo Tanganyika.
 
Mgangaji na yeye analia biashara mbaya.

Tanzania ilikuwa inaongozwa na mtu wa hovyo kabisa kuwahi kutokea
 
Mradi wa maji Arusha si juhudi za mwendazake.

Mradi ulikuwepo tangu enzi za Mkwere.
 
Tukiuliza kwani kilifanyika nini chato kikubwa? Utasikia watu wazima wanalalamikia taa za barabarani! Ujenzi wa CRDB, uwanja wa mpira! Mambo ya kijinga kabisa as if kama sehemu nyingine hamna!
Taa za barabarani kwa ajili ya kuongoza ng'ombe wasigongane
 
Taa za barabarani kwa ajili ya kuongoza ng'ombe wasigongane
Atakama kwani kuweka Taa za. Kuongezea magari ni serikali kuu ndo inafanya hivo? Hiyo ni alama moja wapo ya usalama barabaran haijalishi inatumika wapi!
 
Songwe kuna kivutio gan cha utalii? Si bora hapo Chato kwa week kuna ruti 2 za air Tanzania kuliko Songwe umejengwa uwanja na hakuna ndege zinaenda
 
Na hayo "mema" aliyotenda pia hayakuwa kwa 'good faith'. Yalikuwa ni sawa na chambo ili kumhadaa samaki.
Sawa tu na tapeli au baradhuli kumnunulia chips na soda binti wa shule ili ampate.

Yanayoitwa "Mazuri" ya Magufuli, mengi yake, ukiyachunguza kidogo tu, utagundua yalilenga kitu fulani kiovu nyuma yake. Yalikuwa na double-purposes. Hayakuwa mema kwa wema.

Yaani alikuwa mwovu tangu kwenye nia na mawazo hadi kwenye yale maigizo yake ya "achievements".
 
Pumbavu zenu nendeni mkautoe uwanja wa ndege ,mbuga na hospital ya kanda
Hahaha umeletewa kitabu hapahapa ili upate kisoma na kujua upumbavu wa mpumbavu unayemlilia kila dskika. Kwakuwa wewe ni mpumbavu hutaelewa utaishia kuwakashifu na kuwatukana kina lisu tu.
Soma hiyo
 
Mungu ni FUNDI sana. Huyu mjinga alisimamisha miradi ya Gesi Mtwara ma ujenzi wa Bagamoyo Port kwa kuiita ile miradi ya kiuwendawazimu. Halafu na yeye anakwenda kuwekeza miundombinu mikubwa kijijini kwake Chato?

Mungu akamuonyesha ukweli kwamba yeye ndiye MWENDAWAZIMU na siyo yule aliyetaka kujenga Bagamoyo Port. Magufuli aendelee kuungua na moto mkali wa jehanam!! Shenzi taipu
 
Nipo Chato yaliyoandikwa hapa nikweli tupu kuna watu walikuwa na viwanja vyao wakazingua wanataka mamilioni sahivi wanalia bora wangeuza wakati huo kwa sasa wanakubembeleza hata laki 5 uchukuwe kiwanja. Maisha haya balaa sana
Hahahahaha . Oh hahahaha.
 
Songwe kuna kivutio gan cha utalii? Si bora hapo Chato kwa week kuna ruti 2 za air Tanzania kuliko Songwe umejengwa uwanja na hakuna ndege zinaenda
Na huyo aliyejenga Songwe pia alikosea vivyo hivyo.

Fedha za umma zinataka zitumike kwa tija na maslahi mapana ya Taifa - kwa utashi na wapendavyo watawala.
Na ndio maana kama nchi zimetumika trillion shs kwenye miradi na uwekezaji nchini lakini value na impact ni very low. Poor leadership, horrible vision, no integrity...... vimetugharimu sana kwa muda mrefu.

Hebu angalia sasa hivi wabunge na hilo Bunge letu. Yaani wabunge wame prioritized kurudi bungeni 2025 kuliko kushughulikia ufisadi ulikothiri ref. CAG reports!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…