James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
Makamanda hawalii kama unavyotaka kuwaaminisha watu. Makamanda ni imara kabisa ila wana subira.Makamanda mnalialia nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makamanda hawalii kama unavyotaka kuwaaminisha watu. Makamanda ni imara kabisa ila wana subira.Makamanda mnalialia nini
Acha hiyo tuu, unaweza kuta Katibu CCM wilaya mkewe kajifunga anasema " tumefanikiwa kupata mtoto wa kike Leo mchana, tunashukuru Mungu na Rais Magufuli kwa mke wangu kujifungua salama hospitalini"ilifika mahala kila mwanaccm akipata chochote hata kwa kushinda shambani hukimbilia kumshukuru kumsifu magufuli hata mvua ikinyesha wanamshuru magufuli
Ndio ulichoelewa! 😆View attachment 1599239
Huyu kijana John Sayi kakodiwa kutoka bariadi kwenda kufanya fujo Chatto, wameweka kambi Katoro
Pia ni siasa za kishambawafu wacha mzikane
Kwa hiyo alipopigiwa jiwwr ni Naeiasit?noma Chadema nasikia hawana hata pesa za kuweka mabango ya wagombea, hizo pesaw za kukodi watu wemepata wapi?Ndio ulichoelewa! 😆
Ukiona umesongwa sana na natatizo yameibuka ujuwe basi kunakaribia kucha. Wanasema mti wenye maembe yalowiva ndio inatupiwa mawe kwa wingi.Mheshimiwa Tundu Lissu aamuru Barabara ya Chato Kufungwa baada ya wafuasi wa CCM kushambulia kwa mawe msafara wake na kuharibiwa gari la vifaa vya muziki (PA).
View attachment 1599022
View attachment 1599076
Magufuli mwenyewe kwao siyo chato bali kalazimisha kuwepo kwa nguvu za Polisiccm, mara baada ya uchaguzi atarejea kwao BurundiWamekodisha vibarya toka chato na Bariadi. Huyo jamaa makazi yake yako bariadi
Wengi ni wastaarabu?Hao wanaovuruga kampeni ni Wanaccm wachache
Ona hili vuta bangi,minyoo imepanda kichwaniMagufuli mwenyewe kwao siyo chato bali kalazimisha kuwepo kwa nguvu za Polisiccm, mara baada ya uchaguzi atarejea kwao Burundi
Tukiwa na Taifa la watu kama wewe ni hatari sana.ni ujinga kujitoa muhanga kwa ajili ya siasa!
jali maisha yako na familia yako....siasa ni mapito tu....
unatoka katoro mbali kote unaacha kazi zako na familia yako kisa siasa?!!
Hujajibu lolote, mtu katoka katoro kapigwa jiwe chato akimshabikia chizi aliemtukana Mama magufuli.Tukiwa na Taifa la watu kama wewe ni hatari sana.
Watawala ndio wanaotaka iwe hivyo lakini wao hawafanyi hivyo mana wanajua kuwa siasa ni sehemu ya maisha yao. CCM wengi wanajali familia zao na maisha yao ndio kama unavyosema na ndio maana haya maovu yote yanatokea...
Amewadharilisha sana watu wa Chato, ngoja afunzwe naye adabu toto tunduaCHENI UJINGA WENU YOU MEAN MAGUFULI AKIFIKA SINGIDA APIGWE MAWE I HAD NEVER SEEN A STUPID OF THAT GRADE VIONGOZI WAKO KWNYE KAMPENI WANA ZUNGUKA NCHI NZIMA KUTANGAZA SERA ZAO WHAT WRONG WITH IT
Amewadharilisha sana watu wa Chato, ngoja afunzwe naye adabu toto tunduaCHENI UJINGA WENU YOU MEAN MAGUFULI AKIFIKA SINGIDA APIGWE MAWE I HAD NEVER SEEN A STUPID OF THAT GRADE VIONGOZI WAKO KWNYE KAMPENI WANA ZUNGUKA NCHI NZIMA KUTANGAZA SERA ZAO WHAT WRONG WITH IT
unajua amejiona yeye ni yeye na vimaneno vyake vya ICC, ni bora wamemshusha na bado. Hapa JF mlikuwa mnashabikia kuwa JPM japendwi kwao ma ndo maana kaenda. Ilikuwa ni kuwadhihaki watu wa Chato. Wametenda kweli na wapongezwe kwa hiloUnga mkono uchawi kwa kuwa wewe ni mshirikina
UmeonaHuyu Lissu hana nia njema anataka kutoa watu sadaka ili mambo yake yaende .
Kwani Chato ipo Nakuru?Lissu na Chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha Chato
Tatizo wameyaponda sana maendeleo yaliyowekwa chato. Hii imeamsha hasira kwawakazi wa huko. Ulitarajia Lissu atapokelewa vizuri chato? Big NO!
Anaye mwozesha mama yake kwa jogoo?Amewadharilisha sana watu wa Chato, ngoja afunzwe naye adabu toto tundu