lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Kwanini wanampiga tundu lissu mawe?
Mheshimiwa Tundu Lissu aamuru Barabara ya Chato Kufungwa baada ya wafuasi wa CCM kushambulia kwa mawe msafara wake na kuharibiwa gari la vifaa vya muziki (PA).
View attachment 1599022
View attachment 1599076