Uchaguzi 2020 Chato: Msafara wa Tundu Lissu washambuliwa kwa mawe

Uchaguzi 2020 Chato: Msafara wa Tundu Lissu washambuliwa kwa mawe

Dawa ilikuwa kususia mkutano, sasa mkutano umejaa kuliko yote iliyofanywa na wagombea wengine hapo Chato halafu mnaenda kurusha mawe… ujue sometimes CCM mnakuwa mabata sana?
Hao uvccm, weka picha ya mtiti wa mkutano wa hadhara.
UVCCM walidhani wangewazuia maelfu kuhudhuria mkutano.
CCM imeahindwa na haikubaliki Tena kila mahali
 
Maccm
IMG_20201013_225307.jpg
 
Mmeshashindwa kabla ya tarehe 28.10. mmebaki kutoa meno tu na bado. Mnaendekeza Upumbavu wa kushambulia watu mwaka huu mtakoma
Hawaamini kinachowatokea kila sehemu anakopita Mheshimiwa Tundu Lisu watu wanataka mabadiliko, ccm wana mtu ambae hata kuwasilisha presentation kwa hadhira ni kama anawafokea muda wote hana diplomatic and political language.
 
Acha ujinga huo watu hata wasiompenda hawana ushamba wa hivo Kwani kama wanampenda Magufuli si wajikalie nyumbani ili mkutano wake ukose watu shida ya nini ukiona hivo kuna wafuasi wengi sasa wamefanya fujo ili wasiende kwenye mkutano waogope fujo maana wakionekana wengi itakuwa aibu kubwa
mkuu, vijana wamekusanywa kutoka katoro mwabomba na mwime, walifika chatto kwenye mafuso, zile ford renger kutoka rombo leo zilikuwa tatu na hiace moja zote zimesheheni wapiga watu, hata police waliokuwepo wamepigwa na kukimbia kabla wananchi hawajawakabili, kimsingi walikuja kivita
 
Kuwajibu watu wa aina hiyo ni kupoteza muda tu. Hawajui wanachofanya
Kila mgombea ana haki ya kuzunguka eneo lolote ndani ya Tanzania kwa ajili ya Kampeni, kwani nani mwenye hati miliki ya Chato? Nakumbuka Magufuli alienda Singida eneo alipozaliwa Lissu lakini hakuna aliefanya fujo
 
Well siku ukiitwa BBC kuwaelezea hayo malalamiko yako usisahau kuwauliza kwanini unionist awaendi maeneo ya separatist kwenye campaign za siasa huko North Ireland na wakati ni haki ya mgombea kwenda popote kwa taifa linalojidai ku promote democracy duniani.

Ni hivi Lissu anayo haki ya kwenda popote ndani ya Tanzania lakini kuna maeneo anajua wazi hana hiyo support na kwenda huko kumtukana Magu kama anavyofanya kwingine he wont be well received it’s just common sense, sasa anaenda fanya nini kama sio kutafuta kilichotokea.

Tatizo lenu CDM mnapenda hype sana za mitandaoni kibaya zaidi baadhi yenu mnaishia kuamini your own hype, ndio hiki kilichomfanya Lissu aamini anaweza enda mtukana Magufuli in his own backyard na akashangiliwa.
Kumbe Lisu alienda kumtukana Magufuli, Mimi nilikuwa sina habari.

Ila Luna urazima wa kutafuta tafsiri nyingine ya matusi...maana sijaona matusi yakitukanwa...na nahisi pia kwa sheria za Tanzania ukitukana hadharani ni kama umetukana umma so no kosa kisheria (sina uhakika sana nipo tayari kukosolewa)
 
Well siku ukiitwa BBC kuwaelezea hayo malalamiko yako usisahau kuwauliza kwanini unionist awaendi maeneo ya separatist kwenye campaign za siasa huko North Ireland na wakati ni haki ya mgombea kwenda popote kwa taifa linalojidai ku promote democracy duniani.

Ni hivi Lissu anayo haki ya kwenda popote ndani ya Tanzania lakini kuna maeneo anajua wazi hana hiyo support na kwenda huko kumtukana Magu kama anavyofanya kwingine he wont be well received it’s just common sense, sasa anaenda fanya nini kama sio kutafuta kilichotokea.

Tatizo lenu CDM mnapenda hype sana za mitandaoni kibaya zaidi baadhi yenu mnaishia kuamini your own hype, ndio hiki kilichomfanya Lissu aamini anaweza enda mtukana Magufuli in his own backyard na akashangiliwa.
Mapenda kutukanwa Sana nyie..
Lissu sio Polepole kutwa kulamba miguu ya John tu... Weka akilini hilo
 
Hawaamini kinachowatokea kila sehemu anakopita Mheshimiwa Tundu Lisu watu wanataka mabadiliko, ccm wana mtu ambae hata kuwasilisha presentation kwa hadhira ni kama anawafokea muda wote hana diplomatic and political language.
Imagine, Yohana anafanya kampeni lakini bado anataka akalie kiti cha kifalme na ate bee kwenye red carpet.
 
Hata Akina Mandela wasingekomaa Makaburu wangekuwa bado wanatesa RSA.
makaburu hawakumwachia mandela kwa sababu ya maandamano, ulikuwa mkakati wa kiuchumi, hivi ulishajiuliza kwanini africa ya kusini hadi leo waziri wa fedha sio mweusi? ulishajiuliza kwanini kituo cha nuclear cha africa ya kusini ni wazungu watupu? ulishajiuliza kwanini wa Mozambique Nigerian na wazimbabwe ndio wanaochomwa moto africa ya kusini na si wazungu wala wahindi?
 
Chato Hawahusiki na Uchaguzi?
Ni sahihi ccm kuzunguka nchi nzima ila Chadema ni haramu!!!??
Hakuna sehemu CDM hawahusiki Chato ila Lissu mwenyewe kumbe alijua kwenda Chato ni kutafuta uchokozi sio na Magufuli bali wenyeji kwa ujumla; ndio hayo sumu aionjwi.
 
Mawe ya nn Hali mmetuvusha uchumi wa Kati tunakula mara sita kwa siku,ndege tele,maflyover kibao,sgr why mtumie mawe
Hawa ccm hawajiamini ndo maana wako hivyo wamepiga kampeni miaka mitano yote televisheni zote zao bado na Fujo wanaanzisha wao naona na chadema wawe nanaenda na manati kwenyemikutano ili wakianzisha fujo nao wajitetee inaudhi sana
 
makaburu hawakumwachia mandela kwa sababu ya maandamano, ulikuwa mkakati wa kiuchumi, hivi ulishajiuliza kwanini africa ya kusini hadi leo waziri wa fedha sio mweusi? ulishajiuliza kwanini kituo cha nuclear cha africa ya kusini ni wazungu watupu? ulishajiuliza kwanini wa Mozambique Nigerian na wazimbabwe ndio wanaochomwa moto africa ya kusini na si wazungu wala wahindi?
Acha uongo. Waziri wa fedha ni Tito Mboweni. Ni mwafrica kama sisi. Nuclear kama silaha waliiabandon baada tu ya uhuru. Na ukienda Perindaba kuna Wa Africa kibao mpaka Wazimbabwe.
 
Mawe ya nn Hali mmetuvusha uchumi wa Kati tunakula mara sita kwa siku,ndege tele,maflyover kibao,sgr why mtumie mawe
Hawa ccm hawajiamini ndo mama wako hivyo wamepiga kampeni miaka mitano yote televisheni zote zao bado na Fujo wanaanzisha wao naona na chadema wawe nanaenda na manati kwenyemikutano ili wakianzisha fujo nao wajitetee inaudhi sana
 
Back
Top Bottom