3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,884
Hayo Matusi mbona hamyasemi ni yapi??Ulishawahi kumsikia Magu akiwatukana watu wa Singida
NEC hawayasikii hayo Matusi??
Toa upuuzi wako hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo Matusi mbona hamyasemi ni yapi??Ulishawahi kumsikia Magu akiwatukana watu wa Singida
Ngoja tuone hiyo kesho!Kama Mgombea wa Urais anayetarajiwa kushinda Uchaguzi huu kwa kishindo....!!!
Sasa na wakati bado....!!Machadema mlikuwa wapi kujibu mapigo? Mko wengi mwambieni aingize watu barabarani.
Chadema kuna haki na uhuru bwashee?!Kama Raia.... Ndiyo maana anahubiri uhuru, haki na maendeleo. Tatizo la Watanzania wengi CCM imetutawala kwa muda mrefu mpaka hatujui uhuru na haki zetu.
Hawaamini kinachowatokea kila sehemu anakopita Mheshimiwa Tundu Lisu watu wanataka mabadiliko, ccm wana mtu ambae hata kuwasilisha presentation kwa hadhira ni kama anawafokea muda wote hana diplomatic and political language.Mmeshashindwa kabla ya tarehe 28.10. mmebaki kutoa meno tu na bado. Mnaendekeza Upumbavu wa kushambulia watu mwaka huu mtakoma
mkuu, vijana wamekusanywa kutoka katoro mwabomba na mwime, walifika chatto kwenye mafuso, zile ford renger kutoka rombo leo zilikuwa tatu na hiace moja zote zimesheheni wapiga watu, hata police waliokuwepo wamepigwa na kukimbia kabla wananchi hawajawakabili, kimsingi walikuja kivitaAcha ujinga huo watu hata wasiompenda hawana ushamba wa hivo Kwani kama wanampenda Magufuli si wajikalie nyumbani ili mkutano wake ukose watu shida ya nini ukiona hivo kuna wafuasi wengi sasa wamefanya fujo ili wasiende kwenye mkutano waogope fujo maana wakionekana wengi itakuwa aibu kubwa
Kila mgombea ana haki ya kuzunguka eneo lolote ndani ya Tanzania kwa ajili ya Kampeni, kwani nani mwenye hati miliki ya Chato? Nakumbuka Magufuli alienda Singida eneo alipozaliwa Lissu lakini hakuna aliefanya fujo
Kumbe Lisu alienda kumtukana Magufuli, Mimi nilikuwa sina habari.Well siku ukiitwa BBC kuwaelezea hayo malalamiko yako usisahau kuwauliza kwanini unionist awaendi maeneo ya separatist kwenye campaign za siasa huko North Ireland na wakati ni haki ya mgombea kwenda popote kwa taifa linalojidai ku promote democracy duniani.
Ni hivi Lissu anayo haki ya kwenda popote ndani ya Tanzania lakini kuna maeneo anajua wazi hana hiyo support na kwenda huko kumtukana Magu kama anavyofanya kwingine he wont be well received it’s just common sense, sasa anaenda fanya nini kama sio kutafuta kilichotokea.
Tatizo lenu CDM mnapenda hype sana za mitandaoni kibaya zaidi baadhi yenu mnaishia kuamini your own hype, ndio hiki kilichomfanya Lissu aamini anaweza enda mtukana Magufuli in his own backyard na akashangiliwa.
Mapenda kutukanwa Sana nyie..Well siku ukiitwa BBC kuwaelezea hayo malalamiko yako usisahau kuwauliza kwanini unionist awaendi maeneo ya separatist kwenye campaign za siasa huko North Ireland na wakati ni haki ya mgombea kwenda popote kwa taifa linalojidai ku promote democracy duniani.
Ni hivi Lissu anayo haki ya kwenda popote ndani ya Tanzania lakini kuna maeneo anajua wazi hana hiyo support na kwenda huko kumtukana Magu kama anavyofanya kwingine he wont be well received it’s just common sense, sasa anaenda fanya nini kama sio kutafuta kilichotokea.
Tatizo lenu CDM mnapenda hype sana za mitandaoni kibaya zaidi baadhi yenu mnaishia kuamini your own hype, ndio hiki kilichomfanya Lissu aamini anaweza enda mtukana Magufuli in his own backyard na akashangiliwa.
Imagine, Yohana anafanya kampeni lakini bado anataka akalie kiti cha kifalme na ate bee kwenye red carpet.Hawaamini kinachowatokea kila sehemu anakopita Mheshimiwa Tundu Lisu watu wanataka mabadiliko, ccm wana mtu ambae hata kuwasilisha presentation kwa hadhira ni kama anawafokea muda wote hana diplomatic and political language.
makaburu hawakumwachia mandela kwa sababu ya maandamano, ulikuwa mkakati wa kiuchumi, hivi ulishajiuliza kwanini africa ya kusini hadi leo waziri wa fedha sio mweusi? ulishajiuliza kwanini kituo cha nuclear cha africa ya kusini ni wazungu watupu? ulishajiuliza kwanini wa Mozambique Nigerian na wazimbabwe ndio wanaochomwa moto africa ya kusini na si wazungu wala wahindi?Hata Akina Mandela wasingekomaa Makaburu wangekuwa bado wanatesa RSA.
Hakuna sehemu CDM hawahusiki Chato ila Lissu mwenyewe kumbe alijua kwenda Chato ni kutafuta uchokozi sio na Magufuli bali wenyeji kwa ujumla; ndio hayo sumu aionjwi.Chato Hawahusiki na Uchaguzi?
Ni sahihi ccm kuzunguka nchi nzima ila Chadema ni haramu!!!??
Hawa ccm hawajiamini ndo maana wako hivyo wamepiga kampeni miaka mitano yote televisheni zote zao bado na Fujo wanaanzisha wao naona na chadema wawe nanaenda na manati kwenyemikutano ili wakianzisha fujo nao wajitetee inaudhi sanaMawe ya nn Hali mmetuvusha uchumi wa Kati tunakula mara sita kwa siku,ndege tele,maflyover kibao,sgr why mtumie mawe
Acha uongo. Waziri wa fedha ni Tito Mboweni. Ni mwafrica kama sisi. Nuclear kama silaha waliiabandon baada tu ya uhuru. Na ukienda Perindaba kuna Wa Africa kibao mpaka Wazimbabwe.makaburu hawakumwachia mandela kwa sababu ya maandamano, ulikuwa mkakati wa kiuchumi, hivi ulishajiuliza kwanini africa ya kusini hadi leo waziri wa fedha sio mweusi? ulishajiuliza kwanini kituo cha nuclear cha africa ya kusini ni wazungu watupu? ulishajiuliza kwanini wa Mozambique Nigerian na wazimbabwe ndio wanaochomwa moto africa ya kusini na si wazungu wala wahindi?
Hawa ccm hawajiamini ndo mama wako hivyo wamepiga kampeni miaka mitano yote televisheni zote zao bado na Fujo wanaanzisha wao naona na chadema wawe nanaenda na manati kwenyemikutano ili wakianzisha fujo nao wajitetee inaudhi sanaMawe ya nn Hali mmetuvusha uchumi wa Kati tunakula mara sita kwa siku,ndege tele,maflyover kibao,sgr why mtumie mawe