Uchaguzi 2020 Chato: Msafara wa Tundu Lissu washambuliwa kwa mawe

Uchaguzi 2020 Chato: Msafara wa Tundu Lissu washambuliwa kwa mawe

Lissu hua anasema Nchi inaendeshwa kidikteta...Mara nyingine anasema MAGUFULI anajifanya mfalme je ni kweli anamaanisha ? Je ni kweli anaamini anachosema maana huwezi ukaenda stronghold ya mfalme ukapige kampeni labda iwe ndani ya nchi ya kidemokrasia sasa yeye anaamini MAGUFULI ni dikteta alafu wakati huohuo anaenda kufanya kampeni kwake ( kwa diktete kweli?)

Ili kuthibitisha kile anachikisema Kwani CHADEMA hawana stronghold mbona hawakuweka watu wa kufanya fujo, hizo ni jukumu la polisi ndo wanashindwa kuthibiti ile intelligence yao huwa inafanyakazi kwenye makosa ya wafuasi wa CHADEMA tu
 
Mimi siwezi kupanic hata siku moja mkuu!
Sio wewe tu,Wazabzabina wote wa Chama chenu cha Mazezeta wamepanik
Pigeni siasa za kistaarabu acheni kushangilia watu kupigwa mawe na risasi
 
Lissu ameamua kufanya siasa za uchokizi, kutukanana, Nzega alivyo mtukana magufuli, alikuwa anapeleka ujumbe Chato kuwaomba wamshambulie, ili apate ajenda ya kuzungumzia kesho na keshokutwa. Apigwe tuu
Nzega alitukanaje...
Mkomee kurushia mawe magari ya matangazo ila mkimgusa round hii mtakunya hewa
 
Sijui ccm wanaipeleka wapi nchi hii! Hivi vitendo vya kijima vinatokeaje Tanzania?
Mwana kulitafuta mwana kulipata! Ingawa wamejitekenye na kucheka wenuewe kutafuta kick! Lisu ameshajua ameshindwa sasa anatengeneza matukio.

Queen Esther
 
Huko jimboni kwa Lissu watu wanampenda Magufuli ndio maana hawakumrushia mawe. Ukisema kwamba hawakumrushia kwasababu ya mamlaka yake, Basi angalau hata wangemzomea tu...

Acha ujinga huo watu hata wasiompenda hawana ushamba wa hivo Kwani kama wanampenda Magufuli si wajikalie nyumbani ili mkutano wake ukose watu shida ya nini ukiona hivo kuna wafuasi wengi sasa wamefanya fujo ili wasiende kwenye mkutano waogope fujo maana wakionekana wengi itakuwa aibu kubwa
 
Sio wewe tu,Wazabzabina wote wa Chama chenu cha Mazezeta wamepanik
Pigeni siasa za kistaarabu acheni kushangilia watu kupigwa mawe na risasi
Si mnatengeneza matukio ili muwalizishe mabwana zenu wakina Amsterdam.
 
Nije nielewe nini wewe? Ni nani alikuambia nahitaji kusaidia? Tena na fala kama huyo asiye na nyuma wala mbele.
Sawa Mkuu ,utakuja kuelewa ila Muda utakuwa umesha kutupa mkono.Uwe na Amani.
 
Ndio tumefurahi sana wacha akome kabisa! Watu unawarukana kila leo halafu kesho unakwenda kwao hahahahaba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu unakuta na wewe ni baba au kaka wa mtu ..baba/kaka ambaye kichwani umejaza kinyesi ...😂 😂 What a skunk !!!
 
Sasa wewe huko kwa mabeberu unabeba mabox utampopoa lini na utaweza?
Kwa mabeberu ndio wapi huko?Mimi niko Tanzania na kwa jinsi nisivyompenda Magufuli ningeweza kufanya kile ambacho amefanyiwa Lissu ila ni ustaarabu tu na kufuata sheria za nchi!

Tukifika hatua hii ya kuumizana kisa vyama basi ni wazi tunacheza na amani ya nchi hii iliyodumu kwa miaka mingi!
 
View attachment 1599147
Nyomi la Chato sio mchezo..kama kwenu hawakutaki utapendwa wapi..
Hii picha mbona mnaipenda sana? Ina nini cha ajabu? Hapo ni runzewe, sio chato
IMG_20201013_194322.jpg
 
Lissu na Chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha Chato wamfundishe
Haya yanatamkwa na mtanzania? Nashangaa watu wa uhamiaji hawawafuati watu wa aina yako kuwahoji uhalali wa uraia wenu. Unawezaje kushabikia vitu vyenye kuhatarisha amani?
 
Kwa mabeberu ndio wapi huko?Mimi niko Tanzania na kwa jinsi nisivyompenda Magufuli ningeweza kufanya kile ambacho amefanyiwa Lissu ila ni ustaarabu tu na kufuata sheria za nchi!
Tukifika hatua hii ya kuumizana kisa vyama basi ni wazi tunacheza na amani ya nchi hii iliyodumu kwa miaka mingi!
Msaliti Lissu si kila siku anawahamasisha kufanya fujo!
 
Mwenye video ikionesha wana CCM wakirusha mawe atume hapa! Matukio ya kutengenezwa yamepitwa na wakati! Pia gari lililovunjwa silioni naona tu kama mtu kavunja mwenyewe tena na kajiwe kadogo hakutaka hasara kubwa!

Chadema ya Lisu acheni kutafuta kick za kipumbavu!! Tanzania ni nchi ya amani. Kila siku unawatukana wana Chato leo unawafata tena ni mara ya tatu unaenda kanda ya ziwa! Tanzania kubwa pambana na hali yako. Magufuli sio size yako!

Queen Esther
Acha upumbav wewe mwanamke!Mwanamke gani unakuwa na roho ngumu kiasi hicho?
 
Back
Top Bottom