Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Hata sisi wengine tuna hamu ya kumpopoa na mawe huyo Magufuli,sema tunaheshimu sheria za nchi na kuwa wastaarabu!Kikundi chenu Chato kimenyooshwa na wanachato. Watz wameshaanza kuwachoka sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata sisi wengine tuna hamu ya kumpopoa na mawe huyo Magufuli,sema tunaheshimu sheria za nchi na kuwa wastaarabu!Kikundi chenu Chato kimenyooshwa na wanachato. Watz wameshaanza kuwachoka sasa.
Lissu hua anasema Nchi inaendeshwa kidikteta...Mara nyingine anasema MAGUFULI anajifanya mfalme je ni kweli anamaanisha ? Je ni kweli anaamini anachosema maana huwezi ukaenda stronghold ya mfalme ukapige kampeni labda iwe ndani ya nchi ya kidemokrasia sasa yeye anaamini MAGUFULI ni dikteta alafu wakati huohuo anaenda kufanya kampeni kwake ( kwa diktete kweli?)
Sio wewe tu,Wazabzabina wote wa Chama chenu cha Mazezeta wamepanikMimi siwezi kupanic hata siku moja mkuu!
Nzega alitukanaje...Lissu ameamua kufanya siasa za uchokizi, kutukanana, Nzega alivyo mtukana magufuli, alikuwa anapeleka ujumbe Chato kuwaomba wamshambulie, ili apate ajenda ya kuzungumzia kesho na keshokutwa. Apigwe tuu
Sasa wewe huko kwa mabeberu unabeba mabox utampopoa lini na utaweza?Hata sisi wengine tuna hamu ya kumpopoa na mawe huyo Magufuli,sema tunaheshimu sheria za nchi na kuwa wastaarabu!
Mwana kulitafuta mwana kulipata! Ingawa wamejitekenye na kucheka wenuewe kutafuta kick! Lisu ameshajua ameshindwa sasa anatengeneza matukio.Sijui ccm wanaipeleka wapi nchi hii! Hivi vitendo vya kijima vinatokeaje Tanzania?
Huko jimboni kwa Lissu watu wanampenda Magufuli ndio maana hawakumrushia mawe. Ukisema kwamba hawakumrushia kwasababu ya mamlaka yake, Basi angalau hata wangemzomea tu...
Si mnatengeneza matukio ili muwalizishe mabwana zenu wakina Amsterdam.Sio wewe tu,Wazabzabina wote wa Chama chenu cha Mazezeta wamepanik
Pigeni siasa za kistaarabu acheni kushangilia watu kupigwa mawe na risasi
Kama Mgombea wa Urais anayetarajiwa kushinda Uchaguzi huu kwa kishindo....!!!Lisu ameamuru barabara ifungwe?!!
Kama nani?
Sawa Mkuu ,utakuja kuelewa ila Muda utakuwa umesha kutupa mkono.Uwe na Amani.
Halafu unakuta na wewe ni baba au kaka wa mtu ..baba/kaka ambaye kichwani umejaza kinyesi ...😂 😂 What a skunk !!!Ndio tumefurahi sana wacha akome kabisa! Watu unawarukana kila leo halafu kesho unakwenda kwao hahahahaba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa mabeberu ndio wapi huko?Mimi niko Tanzania na kwa jinsi nisivyompenda Magufuli ningeweza kufanya kile ambacho amefanyiwa Lissu ila ni ustaarabu tu na kufuata sheria za nchi!Sasa wewe huko kwa mabeberu unabeba mabox utampopoa lini na utaweza?
Na mmeyataka wenyewe naona mmeonja joto ya jiwe!MaCCM yameshaingia ubaridi yamepanic.
Hii picha mbona mnaipenda sana? Ina nini cha ajabu? Hapo ni runzewe, sio chatoView attachment 1599147
Nyomi la Chato sio mchezo..kama kwenu hawakutaki utapendwa wapi..
Haya yanatamkwa na mtanzania? Nashangaa watu wa uhamiaji hawawafuati watu wa aina yako kuwahoji uhalali wa uraia wenu. Unawezaje kushabikia vitu vyenye kuhatarisha amani?Lissu na Chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha Chato wamfundishe
Msaliti Lissu si kila siku anawahamasisha kufanya fujo!Kwa mabeberu ndio wapi huko?Mimi niko Tanzania na kwa jinsi nisivyompenda Magufuli ningeweza kufanya kile ambacho amefanyiwa Lissu ila ni ustaarabu tu na kufuata sheria za nchi!
Tukifika hatua hii ya kuumizana kisa vyama basi ni wazi tunacheza na amani ya nchi hii iliyodumu kwa miaka mingi!
Kaka siku ikitokea kwa upande wetu utayasema haya mana ni swala la muda tuMtalia sana mwaka huu na bado
Acha upumbav wewe mwanamke!Mwanamke gani unakuwa na roho ngumu kiasi hicho?Mwenye video ikionesha wana CCM wakirusha mawe atume hapa! Matukio ya kutengenezwa yamepitwa na wakati! Pia gari lililovunjwa silioni naona tu kama mtu kavunja mwenyewe tena na kajiwe kadogo hakutaka hasara kubwa!
Chadema ya Lisu acheni kutafuta kick za kipumbavu!! Tanzania ni nchi ya amani. Kila siku unawatukana wana Chato leo unawafata tena ni mara ya tatu unaenda kanda ya ziwa! Tanzania kubwa pambana na hali yako. Magufuli sio size yako!
Queen Esther
Joto gani sasa zaidi ya maCCM kuhudhihirishia ulimwengu kuwa CCM maji yamewazidi kimo mmeanza kurusha miguuNa mmeyataka wenyewe naona mmeonja joto ya jiwe!