Watu wanataka uwanja unakwenda kuwaambia kuwa uwanja hauna faida wacha wakuchape kichapo cha mwizi
Wewe ni mjinga kiasi hicho kumbe Kwani si anajenga hoja sasa kama una Faida si nawewe unasema hizo faida sasa kutumia mawe ndo utaratibu gani huo kumbe hii nchi haiko salama kwamba kuna watu wanaweza kuwazuia wenzao kufanya kampeni kwa mawe na vyombo vya ulinzi vipo. Tukutane tarehe 28 October