Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mmmh, hilo mimi sina uhakika nalo Wala ushahidi wowote, kwahiyo siwezi kujadili chochote.
Hutakiwi ujadili maana hapa nimekupa taarifa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh, hilo mimi sina uhakika nalo Wala ushahidi wowote, kwahiyo siwezi kujadili chochote.
Mbona Msaliti Lissu kila siku anahamasisha uvunjifu wa amani mbona hukemei!?Haya yanatamkwa na mtanzania? Nashangaa watu wa uhamiaji hawawafuati watu wa aina yako kuwahoji uhalali wa uraia wenu. Unawezaje kushabikia vitu vyenye kuhatarisha amani?
Waambie wakati ni ukutaNiko hapa Chato CCM wanafanya uhuni na uvunjaji wa Amani na Sheria mbele ya Polisi
Ila wananchi wamejitokeza kwa wingi kwelikweli CCM tokea jana walikuwa wanawatisha wananchi wasimpokee Raisi mtarajiwa Jemadari Tundu Lissu.
uwanja wa ndege wa chato ni kwa manufaa ya mtu mmoja tuHekima ya lissu ni ndogo mno. Huwezi kuwananga watu wa chato juu ya uwanja wa ndege na mbuga halafu tena ukawaombe Kula. Zinamtosha yeye tu!!
Hayo unayosema jawabu lake ni sanduku la kura na sio hizi fujo za kupigana mawe!Haya mambo kwa mtu timamu siyo ya kushabikia kabisa na badala yake yanapaswa kukemewa kwa nguvu zote!Msaliti Lissu si kila siku anawahamasisha kufanya fujo!
Subiria unafikiri ni utani,!Machadema mlikuwa wapi kujibu mapigo? Mko wengi mwambieni aingize watu barabarani.
Bado siku 13 tu tujue kama unayoyasema ni kweliJoto gani sasa zaidi ya maCCM kuhudhihirishia ulimwengu kuwa CCM maji yamewazidi kimo mmeanza kurusha miguu
Wapi amehamasisha uvunjifu wa amani? Unaweza ukaweka ushahidi?Mbona Msaliti Lissu kila siku anahamasisha uvunjifu wa amani mbona hukemei!?
Umeoongea point kubwa sana lakini mazwazwa Hawawezi kuelewa ... Waliopanga kufanya hilo tukio wamemchafua sana raisi na chama chake .kwajinsi mimi navyoijua siasa kuwa ni mchezo mchafu waweza kukuta hao waliompiga mawe tundu lissu ni vikaragosi wa hao hao CDM wamefanya plan hiyo ilikuzidi kumpaka matope magu kuwa anachuki za dhahiri shahiri na mpinzani wake...( nimejaribu tu kuwaza kwa sauti) .... Ila hiki nilichoongea ni fiction tu hakina uhalisiaKwa vurugu za chato anayepaswa kujisafisha ni rais, akikaa kimya atakuwa amechafuka vibaya.Kwa rais alipaswa kuwa mfano kufanikisha usalama wa kutosha unawepo Kwake kwa wagombea wenzie..
Ungeanza kumuuliza yeye kwanza!ma
Matusi ya nini mkuu?
Kijana huo ni kama CCM imekuathiri hadi kifikra Njoo Upinzani uikomboe Nchi yakoSi mnatengeneza matukio ili muwalizishe mabwana zenu wakina Amsterdam.
Kubwa la mabeberuLisu ameamuru barabara ifungwe?!!
Kama nani?
Inatia hasira sana.Huo ni ujinga kwahiyo Magufuli asifanye kampeni jimboni kwa Lissu au Arusha apigwe mawe
We payuka tuIt is not going to work Lissu na watu wake (mabeberu waliomtuma) washajiandaa kushindwa ndio maana wanajitangaza washindi mapema sijui Lissu anasapoti kubwa ndani ya Tanzania etc with nonsense ya kutengeneza mazingira ya kupinga matokeo ya uchaguzi na kujaribu kuanzisha vuruga.
Hawatafanikiwa bila ya hata serikali kuwazuia kwa sababu Lissu atopata support ya viongozi wenzake wajuu ndani CDM including Mbowe mwenyewe, achilia mbali wa Tanzania walio wengi.
The guy is just dillusional na waliomtuma awaifahamu Tanzania vizuri, bora wangemtafutia daktari wa kumtibu psychology issues zake tu.
Bora baba yako angemwaga nje kuliko kuleta mbegu kama wewe duniani!Siyo mama yako wewe kweli
Wasalaam wana jamvi!
Nimeshangazwa na kitendo cha Lissu kuamuru kufungwa kwa barabara baada ya msafara wake kushambuliwa na wahuni ...kitendo cha Lissu kutaka barabara ifungwe kisa yeye ameshambuliwa wakati sio wana chato wote ndio wamemshambulia na alitakiwa kuwavumilia kama ambavyo huwa ana waaminisha watanzania kuwa yeye ni mvumilivu na watu watakuwa huru akipewa nchi.
Kwanini Mh Lissu anakuwa dikteta mapema hivi kabla hajapewa nchi? Kwanini asivumilie akasubiri jeshi la polisi wawatafute waaharifu hao?
Lakini kwa upande mwingine Mh Lissu amekuwa ni chanzo cha uvunjifu wa amani kutokana na matamshi yake mwenywe.
Mfano hao wana chato wamekuwa wakitukanwa miaka mitatu na chadema na Tundu Lissu na amekuwa akiwasema vibaya kila leo.
Lissu jana alikwenda mbele zaidi na kumtukana mwanachato kuwa ni mshamba tena huko uko kanda ya ziwa.
Mimi bado najiuliza kuwa Lissu alitarajia nini kutoka kwa aliokuwa ana watukana kila leo? Kwanini amekuwa chanzo cha vurugu na uvunjifu wa amani kila leo?
Ingetokea kwenye mkutano wa Mgombea Raisi wa CCM angeagiza majeshi kutoka jwtz yake yaue wananchiIngependeza na ingempa heshima kubwa Rais Magufuli kama kusingetokea vurugu za wananchi kushambulia msafara wa mgombea urais kupitia CHADEMA.
Kama mkuu wa nchi na Baba wa demokrasia nchini, Rais Magufuli anatakiwa kuchukua hatua mara moja juu ya kile kilichotokea leo
La sivyo itadhihirika kuwa wametumwa na hawagusiki.
Najiuliza hali hii ingetokea Singida siku ile Magufuli alipoenda kule sijui ingakuwaje!
Kama Raia.... Ndiyo maana anahubiri uhuru, haki na maendeleo. Tatizo la Watanzania wengi CCM imetutawala kwa muda mrefu mpaka hatujui uhuru na haki zetu.Lisu ameamuru barabara ifungwe?!!
Kama nani?
Siyo baba yako ndio aliyekosea kuleta mbegu kama wewe. Duniani???Bora baba yako angemwaga nje kuliko kuleta mbegu kama wewe duniani!