Uchaguzi 2020 Chato: Msafara wa Tundu Lissu washambuliwa kwa mawe

Uchaguzi 2020 Chato: Msafara wa Tundu Lissu washambuliwa kwa mawe

Haya yanatamkwa na mtanzania? Nashangaa watu wa uhamiaji hawawafuati watu wa aina yako kuwahoji uhalali wa uraia wenu. Unawezaje kushabikia vitu vyenye kuhatarisha amani?
Mbona Msaliti Lissu kila siku anahamasisha uvunjifu wa amani mbona hukemei!?
 
Niko hapa Chato CCM wanafanya uhuni na uvunjaji wa Amani na Sheria mbele ya Polisi
Ila wananchi wamejitokeza kwa wingi kwelikweli CCM tokea jana walikuwa wanawatisha wananchi wasimpokee Raisi mtarajiwa Jemadari Tundu Lissu.
Waambie wakati ni ukuta
 
Hekima ya lissu ni ndogo mno. Huwezi kuwananga watu wa chato juu ya uwanja wa ndege na mbuga halafu tena ukawaombe Kula. Zinamtosha yeye tu!!
uwanja wa ndege wa chato ni kwa manufaa ya mtu mmoja tu
 
Msaliti Lissu si kila siku anawahamasisha kufanya fujo!
Hayo unayosema jawabu lake ni sanduku la kura na sio hizi fujo za kupigana mawe!Haya mambo kwa mtu timamu siyo ya kushabikia kabisa na badala yake yanapaswa kukemewa kwa nguvu zote!

Mtu humpendi usiende kwenye mkutano wake na siku ya kupiga kura usimchague!Hata sisi wengine tuna watu tusiowapenda ila hatujawafanyia fujo kwenye kampeni zao!
 
Ingependeza na ingempa heshima kubwa Rais Magufuli kama kusingetokea vurugu za wananchi kushambulia msafara wa mgombea urais kupitia CHADEMA.

Kama mkuu wa nchi na Baba wa demokrasia nchini, Rais Magufuli anatakiwa kuchukua hatua mara moja juu ya kile kilichotokea leo

La sivyo itadhihirika kuwa wametumwa na hawagusiki.

Najiuliza hali hii ingetokea Singida siku ile Magufuli alipoenda kule sijui ingakuwaje!
 
Mbona Msaliti Lissu kila siku anahamasisha uvunjifu wa amani mbona hukemei!?
Wapi amehamasisha uvunjifu wa amani? Unaweza ukaweka ushahidi?

Labda tu niwaambie, hakuna alimkubwa kuizidi Tanzania. Hata hivyo vyama vyama vya siasa mnavyojivunia ipo siku vitapita lakini Tanzania itaendelea kubaki.

Acheni ushabiki wa kijinga kushangilia fujo
 
Kwa vurugu za chato anayepaswa kujisafisha ni rais, akikaa kimya atakuwa amechafuka vibaya.Kwa rais alipaswa kuwa mfano kufanikisha usalama wa kutosha unawepo Kwake kwa wagombea wenzie..
Umeoongea point kubwa sana lakini mazwazwa Hawawezi kuelewa ... Waliopanga kufanya hilo tukio wamemchafua sana raisi na chama chake .kwajinsi mimi navyoijua siasa kuwa ni mchezo mchafu waweza kukuta hao waliompiga mawe tundu lissu ni vikaragosi wa hao hao CDM wamefanya plan hiyo ilikuzidi kumpaka matope magu kuwa anachuki za dhahiri shahiri na mpinzani wake...( nimejaribu tu kuwaza kwa sauti) .... Ila hiki nilichoongea ni fiction tu hakina uhalisia
 
It is not going to work Lissu na watu wake (mabeberu waliomtuma) washajiandaa kushindwa ndio maana wanajitangaza washindi mapema sijui Lissu anasapoti kubwa ndani ya Tanzania etc with nonsense ya kutengeneza mazingira ya kupinga matokeo ya uchaguzi na kujaribu kuanzisha vuruga.

Hawatafanikiwa bila ya hata serikali kuwazuia kwa sababu Lissu atopata support ya viongozi wenzake wajuu ndani CDM including Mbowe mwenyewe, achilia mbali wa Tanzania walio wengi.

The guy is just dillusional na waliomtuma awaifahamu Tanzania vizuri, bora wangemtafutia daktari wa kumtibu psychology issues zake tu.
We payuka tu
 
Ulishindwa kumuua mtu kwa risasi,
ndio utumie mawe kweli?

Wasalaam wana jamvi!

Nimeshangazwa na kitendo cha Lissu kuamuru kufungwa kwa barabara baada ya msafara wake kushambuliwa na wahuni ...kitendo cha Lissu kutaka barabara ifungwe kisa yeye ameshambuliwa wakati sio wana chato wote ndio wamemshambulia na alitakiwa kuwavumilia kama ambavyo huwa ana waaminisha watanzania kuwa yeye ni mvumilivu na watu watakuwa huru akipewa nchi.

Kwanini Mh Lissu anakuwa dikteta mapema hivi kabla hajapewa nchi? Kwanini asivumilie akasubiri jeshi la polisi wawatafute waaharifu hao?

Lakini kwa upande mwingine Mh Lissu amekuwa ni chanzo cha uvunjifu wa amani kutokana na matamshi yake mwenywe.

Mfano hao wana chato wamekuwa wakitukanwa miaka mitatu na chadema na Tundu Lissu na amekuwa akiwasema vibaya kila leo.

Lissu jana alikwenda mbele zaidi na kumtukana mwanachato kuwa ni mshamba tena huko uko kanda ya ziwa.

Mimi bado najiuliza kuwa Lissu alitarajia nini kutoka kwa aliokuwa ana watukana kila leo? Kwanini amekuwa chanzo cha vurugu na uvunjifu wa amani kila leo?
 
Ingependeza na ingempa heshima kubwa Rais Magufuli kama kusingetokea vurugu za wananchi kushambulia msafara wa mgombea urais kupitia CHADEMA.

Kama mkuu wa nchi na Baba wa demokrasia nchini, Rais Magufuli anatakiwa kuchukua hatua mara moja juu ya kile kilichotokea leo

La sivyo itadhihirika kuwa wametumwa na hawagusiki.

Najiuliza hali hii ingetokea Singida siku ile Magufuli alipoenda kule sijui ingakuwaje!
Ingetokea kwenye mkutano wa Mgombea Raisi wa CCM angeagiza majeshi kutoka jwtz yake yaue wananchi
 
Back
Top Bottom