Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakihalalishi lakini anatambua kumbe kulikuwa na hatari za kuamsha hisia, sasa kwanini akaenda bado?
Wanajua ni mlopokaji na anabwabwaja tu.... Jitu la namna hiyo unalisikiliza unaachana nalo.Huko jimboni kwa Lissu watu wanampenda Magufuli ndio maana hawakumrushia mawe. Ukisema kwamba hawakumrushia kwasababu ya mamlaka yake, Basi angalau hata wangemzomea tu...
Kwa hiyo lissu amewatukana watu wa chato? Unaweza kuweka hilo tusi alilotukana hapa ?Ulishawahi kumsikia Magu akiwatukana watu wa Singida
Mshamba ww leo yenyewe umelala njaa tu hapoLissu na Chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha Chato wamfundishe
Huu ndiyo upumbavu wa karne cha wapi na wapi ndiyo nini? Ucha upumbavu yaani unampangia lisu pa kupiga kampeni? Huo ushamba wa kurusha mawe ni dalili za chato kuwa na wanaccm wapumbavu kupita upumbavu wote DunianiLissu na Chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha Chato wamfundishe
Ndiyo, wewe tukikuita mwizi utachekelea?Mwizi ni tusi?
Wewe ndiyo boya kwani chato siyo Tanzania na ratiba yake ya kampeni ndiyo imempeleka chato huo upumbavu wenu hautawasaidia zaidi ya kujidhalilisha na kuonekana ni washamba wa kutupwahuyu jamaa kilichompeleka chato ni nini? hakuna alichohutubia kaanza kuongelea mambo ya Mganza huku akiwasihi polisi waimarishe ulinzi wake, hili jamaa boya kweli, yeye gari lake ni bullet proof shughuli kaitia ndimu kakimbilia kwenye gari
Mbona kafika na hakuna alichohutubia? wamchague ili awafanyie nini? mwizi keshaijenga chato yeye kinampeleka nini? matatizo ya mganza siangeenda huko akayasemea, hao vijana wake mbona hawajamlinda kaanguka miguuni kwa polisi ambao hawajaongezwa mishaharaWewe ndiyo boya kwani chato siyo Tanzania na ratiba yake ya kampeni ndiyo imempeleka chato huo upumbavu wenu hautawasaidia zaidi ya kujidhalilisha na kuonekana ni washamba wa kutupwa
Ndio Tanzania tulipofika sasa, thanks to Magu.Hutawasikia tume ya uchaguzi wakilaani kwa vile ni chadema wanashambuliwa ,ingekuwa CCM ndo wanashambuliwa utaona watakavyokuja kasi kulaani kama faru aliyejeruhiwa kwa risasi
Magufuli alivokua akimuita Lowassa jizi je? anavomuita Lisu kibaraka wa mabeberu je?ndiyo, wewe tukikuita mwizi utachekelea?
Kwani mwizi akiitwa mwizi anachekelea?ndiyo, wewe tukikuita mwizi utachekelea?