Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,512
- 6,882
ina maana siku hizi Chato hawana hata bunduki au ndio hofu ya ICC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuunga mkonoLisu na chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha chato wamfundishe tena wampige mawe haswaa
Kila mgombea ana haki ya kuzunguka eneo lolote ndani ya Tanzania kwa ajili ya Kampeni, kwani nani mwenye hati miliki ya Chato? Nakumbuka Magufuli alienda Singida eneo alipozaliwa Lissu lakini hakuna aliefanya fujoLisu na chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha chato wamfundishe tena wampige mawe haswaa
Magufuli alipokelewa kwa heshima Ikungi iweje ufurahie Lissu kushambuliwa Chato.Lisu na chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha chato wamfundishe
Umasikini mlio nao hata kupanda ndege hamuwezi. Ni kuishangaa tuWatu wanataka uwanja unakwenda kuwaambia kuwa uwanja hauna faida wacha wakuchape kichapo cha mwizi
Sio kulaani tu, wagombea wangeenguliwa kabisa kutoka katika nafasi za kugombea, ila kwa sababu ni upinzani basi tume itabariki kila aina ya udhalimu unaofanywa dhidi ya wapinzani na hakuna hatua itakayochukuliwa dhidi ya hao wahalifuHutawasikia tume ya uchaguzi wakilaani kwa vile ni chadema wanashambuliwa ,ingekuwa CCM ndo wanashambuliwa utaona watakavyokuja kasi kulaani kama faru aliyejeruhiwa kwa risasi
Lissu anakashifu uwanja kujengwa Chato, mbuga ya wanyama kupelekwa na benki kujengwa Chato halafu anapeleka pua unategemea ninihuo ni ujinga kwahiyo Magufuli asifanye kampeni jimboni kwa lissu au arusha apigwe mawe ,we nguruwe wa lumumba huna akili
Polis hao hao ambao juzi lisu amewatukana leo anataka msaada .wacha yampate tu hakuna namnaNatamani kujua washambuliaji ni akina nani, wametumwa na nani na kwa maslahi gani, so far polisi wamechukua hatua gani?
Haya mambo yanaleta picha mbaya sana kwa ccm
Mawe ya nn Hali mmetuvusha uchumi wa Kati tunakula mara sita kwa siku,ndege tele,maflyover kibao,sgr why mtumie maweLisu na chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha chato wamfundishe tena wampige mawe haswaa
Haya ni matukio ya kutengeneza movie , wameanza toka jana , ili kuonyesha strong hold ya Magu haipendi demokrasiaMheshimiwa Tundu Lissu aamuru Barabara ya Chato Kufungwa baada ya wafuasi wa CCM kushambulia kwa mawe msafara wake na kuharibiwa gari la vifaa vya muziki (PA).
View attachment 1599022
Lissu hua anasema Nchi inaendeshwa kidikteta...Mara nyingine anasema MAGUFULI anajifanya mfalme je ni kweli anamaanisha ? Je ni kweli anaamini anachosema maana huwezi ukaenda stronghold ya mfalme ukapige kampeni labda iwe ndani ya nchi ya kidemokrasia sasa yeye anaamini MAGUFULI ni dikteta alafu wakati huohuo anaenda kufanya kampeni kwake ( kwa diktete kweli?)huo ni ujinga kwahiyo Magufuli asifanye kampeni jimboni kwa lissu au arusha apigwe mawe ,we nguruwe wa lumumba huna akili
Yeye lissu anatafuta Uhuru wa mashoga sasa wasukuma hawako tayari kuwa mashogaNatamani kujua washambuliaji ni akina nani, wametumwa na nani na kwa maslahi gani, so far polisi wamechukua hatua gani?
Haya mambo yanaleta picha mbaya sana kwa ccm
True hasa sabaya ndo mtaalamu wa mambo haya usikute alikuwa hukoHaya ni matukio ya kutengeneza movie , wameanza toka jana , ili kuonyesha strong hold ya Magu haipendi demokrasia
Kwenda kuona Kodi yetu ilivyotumika kujenga gabolite international airportAnaenda Chato kuwaambia nini? Kwamba maendeleo waliyoletewa hawastahili au?
Ukombozi unakaribiaMheshimiwa Tundu Lissu aamuru Barabara ya Chato Kufungwa baada ya wafuasi wa CCM kushambulia kwa mawe msafara wake na kuharibiwa gari la vifaa vya muziki (PA).
View attachment 1599022
Washambuliaji ni wana-Chato ambao Tundu lissu anawasema wamepelekewa maendeleo kwa upendeleoNatamani kujua washambuliaji ni akina nani, wametumwa na nani na kwa maslahi gani, so far polisi wamechukua hatua gani?
Haya mambo yanaleta picha mbaya sana kwa ccm