Chato: Msanii wa nyimbo za asili aliyemtumkana Rais Samia ahukumiwa miaka 6 jela

Et ungeona kawaida basi hata huko kupigana risasi mngekuja kuzoea pia na kuona kawaida, nchi hii mnazoea vitu vya ajabu sana ndio maana nasema hata aina ya uchaguzi wa 2020 ambao watu huulalamikia wangekuja kuuzoea tu kama wanavyokiri kuzoea wizi wa kura wa ccm uliyopo miaka yote.
 
Pole Mkuu ilo lipo juu ya upeo wako.
Upeo unaosema ambao ndugu unao ndiyo huo huo wa kukaririshwa na makaratasi. Kwakutumia utaalaam na utashi wa akili lazma ilo swala lingekua na matokeo tofauti. Mfano,mtu akiuuliza je,msanii katika mambo yote aliosema msanii je,kuna uongo tu?
 
Hakika inanpa furaha sana Watanganyika wa kisukuma wakinyooshwa kwa ushamba wao
 
Kufungwa kwa kesi za kubambikiza ni prevalent Tanzania lakini kumiminiana risasi kisa siasa hatukuwahi kuyaona. Huwezi linganisha hayo mawili kabisa. Una justify kuuwana kisa kumkosoa Rais? Are you serious
 
Kufungwa kwa kesi za kubambikiza ni prevalent Tanzania lakini kumiminiana risasi kisa siasa hatukuwahi kuyaona. Huwezi linganisha hayo mawili kabisa. Una justify kuuwana kisa kumkosoa Rais? Are you serious
Ndio nakwambia kwamba huko kufungana kwa kesi za kubambikiana sio jambo la kawaida kisa mmelizowea, wengine wanaweza kuwashangaa et watanzania wamezoea kufungana kwa kesi za kubambikiana kwamba kwao ni kawaida. Sasa hayo ya kupigana risasi kisa siasa nayo mngeyazoea tu maana hakuna hoja yeyote ya msingi ya kuzoea hayo mliyoyazoea hivi sasa.
 
Nyie watu wamchongo mna muda mfupi sana wa kutema uozo uliowajaa lakini kuna siku mtaukana hadharani.
 
Jela kaitaka mwenyewe

Ova
 
Wakisema wamchangie wanachato pekee anatoka tena asubuhi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…