Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha haKutukana kosa lake ni FAINI
Ukishindwa FAINI ndiyo unaenda jela.
Huyo faini ni Milion 10,akipata siku yyt anatoka.
Makamanda mchangieni mtu wenu atoke.
Nakazia.alikusudia kuonyesha hali ilivyo mbaya kwa jamii baada ya bidhaa kupanda bei.
Lakini hata Kibao chenyewe ni kitamu sana.😄Matusi hayafai!
Ukiondoa uwasilishaji wa matusi, ila kuna yale yenye ukweli! 😂
Inabidi niongeze neno mapunye kwenye list ya matusi ninayo yafahamu.Mapunye 😂😂😂😂
Yaani ukiwa mfanyakazi wa kawaida tu ukiwa na mapunye nitakushangaa.
Ndiyo Rais awe na mapunye?
Kuna namna bora ya kufikisha mawazo mbona Roma kaimba vizuri hakuna anayehangaika naeKule ufaransa jamaa alimtandika macron kofi la aina ya UTANITAMBUA na akafungwa miaka 3
nyie tusi hilo miaka 6
KUNA HAJA YA KATIBA MPYA KUONDOA SHERIA KANDAMIZI, RAISI WA TANZANIA NI MUNGU WA PILI KWA KATIBA HII
nawaza kama Jamaa angemtandika kofi samia si angeuuawa
Umeisha sema Kule ufaransa, siyo lazima tufanane, huku bongo wengempa hata mvua 30 ashike adabu. Mtu wahivyo anaweza hatamtukana mama yake.Kule ufaransa jamaa alimtandika macron kofi la aina ya UTANITAMBUA na akafungwa miaka 3
nyie tusi hilo miaka 6
KUNA HAJA YA KATIBA MPYA KUONDOA SHERIA KANDAMIZI, RAISI WA TANZANIA NI MUNGU WA PILI KWA KATIBA HII
nawaza kama Jamaa angemtandika kofi samia si angeuuawa
Acha avune matunda ya ujinga wakeMsanii wa Nyimbo za asili ya Kisukuma, Dawa Juma mkazi wa Kijiji cha Makurugusi wilayani Chato mkoani Geita, amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela au kulipa faini ya Tsh...
Kimetulia?Lakini hata Kibao chenyewe ni kitamu sana.😄
Mbona miaka michache sana hiyo? Ilitakiwa 15 Ili iwe funzo na Kwa wengine maana mtu wa kawaida tu akikushitaki Huwa ni kifungo hicho au fidia ya pesa za kuzidi tuu sembuse Rais ?Msanii wa Nyimbo za asili ya Kisukuma, Dawa Juma mkazi wa Kijiji cha Makurugusi wilayani Chato mkoani Geita, amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela au kulipa faini ya Tsh...
Tangu lini punye likawa tusiMapunye.
Hujasikia hilo neno?
Labda katumwa na chama chake, Wacha aonje joto la jiwe,Kutukana kosa lake ni FAINI
Ukishindwa FAINI ndiyo unaenda jela.
Huyo faini ni Milion 10,akipata siku yyt anatoka.
Makamanda mchangieni mtu wenu atoke.