"halafu mtu akifa wanataka kumpima , mtu aliyekufa mnampima wa nini ? " Mwisho wa kunukuu
sio lazina waweza kuwa baba mmoja wazee wa zamani kuzaa na wanawake wengi ilikuwa kawaidaSio Tumbo moja atakuwa ni ndugu Kwenye ukoo, sister zake wamebaki wawili baada ya mkubwa Monica kufariki. Mama domina na Asteria.walikuwaga wanne.
Sent using Jamii Forums mobile app
jeneza likiwekwa kwenye meza nzuri.likapambwa maua ya dhahabu na kuwekwa msalaba wa almasi nk ndio inakuwaje marehemu ndio anafufuka au? mbona hujauliza kuwa msalaba huuoni?Jeneza atakua amelinunua mwenyewe lakini kasabau kununua meza jeneza likae vizuri.
Ingekua zamani angeamuru sakafu iwekwe tyres haraka lakini kwa sababu ya corona mambo ndio hivo.
Hana lolote huyo anajikomba komba tuBwana Pasko, picha zimetolewa na Ikulu. Does it mean una uelewa mkubwa kuhusu "right to privacy ya Rais Magufuli" kuliko wasaidizi wake like Msigwa?
Marehemu anastahili heshima, hivyo kama haijatajwa sababu ya kifo, msimsingizie marehemu kuwa ni Corona!.
Kitu kizuri nime kinote kuhusu Chato, wana good class na executive coffins, ila hakuna florists, hivyo hiyo ni fursa.
P
sisi tumezika juzi hatukuvaa barakoaaHabari hii mbona inatia shaka kidogo! Mbona hakuna aliye vaa barakoa? Hali ilivyo sasa hivi kuna Mtanzania yeyote anaweza kudhulia kwenye misiba bila ya kuvaa facemask.
Ninyi ndio mnasababisha viongozi wa AFRICA kuwa wezi sababu mnataka mtu akishakuwa kiongozi basi awajengee ndugu zake wooote mijumba ya kueleweka na awape maisha ya kueleweka wao kazi yao kutumbua kisa wana ndugu mtu mkubwa au mwenye pesa !Usitulazimishe kufuata mawazo yako Wewe mjinga. Kama unachangia kwa malengo yako acha na Sisi tuwe free. Issue ni charity starts at home ameshindwa kumwekea hata sakafu dada yake!? Anagawa pesa tuuu. Shame
Wewe si huwa unasema hujawahi kuzika mtu tangia Koona aingie? Mkiendelea kuleta propaganda za kijinga mtaishasisi tumezika juzi hatukuvaa barakoaa
sisi tumezika juzi hatukuvaa barakoaa
Nilisema sijazika mtu yeyote mtaani kwetu .NI KWELI MTAANI KWETU hadi LEO HII HATUJAZIKA MTU NA HAKUNA ALIYEKUFA TOKA CORONA IANZE HUYO nilienda mzika makaburi ya kola morogoro sijasema mtaani kwanguWewe si huwa unasema hujawahi kuzika mtu tangia Koona aingie? Mkiendelea kuleta propaganda za kijinga mtaisha
Habari hii mbona inatia shaka kidogo! Mbona hakuna aliye vaa barakoa? Hali ilivyo sasa hivi kuna Mtanzania yeyote anaweza kudhulia kwenye misiba bila ya kuvaa facemask.
Tuliza munkari, jipatie pepcon na pepsi jirani hapo uwe unatupia kidogokidogo mkuu, huku ukijiambia moyoni kuwa, Duniani si mahali pa kuishi milele, hata wewe mwenyewe Kwa saa na siku usiyoijua utakwenda kuzikwa, halafu kaa kimyaUsitulazimishe kufuata mawazo yako Wewe mjinga. Kama unachangia kwa malengo yako acha na Sisi tuwe free. Issue ni charity starts at home ameshindwa kumwekea hata sakafu dada yake!? Anagawa pesa tuuu. Shame. Halafu mwambie huyo Kaka yako ajifunze kuhutubia sio kufoka foka tu.
Hahahahahaahaha..The right to privacy ya Rais Magufuli na familia yake uheshimiwe!. Sisi wa Africa na extended families zetu, nilipokuwa RTD, kila siku napata wageni toka kijijini kwetu, wameelekezwa mkifika mjini, yule Mtangazaji Pasco Mayalla wa RTD ni Kaka yenu!. Just imagine ndio nije niwe Raisi!.
RIP Gaudensia Felician Marko Msangwa.
P