Afadhari wewe akili zimekurudia mapemaAcha masikhara hili suala sio dogo. Trump na jeuri yake yote anaufyata sembuse nchi zetu za afrika?.
Hivi unajua Italy inaongoza kwa ushoga duniania ikifuatiwa na USA?Yan kagonjwa ka corona ninkadogo ? aisee hizi dhihaka za viongozi na uwongo kwa raia utawakost sana waunga juhudi na watatucost sisi pia daaah aisee, YAN ITALY WAMESHINDWA KWA DINI TUTAWEZA SISI ? sio kweli na TUSIDANGANYANE KABISA WAKUU
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ufunge usifunge wao wamefunga mipaka yao sasa sijui utapenyaje!Rais Magufuli amesema Serikali imeamua kutowazuia watu ndani ya nyumba zao wala kufunga mipaka kwa sababu ya ugonjwa wa corona kwakutambua madhara yanayoweza kujitokeza kwa kufanya hivyo ndani ya nchi na kwa nchi 8 zinazotegemea huduma na bidhaa kupitia Tanzania
My take:
Huu ndio ukweli,tukifunga mipaka tutaathiri watu wetu na majirani zetu,viva jpm viva CCM.
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe na mwezio Kawe Alumni. ni mfano bora kwanini kuna baadhi ya nchi mtu akitoa maoni yake anauwawaRais Magufuli amesema Serikali imeamua kutowazuia watu ndani ya nyumba zao wala kufunga mipaka kwa sababu ya ugonjwa wa corona kwakutambua madhara yanayoweza kujitokeza kwa kufanya hivyo ndani ya nchi na kwa nchi 8 zinazotegemea huduma na bidhaa kupitia Tanzania
My take:
Huu ndio ukweli,tukifunga mipaka tutaathiri watu wetu na majirani zetu,viva jpm viva CCM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unataka kusemaje labda ? dhambi kubwa duniani ni ushoga tu ? na adhabu ya dhambi ni kifo ? Ebu nielewesheHivi unajua Italy inaongoza kwa ushoga duniania ikifuatiwa na USA?
Mimi nina akili kabla hata sijawa member humu ndani.Afadhari wewe akili zimekurudia mapema
Mkuu naelewa,Ila ccm huwa inakawaida ya kuwanyanganya watu akili zao.Ashukuriwe Mungu wa Mbinguni Kama wamekurudishia mkuuMimi nina akili kabla hata sijawa member humu ndani.
Hakuna mwenye uwezo wa kumnyanganya mtu akili.Mkuu naelewa,Ila ccm huwa inakawaida ya kuwanyanganya watu akili zao.Ashukuriwe Mungu wa Mbinguni Kama wamekurudishia mkuu
Unajua kikundi chake wamekubalina Nini? Magufuli yupo madarakani kwa kura 8 m watanzania tupo 60m.Je alichaguliwa kweli na watanzania?Hakuna mwenye uwezo wa kumnyanganya mtu akili.
Maana kama ni hivyo kaka Mbowe amewanyanganya wengi sana, huu mwaka wa 16 yupo na cheo chake pale ufipa.
Anzisha uzi mimi nitauchangia.Unajua kikundi chake wamekubalina Nini? Magufuli yupo madarakani kwa kura 8 m watanzania tupo 60m.Je alichaguliwa kweli na watanzania?
Vipi mbona unakwepa tena,wewe si ndo umeleta Mambo ya kina Mbowe? Au Mbowe na ccm Nani kaka madarakani muda mrefu? Na still wadanganyika bado ni wabangaizaji kushinda hata warundi na wanyarwanda waliokuwa kwenye Vita miaka yoteAnzisha uzi mimi nitauchangia.
CCM kwa miaka 16 aliyokaa Mbowe madarakani wamekuwepp wenyeviti wawili.Vipi mbona unakwepa tena,wewe si ndo umeleta Mambo ya kina Mbowe? Au Mbowe na ccm Nani kaka madarakani muda mrefu? Na still wadanganyika bado ni wabangaizaji kushinda hata warundi na wanyarwanda waliokuwa kwenye Vita miaka yote
Kwa hiyo kazi ya ccm na serikali yake ni nini sasa? Kufanya ufisadi na kugawana madaraka?CCM kwa miaka 16 aliyokaa Mbowe madarakani wamekuwepp wenyeviti wawili.
Hakuna nchi ambayo kila raia maisha yake yanakuwa mazuri eti kwa sababu ya chama kimoja cha sasa, ni juhudi yako binafsi ya kusoma bila kuchoka na kuwa mbunifu.
Tabora peke yake ni kubwa kuliko Rwanda, Morogoro ni kubwa kuliko Burundi. Kushinda humu jukwaani kulalamika sio sawa na kupambana na changamoto za kuibadili Tanzania kiuchumi.
Yapo mengi yanayofanyika, wewe uiyejifungia chumbani kwako na laptop yako huwezi kuyaona.Kwa hiyo kazi ya ccm na serikali yake ni nini sasa? Kufanya ufisadi na kugawana madaraka?
Vipi hakuna nchi kubwa duniani kuliko Tanzania na maisha yao yako vizuri,Kama issue ni ukubwa? Lakini pia sisi tupo vizuri kuliko Malawi ingawa Malawi ni sawa na Morogoro ,jr hapo unasemaje?