Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hadi inachosha!...Mie deep inside naamini tutasalimika wengi! Habari boss wangu!Hizi Thread za Corona zimekuwa overrated sana.
Hadi inachosha!...Mie deep inside naamini tutasalimika wengi! Habari boss wangu!
Lockdown ni ujinga,utakuwa umefanya nini sasa kuwafungia watu ili hali unajua hali zao,ishi yao,muuza kahawa umfungie atakula nini,mchuuzi Wa ndizi,konda,wapika hotel, waziba Pancha,waikota machupa,acha tupambane na adui corona tukiwa nje siyo kujificha tukitoka tunamkuta,kila MTU achukue hatua, kujilinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Watafute ndugu wa kuwaachia watotoWamama ndiyo baba ndiyo mama..unatakabwapigwe marufuku familia zife njaa
Kama Hana ndugu?Watafute ndugu wa kuwaachia watoto
Awe na kadi ya clinic, no problemWanawapeleka clinic
Hata jirani au mama mwenye nyumba, na amlipe huyo jiraniKama Hana ndugu?