CHATO: Rais Magufuli asema Serikali haitafunga mipaka wala kuwazuia watu kutoka ndani ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona

CHATO: Rais Magufuli asema Serikali haitafunga mipaka wala kuwazuia watu kutoka ndani ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona

Lakini hivi Uganda kama kafunga mpaka na sisi, wa kwetu ukiwa wazi inasaidiaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama haisaidii kwa nini tufunge? Kufunga pia si haisaidii vilevile angalau tunaonekana wema kua tunawapenda majirani zetu na tunakaribisha watu wa nchi zote hata kama ukweli ni kua tunataka wakae watulie.

Tanzania ni nchi inayocheza nuetral sa hivi, hatuna bif na China wala USA wala nchi nyingine, angalia Kenya alivyopiga ban travel sasa hivi nchi ambazo zinawasumbua wakenya visa ni nyingi mno, imekua vita kila nchi wanatishiana ubabe, watanzania kimya hamna shida kabisa
 
Gonjwa hili lipo na halina dawa, tujikinge usisambae:

HOW COVID-19 KILLS--I'm a Surgeon--And Why We Can't Save You



SARS2-Covid-19 virus can cause severe problems. This happens when it moves down the respiratory tract and infects the lungs, which are even richer in cells with Ace-2 receptors. Many of these cells are destroyed, and lungs become congested with bits of broken cell. In these cases, patients will require treatment in intensive care.
Even worse, in some cases, a person’s immune system goes into overdrive, attracting cells to the lungs in order to attack the virus, resulting in inflammation. This process can run out of control, more immune cells pour in, and the inflammation gets worse. This is known as a cytokine storm. (In Greek, “cyto” means cell and “kino” means movement.) In some cases, this can kill the patient.
Just why cytokine storms occur in some patients but not in the vast majority is unclear. One possibility is that some people have versions of Ace-2 receptors that are slightly more vulnerable to attacks from the coronavirus than are those of most people.

Source : Duc C. Vuong
 
Chibudee,

Kwa mifumo ya kimaisha ya nchi zetu ni vigumu sana kuwazuia watu wasitoke nje ama kufunga mipaka yote ya nchi. Wenzetu wa ulaya mifumo yao ya kimaisha nitofauti sana na ya kwetu ndio maana kwao ni rahisi kufunga mipaka. Huu ugonjwa ni changamoto kubwa sana kwa nchi za afrika, ndio maana dunia nzima sasa hivi imetega masikio kusikiliza dhoruba itakayo tokea afrika kutokana na corona.

Mataifa yenye mifumo mizuri ya kimaisha ikiwemo huduma za afya yote iko mashakani adi sasa hivi, je nchi zetu za afrika hali itakuaje? Lakini pamoja na hayo yote nguvu kubwa itumike kuwaelimisha watu kwani mpaka sasa hivi walio wengi hawana uelewa wakutosha juu ya hatari iliyopo. Tunaona jinsi mataifa mengine watu wanavyo zikwa kama mbegu, yaani kaburi 1 mnafukiwa humo.

Watu kuchapa kazi ni sawa maana ndio maisha, bila kutoka nyumbani watoto hawana chakula, lakini serikali iangalie namna gani wananchi wake wanaelimishwa na kuelewa vizuri namna gani yakufanya kazi katika mazingira haya. Hali mitaani bado ni yakawaida sana, tusisubiri adi watu waje watishwe na vifo. Wapewe elimu nzuri ya namna yakupunguza maambukizi ili kuhepusha maangamizi.
 
tn_tz-flag.gif

Tanzania
Coronavirus Cases:

Walioambukizwa 32
Deaths:
Waliokufa 3
Recovered:
Waliopona 5
Tanzania Coronavirus: 32 Cases and 3 Deaths - Worldometer
Hatari Tanzania wagonjwa wazidi kuongezeka taratibu musifunge Mipaka wala kuwazuia watu kutoka ndani. Majibu yake mutayaona Poleni sana ndugu zangu. Salini ombeni sana kwa Mungu atawasaidieni.
 
Chibudee,
Mlio like mmeona au kusikia huko TBC?
Mtu wa tatu sijui wa nne Corona imefanya yake
Msiseme hatukuwaambia nusu milingoti itakuwa mingi nyie haya
Endelezeni kumdanganya kwa faida ya matumbo yenu.

Bilious Tz vimeanza ni vingi tu
 
Nasikia kasema "Chapeni kazi" Na yeye tunamtaka arudi Dar ili afanye mambo muhimu ya kitaifa!
Mkuu Raisi anafanya kazi akiwa sehemu yeyote ndani ya nchi hii kwa kutumia mifumo iliyoko, sasa wewe unadhani akiwa Dar tu ndio anafanya kazi, basi kusingekuwa na haja ya kuwa na ikulu ndogo kila wilaya. Inaonekana, somo la urai lukikupita kushuto.
 
Mlio like mmeona au kusikia huko TBC ?
Mtu wa tatu sijui wa nne Corona imefanya yake
Msiseme hatukuwaambia nusu milingoti itakuwa mingi nyie haya
Endelezeni kumdanganya kwa faida ya matumbo yenu.

Bilious Tz vimeanza ni vingi tu
Wewe ulitaka achukue hatua gani? Mkuu kama wew unafedha na chakula cha kutosha ndani unaweza kuchukua hatua inayokustahili.
 
Ajue kuwa watu wanakufa! Hizo nchi anazosema kuwa zinaitegemea Tanzania ajue baadhi wameshafunga mipaka ingawa kwao hakuna maafa kama kwetu! Mwambieni aelewe kuwa vilevile kauli za kuudhi kama hizi siyo lazima azitoe hadharani. Huyu mtu sijui ubinadamu aliuachaga wapi!
Nimuulize swali,ulishawahi kwenda Tarime,Iringa au Jamaica......Kuna mchicha mtamu kweli kule....ukila utamu wake utawarisisha na wajukuu .
 
Mkuu Raisi anafanya kazi akiwa sehemu yeyote ndani ya nchi hii kwa kutumia mifumo iliyoko, sasa wewe unadhani akiwa Dar tu ndio anafanya kazi, basi kusingekuwa na haja ya kuwa na ikulu ndogo kila wilaya. Inaonekana, somo la urai lukikupita kushuto.
Sio kweli,Ikulu ndogo zipo ,lakini Ofis Kuu Ni Moja tu,Disrmba alikaa huko mwezi mzima ,sasa imetokes Tena....kwa Nini Sasa asiende Ikulu Ndogo ya Rombo,Mimi nafikiri Mh.yupo Mapumziko!
 
Sio kweli,Ikulu ndogo zipo ,lakini Ofis Kuu Ni Moja tu,Disrmba alikaa huko mwezi mzima ,sasa imetokes Tena....kwa Nini Sasa asiende Ikulu Ndogo ya Rombo,Mimi nafikiri Mh.yupo Mapumziko!
Nadhani hujaelewa jibu nililomjibu mchangiaji kwamba Raisi anafanya kazi popote alipo sio lazima awe Dar, hivi sasa yuko Chato, umeona inchi imesimama au kuna kitu hakiendi sawa? Nahisi na wewe somo la uraia lilikupita kushoto.
 
Bado tunafanya utani?? TBC wamepoteza wafanyakazi watatu ndani ya week mbili, wengine wako tight, tunataka hadi afe nani ndio tuache utani???
 
Wizara inasema watu wasisafiri, huku kuna watu wamebebana wako huko chattel, are we serious kweli??
 
Kwa hali hii huenda waliokufa ni wengi zaidi sema hawana titles!! Ni akina sie kajamba nani...
 
Nadhani hujaelewa jibu nililomjibu mchangiaji kwamba Raisi anafanya kazi popote alipo sio lazima awe Dar, hivi sasa yuko Chato, umeona inchi imesimama au kuna kitu hakiendi sawa? Nahisi na wewe somo la uraia lilikupita kushoto.
Mkuu wewe unaona Mambo yako sawa !...wewe Uraia ulsoma mpaka Darasa la Saba....Mimi niliendelea nao Hadi Juu
 
Huyu tutakumbushana. Tunaomba Mungu hali isiwe tete lakini ikiwa tete tutaulizana.

Si walitamka wenyewe na mashabiki wakashangilia?

Tunajifanya wakristo kuliko Yesu Kristo mwenyewe.
Hivi tukifa wengi hawa watu hawawezi kushtakiwa kwa manslaughter kweli??
 
Mkuu wewe unaona Mambo yako sawa !...wewe Uraia ulsoma mpaka Darasa la Saba....Mimi niliendelea nao Hadi Juu
Sasa kama uliendelea mpaka juu kwanini unashindwa kuelewa vitu vidogo kama hivi mkuu? Anyway mimi niliishia la saba lakin nilisoma GS na DS kwa nyakati tofauti tofauti.
 
Ni kweli tukifunga mipaka uchumi utayumba vibaya sana. Maana majiran wanatutegemea.
Lakin ktk kipindi hiki mipaka ifungwe kwa muda... hatuwezi ki risk afya za watanzania in the name of money.
Hakutakuwa na faida yoyote tukiwa na taifa tajiri lakin lenye asilimia kubwa ambao ni wagonjwa. Hata huo uchumi utadidimia

Sent using Jamii Forums mobile app
Pengine wanataka tupungue kidogo
 
Hii corona imenifanya niwadharau sana baadhi ya members humu ndani. Sijawahi kujua kuwa kuna baadhi ya members ni wajinga kiasi hiki
 
Back
Top Bottom