Huo uwanja ukiwepo utasaidia kutumika hata shughuli zingine maana utatumika kimukoa, alafu mambo ya kujengewa vitu Kama watumiaji hawataenda kutumia ni wao wana makosa kikubwa hela ikipatikana ya kuendeleza sehemu yoyote iendelezwe bila kuchelewa hasa wilayani na vijijini kuliko jificha ujinga mwingi na uchawi,
Mimi napenda maendeleo vijijini yaani vijijini vyote vikiwa vinapata maendeleo kwa njia yoyote sijali kikubwa maendeleo hata kwa kuomba misaada ya kuendeleza vijijini ifanyike Ili tuondoe ujinga ujinga, mambo ya mtu kusubiri afike mjini akiwa hajui hata kuvuka barabara na matumizi ya vitu inatakiwa iondolewe kwa maendeleo Kila mtu apambane kufurahia maendeleo ya vijijini Ili watu waishi kisasa hata kufuga na kulima watafuga kisasa kwanini hatupendi watu wawe na exposure ya vitu?
Wasipona vitu vizuri na kujua kutumia inamaana waje mjini kuja kujifunza Sasa tutahudumia watu wangapi mjini? Nasisitiza nimependa JPM alivyoamua kuonyesha mfano kuwapelekea watu wa wilayani maendeleo ya vitu waelimike tuwe sawa na mjini na uchumi utainuka.