Chato: Serikali kujenga Uwanja wa kisasa wa Michezo

Chato: Serikali kujenga Uwanja wa kisasa wa Michezo

maana halisi ya ule wimbo ' chama chetu cha mapinduzi chajenga nchi' sidhan km hata kuna timu ya daraja la tatu huko
 
Nina wasiwasi kuwa hii ni white elephant project; time will tell!!
 
[emoji3][emoji3], Yaani mnataka maeneo ambayo hayana watu yazidi kuwa nyuma kimaendeleo? Huo uwanja wa mpira, hifadhi ya burigi na traffic lights zitafanya watu wahamie Chato
Tunajaribu kuwapa na mifano. Mobuth alipokuwa madarakani kule kwao alipojenga saiv kunaendeleaje?
 
Hakuna timu yoyote huko uswekeni uwanja wa michezo wa mabilioni ya walipa kodi wa nini!? Another white elephant.
 
Hakuna timu yoyote huko uswekeni uwanja wa michezo wa mabilioni ya walipa kodi wa nini!? Another white elephant.
Mkuu
Jamaa yako anawekwa sawa....akizengua anaweza ona dunia sio pazuri!

Screenshot 2020-09-15 at 17.51.29.png
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Yaani Kalemani anampiga mafumbo boss wake. Kwa ufupi anamwambia kujenga uwanja wa ndege usiotegemewa kutumika ni sawa na kujenga uwanja wa mpira mahala pasipo na timu. Au ni kama kuvutia watalii kwa kutumia kiwanja cha mpira vitu visivyolingana katu. Waswahili wanasema "Fumbo mfumbie mjinga mwerevu atalitatua". Pole yake jiwe.
 
Huu ni UPUMBAVU wa hali ya juu kutumia between $400 millions to $500 millions kujenga uwanja eti kuvutia watalii.
Matumizi mabaya ya madaraka kujenga uwanja wa ndege Chato. Matumizi mabaya ya madaraka kupeleka ndege kubwa kama hii chato hakuna chochote pale. Sheria ya Uhujumu uchumi, kuendesha genge la uhalifu inachagua pa kufanya kazi. Hapa ndipo penyewe ianze. Huu ni uhujumu Uchumi.
1610299629108.png
 
Back
Top Bottom