Chato: Wananchi wafurahia DC Katwale kuhamishwa. Wadai alijikita kufanya kampeni za ubunge kuliko kutatua kero zao

Chato: Wananchi wafurahia DC Katwale kuhamishwa. Wadai alijikita kufanya kampeni za ubunge kuliko kutatua kero zao

We chawa wa Dr.Medard Kalemani mwambie huyo mtu mfupi wako akatafute shughuli nyingine ya kufanya. Jimbo litaenda na yeyote kati ya hawa;Katwale,Magembe na Dotto James (kama ataingia ulingoni) ila siyo Kalemani.

Wewe na watu wako mliwapiga figisu sana Katwale na Magembe mbele ya aliyekuwa Katibu Mwenezi Paul Makonda alipokuja Geita. Na kitendo cha Makonda kubadilishiwa majukumu kimefungua milango zaidi kwa usiowapenda kunyakua Jimbo 2025.
Makonda alikuwa anajiapiza mbele ya Kalemani kwamba atampigania mpaka arudi bungeni, naona maji yamekorogeka, Makonda kapigwa chini
 
Makonda alikuwa anajiapiza mbele ya Kalemani kwamba atampigania mpaka arudi bungeni, naona maji yamekorogeka, Makonda kapigwa chini
Kamati ya Siasa yote ipo mfukoni kwake, labda mumkate Dodoma
 
Kalemani hafai Kwa Sasa,,anayefaa ni kijana mabaye ni mhadhili mtu wa watu anaitwa Binto Mawazo Binto
 
Tangu JPM afariki, Chato hakuna mradi wowote ule, hata miradi iliyoletwa yote amepambania JPM, Kalemani hana cha kuonyesha wana chato kwamba ni juhudi zake.

Watanzania watamkumbuka kwa kuongea saanana vimaneno vingi bungeni mpaka ana passwind
 
Mboga mboga hoyeeee mwashambwa njoo ushuhudie kivumbi na JASHO watoto yatima wanagombea nyuma ya baba huku
 
Kichwa cha habari chajieleza na kimepigiwa mstari.

Katwale anawaza kuwa mkuu mbunge tu. Anachowaza ni kumg'oa Kalemani.

Alipoteuliwa ukuu wa wilaya Chato hakuwa na muda kutatua kero za wananchi. Masalani pamoja na Chato kuwa karibu na ziwa Victoria bado kuna shida ya maji kubwa.

Yeye kikubwa ni alijizatiti kuwa na makundi na kuwa vikao vya kuweka mikakati ya kumg'oa Kalemani tu.

Sasa amehamishwa. Wananchi kila kona ya mji wa Chato wanafurahia.
Umejuaje?
 
Kalemani hafai Kwa Sasa,,anayefaa ni kijana mabaye ni mhadhili mtu wa watu anaitwa Binto Mawazo Binto
Huyu binto amewahi kuwa kiongozi wapi ndani ya, serikali?
 
Acheni Jimbo liwe huru kwa wenye sifa na watakao fanya transformation ya maendeleo Chato, ni aibu Chato iliyozungukwa na maji lkn Ina changamoto ya maji utadhani ni jangwa, hakuna miradi inayotokana na faida ya uwepo wa ziwa kama uchumi wa bandari, kilimo Cha umwagiliaji. Chato ulikuwa mji wa kimkakati enzi za JPM, lkn kwa Sasa watu wanaangalia maslahi yao na kupambania nafasi ya ubunge. Tuache kampeni, muda ukifika Mungu ataipatia Chato mtu sahihi....inawezekana hata hao mnaowataja wasionekane kbsa, Sasa za Sasa hivi ni unpredictable na sifa za mtu na uwezo wake unaanza kujadiliwa na ngazi za juu siyo ktk level ya Jimbo ambako Kunakuwa na mahaba ya mtu hata kama hana uwezo........Mimi ni mdau wa Chato tuache muda utazungumza
 
Manunga lipumbavu hilo ndio liwe libunge la Chato? Labda kwa kutumia nguvu za ushirikina, maana nasikia huwa anapaa. Vi hela vyake vya shule yake ya hovyo vitaishia kwenye kampeni

Kalemani hatarudi, hata amalizie hela zake kwenye kampeni, huyu Kalemani ndio ile timu ambayo Mkuu wa Majeshi anasema ilisahau katiba.

Katwale anarudi hapo kwa nguvu zote, Kalemani kwa kutumia uhusiano wake na jiwe alikuwa anachochea Katwale afungwe jela na apoteze kazi
Katwale ndo senge kabisa na haliwezi kurudi, bichwa kama boga. Na soon atatumbuliwa kabisa
 
Baada ya kusikia katwale na mwenzake Maghembe wamehamishwa wilaya na kwenda tabora, Kalemani alifurahi sana na team yake uchwara ya kina Ramso wanaomdanganya kiufupi unajisumbua sana na uyo kijana wenu magege mnaemtumia kwa mission zenu chafu hadi za kumuua kijana wa watu aliyetaka kujenga shule ya bwina kama hisani mkidhani anafanya hivyo ili aje agombee ..

Jpm ndiye alikutumbulisha Chato hakuna aliekuwa anakijua ila leo umekuwa adui wa kila mtu hata familia ya marehemu hatukutaki hata kukuona..

Huko Chato ni ya kila mtu hauna hatimiliki ya Chato na kwakuwa unaonesha ubabe kazi ni ndogo tu iliyobaki ..
Nyie hamumuwezi kalemani, endelea kubwatuka humu, mkimaliza kaleni ugali wenu wa mia mbili, mkafie mbele huko
 
Baada ya kusikia katwale na mwenzake Maghembe wamehamishwa wilaya na kwenda tabora, Kalemani alifurahi sana na team yake uchwara ya kina Ramso wanaomdanganya kiufupi unajisumbua sana na uyo kijana wenu magege mnaemtumia kwa mission zenu chafu hadi za kumuua kijana wa watu aliyetaka kujenga shule ya bwina kama hisani mkidhani anafanya hivyo ili aje agombee ..

Jpm ndiye alikutumbulisha Chato hakuna aliekuwa anakijua ila leo umekuwa adui wa kila mtu hata familia ya marehemu hatukutaki hata kukuona..

Unatishia wazazi wa vijana wanaonyesha Nia ya kugombea baadae unaleta uchonganishi kila sehemu kuanzia kijiji hadi nyumba vijana kwa wazee hawakutaki umeifanya nini Chato katika ubunge wako wewe? Yote aliyofanya jpm wakati ni mbunge hadi waziri ndiyo hayo hapo hadi sasa nini umekifanya?

Huko Chato ni ya kila mtu hauna hatimiliki ya Chato na kwakuwa unaonesha ubabe kazi ni ndogo tu iliyobaki ..
Well said, wanajaribu kujipigia debe wao kwa kumponda mwingine. Shameless creatures. Halmashauri haifanyi kazi sababu watendaji na watoa maamuzi ambao ni DC, DED na mwenyekiti wa halmashauri wote wanawaza kumkwamisha Mbunge ili wao wagombee 2025. Kitu ambacho wanasahau ni kwamba Kalemani kawapita mbali sana, ni msomi anayeweza kufanya kazi sehemu yeyote, hategemei uchawi ili apate kula yake.
 
Kichwa cha habari chajieleza na kimepigiwa mstari.

Katwale anawaza kuwa mkuu mbunge tu. Anachowaza ni kumg'oa Kalemani.

Alipoteuliwa ukuu wa wilaya Chato hakuwa na muda kutatua kero za wananchi. Masalani pamoja na Chato kuwa karibu na ziwa Victoria bado kuna shida ya maji kubwa.

Yeye kikubwa ni alijizatiti kuwa na makundi na kuwa vikao vya kuweka mikakati ya kumg'oa Kalemani tu.

Sasa amehamishwa. Wananchi kila kona ya mji wa Chato wanafurahia.
Kwa wasiomfahamu , huyu Katwale ndiye aliyeshiriki kuchoma moto ile gari ya Chadema wakati wa Ziara ya Tundu Lissu wilayani humo
 
Katwale ndo senge kabisa na haliwezi kurudi, bichwa kama boga. Na soon atatumbuliwa kabisa
Namuona Katwale akiapishwa pale Dodoma Bungeni, karibu siku hiyo angalau upate vipapatio vya kuku
 
Back
Top Bottom