Chato: Wananchi wafurahia DC Katwale kuhamishwa. Wadai alijikita kufanya kampeni za ubunge kuliko kutatua kero zao

Makonda alikuwa anajiapiza mbele ya Kalemani kwamba atampigania mpaka arudi bungeni, naona maji yamekorogeka, Makonda kapigwa chini
 
Makonda alikuwa anajiapiza mbele ya Kalemani kwamba atampigania mpaka arudi bungeni, naona maji yamekorogeka, Makonda kapigwa chini
Kamati ya Siasa yote ipo mfukoni kwake, labda mumkate Dodoma
 
Kalemani hafai Kwa Sasa,,anayefaa ni kijana mabaye ni mhadhili mtu wa watu anaitwa Binto Mawazo Binto
 
Tangu JPM afariki, Chato hakuna mradi wowote ule, hata miradi iliyoletwa yote amepambania JPM, Kalemani hana cha kuonyesha wana chato kwamba ni juhudi zake.

Watanzania watamkumbuka kwa kuongea saanana vimaneno vingi bungeni mpaka ana passwind
 
Mboga mboga hoyeeee mwashambwa njoo ushuhudie kivumbi na JASHO watoto yatima wanagombea nyuma ya baba huku
 
Umejuaje?
 
Kalemani hafai Kwa Sasa,,anayefaa ni kijana mabaye ni mhadhili mtu wa watu anaitwa Binto Mawazo Binto
Huyu binto amewahi kuwa kiongozi wapi ndani ya, serikali?
 
Acheni Jimbo liwe huru kwa wenye sifa na watakao fanya transformation ya maendeleo Chato, ni aibu Chato iliyozungukwa na maji lkn Ina changamoto ya maji utadhani ni jangwa, hakuna miradi inayotokana na faida ya uwepo wa ziwa kama uchumi wa bandari, kilimo Cha umwagiliaji. Chato ulikuwa mji wa kimkakati enzi za JPM, lkn kwa Sasa watu wanaangalia maslahi yao na kupambania nafasi ya ubunge. Tuache kampeni, muda ukifika Mungu ataipatia Chato mtu sahihi....inawezekana hata hao mnaowataja wasionekane kbsa, Sasa za Sasa hivi ni unpredictable na sifa za mtu na uwezo wake unaanza kujadiliwa na ngazi za juu siyo ktk level ya Jimbo ambako Kunakuwa na mahaba ya mtu hata kama hana uwezo........Mimi ni mdau wa Chato tuache muda utazungumza
 
Katwale ndo senge kabisa na haliwezi kurudi, bichwa kama boga. Na soon atatumbuliwa kabisa
 
Nyie hamumuwezi kalemani, endelea kubwatuka humu, mkimaliza kaleni ugali wenu wa mia mbili, mkafie mbele huko
 
Well said, wanajaribu kujipigia debe wao kwa kumponda mwingine. Shameless creatures. Halmashauri haifanyi kazi sababu watendaji na watoa maamuzi ambao ni DC, DED na mwenyekiti wa halmashauri wote wanawaza kumkwamisha Mbunge ili wao wagombee 2025. Kitu ambacho wanasahau ni kwamba Kalemani kawapita mbali sana, ni msomi anayeweza kufanya kazi sehemu yeyote, hategemei uchawi ili apate kula yake.
 
Kwa wasiomfahamu , huyu Katwale ndiye aliyeshiriki kuchoma moto ile gari ya Chadema wakati wa Ziara ya Tundu Lissu wilayani humo
 
Katwale ndo senge kabisa na haliwezi kurudi, bichwa kama boga. Na soon atatumbuliwa kabisa
Namuona Katwale akiapishwa pale Dodoma Bungeni, karibu siku hiyo angalau upate vipapatio vya kuku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…