Chato yalipuka kwa shangwe ujio wa Lissu

Chato yalipuka kwa shangwe ujio wa Lissu

Mwaka huu nitafuta kichinjio mapemaaa, kama ilivyokuwa mwaka 2015, na uzuri wake wameshajichanganya wenyewe ndio maana akina Tlaatlaah na Lucas Mwashambwa wanabubujika kwa machozi ya huzuni
 
"Wachawi wooote wamekufa" - JK
"Wazuri hawafi" - Makamba Snr.

Tunatengeneza Bango kubwa na kulipeleka kila mahala kanda ya Ziwa.
RIP JPM.
Waachawi wote washakufa, yaan sijui lilimtoka tu Mzee wa watu au Mwasi Kitoko ndio alimshinikiza aseme hivyo pale mimi niliposikia amesema hivyo nikashtuka kwani ni masikio yangu au nimesikia vibaya nikaona kaliwekea lamination nikasema kuna sababu sio hivi hivi
 
Waachawi wote washakufa, yaan sijui lilimtoka tu Mzee wa watu au Mwasi Kitoko ndio alimshinikiza aseme hivyo pale mimi niliposikia amesema hivyo nikashtuka kwani ni masikio yangu au nimesikia vibaya nikaona kaliwekea lamination nikasema kuna sababu sio hivi hivi
🤣🤣🤣
 
Yule mkulu ajifunze kuongea bila kutegemea vyombo vinavyomzunguka ananyolewa kipara bila ya maji .

Mipango si matumizi aliona mbali
 
Back
Top Bottom